DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Anaenda na watu wasiojulikana, lazima wataruhusu aingie.Hatoruhusiwa kuingia
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Tuipende nchi yetu Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaenda na watu wasiojulikana, lazima wataruhusu aingie.Hatoruhusiwa kuingia
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Atanijibu mwenyewe akitaka mkuu usiwe na kiherehere. Unataka nianze kubishana na wewe na wakati yeye mwenyewe yupo? WtfHakuna sehemu Mtazamo ameipigia debe ccm.. Na hata shambulio la Lissu alionyesha humu kusikitishwa nalo..
Tatizo ni CDM kuchukulia matukio kama haya kama kick za kisiasa.. Ndio maana hata Ben mmeshaachana nae na ni wazazi wake tu ndio wanamlilia sasa. Mkishaanza kuleta siasa kwenye taaluma za watu, hao watu na taaluma zao huamua kukaa kando na kuwaachia uwanja mfanye mnalotaka
Sent using Jamii Forums mobile app
wasichojua akina bashite ni kwamba hata wao walikuwa wanafualiliwa bila kujua. chezeya Akili kubwa weye???
Wewe lengo lako ni ccm kufutika au maendeleo.Kwenye uwanja ulio sawa ccm itafutika kabisa. Na hilo unalijua vizuri
[COLOR=#0000b3][B]Oii[/B][/COLOR], pole sana ila ungekuwa mkweli kwa nafsi usingeshindwa kuuona ukweli huo, ama ni CCM au ni maendeleo...huwezi kufanikisha yote mawili. Hadi leo, kila kinachoisibu Tanzania kimepandwa, kimelelewa na kimekomazwa na CCM...kila kitu ni matunda ya CCM pamoja na Magufuli mwenyewe. Hata ustaarabu tu wa kutubu na kuomba msamaha kwa niaba yake (kumbuka kawa Waziri kwa miaka 20) na kwa niaba ya CCM (miaka zaidi ya 50) kashindwa! Its like trying to separate a tortoise from its shell!Wewe lengo lako ni ccm kufutika au maendeleo.
Hawana tatizo wala mashaka yoyote coz aliyewapa order ndie star wa mchezoWauaji wajiandae kisaikolojia
Suprise inageuka Fumanizi
Ok mkuu nimekuelewa.. kumbe ulitaka akujibu alafu uanze kubishana nae.. Sawa Keyboard warriorAtanijibu mwenyewe akitaka mkuu usiwe na kiherehere. Unataka nianze kubishana na wewe na wakati yeye mwenyewe yupo? Wtf
Haya maswali ya kijinga hivi ndio yamenifanya niwe napata kichefuchefu sana ktk interview za kibongo,huwezi ita hard question.Hard questions ukiwa smart au ukiongeza fikra linajibika finally. Ila hili lako ni very irrational na wrong. KUWEKA CCM KTK NJIA YA MAENDELEO UKITEGEMEA IWE CHOICE KWA MTU YEYOTE HATA CCM NI MAKOSA. CCM taahira ndio atakujibu na ccm ikawa option. Sishangai sana kwa vile nami nalaani sana ujinga wa maprof wenu,kila mahali. wanaiba maswali ya watu wanajifanya kuyarekebisha wanayaharibu, wakichukua majibu hawawezi badilisha swali hadi miaka 46 ijayo.Wewe lengo lako ni ccm kufutika au maendeleo.
Bado hujanijibu swali langu, ninarudia tena.
Unahisi chadema wangekuwa wametufikisha wapi kimaendeleo since independence na huyu dikteta mwenyekiti wao? Ambae obvious angekuwa dikteta raisi. Unahisi tungekuwa developed?
Hamna demokrasia, hamjajingea hata kaofisi ka mbao since genesis yenu, mngepewa hii nchi nyinyi si mngeifanya Congo ya pili.
Fortunately Mungu analipenda hili taifa, amereveal your real colour that you are worse and not yet matured to lead yourselves, sembuse nchi.
