Eeh, code Kali nimebaki hoi mkuu.Kuna uzi humu imeeleza kinaga ubaga hilo suala kama siyo Mzee wa Migebuka leo tungekuwa tunazungumza jambo lingine kabisaaaa kumbuka hao ndiyo waliomponza Daa Zuu kutoka kwenye kipaza hadi kufichwa uko katika Wing ya PM.
Na Nape apelekwe Nishati ! Au ?!Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.
Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Ndiyo maana kasikilizwa japo kidogoKama familia siyo ya kawaida si ndio apewe anachokitaka?? Kipi kinazuia?
Hivi kumbe Lisu kafanya kosa?Huyu hachelewi kutaka kuwa mwenyekiti kamili kama Lissu🐼
Hapana, hakuna sehemu nimesema kuwa Lissu kafanya kosaHivi kumbe Lisu kafanya kosa?
Hizi sio tetesi hii ni taarifaSuala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.
Hizo ni kauli za watu ambao ni mediocre. Waliopo jikoni hawana sababu ya kusema. Wewe ni mbangaizaji mwenzetuMkuu mimi nipo jikoni najua kuliko wewe.....ahahah,
Watakuambia wapo wengi mnoCCM wamekosa vijana makini wa kuwaongoza
Upo kimya sana tunaenda na nani Lisu or DJ
Ccm demokrasia zeroooo, Kwa nn watu wasichukue fomu?Kwahiyo vyeo wanapeana baada ya majadiliano ya kifamilia na sio competency ya mhusika.
Makamba asikubaliAnaachia ubunge na ndoto za kuwa rais ndo zimezama topeni
Anamhofu January?Makonda atakonda.
wamesema nafasi hiyo haigombewi. Chadema wako next level wafanye tu uchaguzi wao kwa amani na uwazi ccm ikajifunze hukoKama ni hivyo basi chadema wamekomaa sana kisiasa maana tunawaona jinsi walivyo transparent kwenye kuchagua viongozi wao wa kitaifa.sasa hao ccm kumbe viongozi wao wanapatikana baada ya majadiliano ya familia mbili tu?pathetic
Bibi Kizimkazi hajiaminiAnamhofu January?
Atagombea na Urais 2025?Habari kutoka ndani ya CCM ni kuwa Familia ya Makamba imemalizana na Rais Samia.
Makubaliano ni kuwa Mama Samia hakutaka Makamba arejeshewe Uwaziri kama walivyotaka.
Baada ya Maongezi ya muda mrefu Mheshimiwa Rais kwa kuiheshimu familia hiyo, ameahidi kufanya mpango kwa kufuata taratibu za chama ili January Makamba awe Makamu mwenyekiti wa Chama bara.
Suala hili litawekwa wazi mapema mwezi February.