Japokuwa nimeoa lakini wanawake ndio chanzo cha wanaume kufa mapema kwenye ndoa/familia

Kwa sababu tumeshindwa kuwamiliki, tunataka wafanye kazi, wafufungue miradi wawe na pesa zao, Hilo ni bomu mda wowote litakulipukia, hao ni wakae nyumbani ulishe uvishe uwaoe makazi, akizingua mwache hata
 
Siyo kweli hapa jukwani tuna share Kila kitu kiwe kizuri ama kibaya Yale yote yanayotokea kwenye jamii zetu. Iwe kufichua maovu nk.

Kuumia lazima niumie tu maana Mimi sio jiwe Nina hisia na Nina utashi.
Kuna watu hata kuangalia movie zenye mateso Huwa wanalia kabisa. T

Tunatofautiana mbali sana kama huumii ni wewe.
Unautesa moyo wako kwa kuumiza na mambo ya watu. Ndio maana nakuambia una one side of the story. Usiumie na hizo, ukweli wanaujua wao. Ukiendelea kuumia na mambo ya watu ya kwako yakifika utakufa shaaaa!
hapa
 
Yupo visiwani huko Zanzibar....
Alafu alikosea wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiendelea takuitia mbabe wako unyamaze hapa kimya
Kuna mahali alikosea, tutajua kwenye kikao🀣

Mbabe wangu nani sasa?
 
Hizi ndoa nazo ukiingia kichwa kichwa lazima zikutoe nishai.
Tuishi nao kwa akili hawa Viumbe maana wao ni tukio moja tu linaharibu maisha yako yotee
 
🀣🀣🀣
Sibishani na wewe tena kwenye huu uzi πŸ™Œ
Vizuri sana.

Kufa wote tutakufa, ila kuna kile cha kujisababishia kwa kushindwa kutumia akili vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…