Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Hii speech ukiisikiliza kwa akili sana, ina jambo kubwa sana, Kalemani na Ndungai, na Dotto James, Polepole na Bashiru walikuwa wanamsalimia mama wanapojisikia, na wanaweza hata kumpita bila salamu wanakimbia aliposimama JPM
Naona hako kajamaa kanajaribu kujikomba kwa bi mkubwa!
 
..Januari Makamba ana makandokando mengi ambayo yameshatajwa ktk mijadala mingine.

..Tunachopaswa kujadili hapa ni kama Januari amesema ukweli kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020, na matendo ya kidhalimu ktk awamu ya 5.
Aanze kukiri nafasi yake kwenye huo uchaguzi 2020. Yeye ndio allikuwa mratibu mkuu wa hayo unayoyaita matendo ya kidhalimu?

Ili kupata political mileage unaweza kumsingizia chochote marehemu. Hawawezi kujibu.
 
January hajazungumzia kufeli bali Uhalali wa Uchaguzi wa 2020 🐼
The act of demanding people to kneel before you is akin to playing God. Magufuli's desire for such worship led to his downfall. He is deemed the worst president ever, seeking to divide us along tribal and religious lines. Let him rest where he belongs, in the graveyard.
 
Aanze kukiri nafasi yake kwenye huo uchaguzi 2020. Yeye ndio allikuwa mratibu mkuu wa hayo unayoyaita matendo ya kidhalimu?

Ili kupata political mileage unaweza kumsingizia chochote marehemu. Hawawezi kujibu.
Hapa sio January...hata tuzungumzie alichokisema January Makamba...mbele ya lile SATAN angefanyaje January zaidi ya kutii matakwa yake....Death to MAGUFULI....DEATH TO MAGUFULI

What we need to examine are the veracity of Makamba's statements. Magufuli's actions seemed to reflect animosity towards Muslims, he attempted to assert himself as a deity and criticized past presidents for purported inaction. His attempt to manipulate history teaching materials to glorify himself raises concerns. It's evident that his behavior was concerning and if one doesn't attribute it to divine intervention, then reflecting on Magufuli's actions should serve as a reminder of the power of accountability
 
wa Tz tumejawa na unafk wa hali ya juu sana hata atoke malaika awe rais bado tutaishia kutoa lawama tu hii nchi imejaa wapumbafu san utakuta mtu anajiita msomi lkn akil zake km mavi afadhal ht wa darasa la 7

..nadhani umejaribu kumzungumzia Magu na genge lake la wasomi, lakini waovu, walaghai, wanafiki.
 
Kwamba nchi ikiwa huru haina magereza waharifu wawehuru tu,wamiliki bandari,wakusanyekodi watunze majumbani kwao? Nyie mnaopiga kelele hili genge ndo wamiliki wake,Leo dola mnazo majumbani kwenu.
Ni kama hujaelewa concern yangu mkuu. Maana unachonijibu nintofauti kabisa na comment yangu.
 
Huyu uwezo kichwani hamna anabebwa na Jina la Mzee wake. Wao ni Wazuri hawafi, lkn cha ajabu wanaendelea kugombana na Kivuli cha mfu JPM.
Bila mbeleko ya jina la baba yake huyu jamaa ni hopeless kabisa. Pamoja na kusoma marekani lakini ukilaza bado umejaa tele!
 
The act of demanding people to kneel before you is akin to playing God. Magufuli's desire for such worship led to his downfall. He is deemed the worst president ever, seeking to divide us along tribal and religious lines. Let him rest where he belongs, in the graveyard.
Wewe shoganinini?
 
Watu wanamlinganisha January Makamba na Magufuli. Makamba anavaa suti kali kuliko JPM. He is Polished a little bit. Bado ni mshamba flani.

Ila kiutendaji, kusaidia nchi, seriousness, kusaidia wengi, maskini, vision, ufuatilaji nani yuko vizuri? Yeye au JPM?
 
Huyo ni mtu mnafiki,kwa kua alikosa nafasi yoyote wakati wa JPM kwa migezo cha ufisadi wake,na anahusishwa na wengi mitaani kua ni sehemu ya kuondoka kwa JPM,so lazima achafue tu ili kujiweka sawa kwa watu ake aaminiwe,yamkini mama alisha muahidi kumuachia kijiti,so lazima abwabwaje
Jiwe bora kaenda alikuwa sio mtu bali mnyama.
 
Back
Top Bottom