Mkajipange miaka mia
teh teh.Jamaa wanachosha.Na movies zao zinazowachosha hata wao kushika mistari achilia mbali ku act.Atanijibu mwenyewe akitaka mkuu usiwe na kiherehere. Unataka nianze kubishana na wewe na wakati yeye mwenyewe yupo? Wtf
Km mchezo ni mzuri star ni star,ila mchezo ukiwa theme nzima ni km mashindano ya loosers na looser mkubwa anakufa mwisho. Nitakuwa wa mwisho kuelewa ulichoandika.Hawana tatizo wala mashaka yoyote coz aliyewapa order ndie star wa mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maswali ya kijinga hivi ndio yamenifanya niwe napata kichefuchefu sana ktk interview za kibongo,huwezi ita hard question.Hard questions ukiwa smart au ukiongeza fikra linajibika finally. Ila hili lako ni very irrational na wrong. KUWEKA CCM KTK NJIA YA MAENDELEO UKITEGEMEA IWE CHOICE KWA MTU YEYOTE HATA CCM NI MAKOSA. CCM taahira ndio atakujibu na ccm ikawa option. Sishangai sana kwa vile nami nalaani sana ujinga wa maprof wenu,kila mahali. wanaiba maswali ya watu wanajifanya kuyarekebisha wanayaharibu, wakichukua majibu hawawezi badilisha swali hadi miaka 46 ijayo.
Kwani wamefikisha wapi halmashauri mlizozikosa, hadi mnaamua kukesha mkipiga dili ya kuziua kabisa na kukimbia na mapato ambayo yanazidi mika mitano ya ccm,wao wanakusanya kwa mwaka mmoja.?Hii ni kwa great minds to...kama wewe ni Bashite, usiendelee kusoma, unaweza kupandwa wazimu!
Kuna watu hofu imewatanda na humu JF wanahaha kuanzisha theories za ajabu ajabu kujipa matumaini. Ukishalitilia shaka gari lililo nyuma yako, kuwapiga picha waliokaa viti vya mbele ni kama mchezo wa kitoto. Lakini hata kama windshield nayo iko tinted bado ziko njia...Bashite atajulia wapi haya?
- A circular polarizer will help and most vehicles have no tint on the front windshield. Position yourself to see through the front of the windshield.
- Photographing someone through tinted car windows? If there's a strong IR light source on the other side, and IR-converted camera will see through most tints.
- Low light photographs at ISO 12800 not the best image for printing but you can tell who it is.
Kaenda refresh mind kidogo baada ya kuokoa uhai wa watu muhimu ikiwepo wa boss wake?Wanahaha kwa nini Dereva wa Lissu kaenda Nairobi!!
Nimekusoma hata mimi nimeona wanafanana maiti ya siku saba mochwarininachokipenda wananchi wameshajuwa wauaji ni kina nani mana walijiandaa kupoteza uhai wa Lissu lakini Mungu kawanyoosha hasa wamekonda nyuso usiku mmoja baba na mwanawe wamekuwa weusi kwa kukosa oxygen hawapumui kwa hofu na vile wamelaaniwa na wanachi kwa ujumla na dunia basi hila zao zimeingia matope
Unatumia nguvu nyingi mno! Nini shida?Ok mkuu nimekuelewa.. kumbe ulitaka akujibu alafu uanze kubishana nae.. Sawa Keyboard warrior
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, kweli umechuja ndugu yangu na achana na kukariri. Binadamu mwenye akili lazima aishi kwa matukio, asiyeishi kwa matukio ni maiti tu. Matukio ndiyo yanafanya maisha yawepo kwani ndio yanapanua akili na kuleta maendeleo. Matukio ni yale yaliyofanyika na si ya kufikirika na ndio maana yanaitwa matukio. Kama unatembea ukajikwaa, hutakiwi kuendelea tu na mwendo kama kichaa bila kujiuliza kwa nini umejikwaa na hivyo kuchukua hatua.Sababu tumezoea Chadema kuishi kwa matukio si ajabu hata hili tutajazana upepo alafu mwisho wake iwe kama yale ya bomu la Arusha ....."tunao mkanda wote,polisi wasipotoa majibu tutaonesha dunia ukweli" .....imebaki stori ....btw tulishasahau hata wahanga wa lile bomu .....labda hili kwavile Lissu mwenyewe ni aggressive ....
wewe nawe ni mpuuzi tu.nilitegemea utakuwa na la maana at least kwa maisha ya lissu kumbe unaleta ujinga wako.lala mbele na slaa wako.no wonder yuko kimya wakati mtu aliyekuwa anampa data zote ameshambuliwa kwa risasi