Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Hizi mada lengo lenu ni nini haswa? Wanawake wangapi wanakufa sababu ya hizo hizo ndoa, mbona hawapigi kelele!! Wanaume mna agenda gani haswa?
Agenda mnatuua kabla ya muda wetu. Siyo kwamba kutuniga ama kutuwekea Sumu Bali Kwa Njia mbaya zaidi mnazotumia.
 
Tuseme nini sasa!! Kuweni wanaume, acheni kulia lia kama Mungu hakuwapa akili.
Mbona kama mimi ndo nabeba lawama zote Atoto
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi silalamiki hata kidogo mashangazi huwa hayana mbambamba
 
Mbona kama mimi ndo nabeba lawama zote Atoto
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mi silalamiki hata kidogo mashangazi huwa hayana mbambamba
Hivi mama yako yuko wapi tufanye nae kikao? Kuna mahali alikukosea🀣
 
Kama sio bikra usioe
 
Hivi mama yako yuko wapi tufanye nae kikao? Kuna mahali alikukosea🀣
Yupo visiwani huko Zanzibar....
Alafu alikosea wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiendelea takuitia mbabe wako unyamaze hapa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…