Eeh
Eeh, code Kali nimebaki hoi mkuu.Kuna uzi humu imeeleza kinaga ubaga hilo suala kama siyo Mzee wa Migebuka leo tungekuwa tunazungumza jambo lingine kabisaaaa kumbuka hao ndiyo waliomponza Daa Zuu kutoka kwenye kipaza hadi kufichwa uko katika Wing ya PM.