Tetesi: January Makamba kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara

Na Nape apelekwe Nishati ! Au ?!
🤣👍
 
Kama ni hivyo basi chadema wamekomaa sana kisiasa maana tunawaona jinsi walivyo transparent kwenye kuchagua viongozi wao wa kitaifa.sasa hao ccm kumbe viongozi wao wanapatikana baada ya majadiliano ya familia mbili tu?pathetic
wamesema nafasi hiyo haigombewi. Chadema wako next level wafanye tu uchaguzi wao kwa amani na uwazi ccm ikajifunze huko
 
Atagombea na Urais 2025?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…