Inawezekana kweli usemalo.Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Dah blaza umetoa point hafifu Sana ,..Yan mtu apande just ya bati na bunduki then useme wamemuacha kwasababu hawakujua lengo...lake je Kama Trump angeuwawa ingekuaje ?..je secret service wametumwa na Biden?Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Ulitaka wamfanyaje sasa wakati leo lilikuwa halijatimia? Lengo ilikuwa Trump auwawe
Ob
Obama alipokuja,akipita morroco...nilikua Airtel Lile jengo,sikuona jengo likiangaliwa
Kuna tofauti ya security details kwa rais aliye madarakani na mstaafuLabda waliambiwa wawe kwenye majengo mengine isipokuwa alilokuwa gunmanView attachment 3041849
Yeah hii ni protocal kwa Marekani
Hata Obama alipokuja hapa Tanzania ilikuwa hivyo pia tulijionea Secret Service Agents walivyotapakaa kwenye rooftops za majengo
Huyu whistleblower awe makini nae..
Angekuwa Africa msala wote angeshushiwa yeye
Uko sahihi kabisa Mkuu,hii inashabihiana kabisa na jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu.Kwenye matukio kama hayo mtu wa kwanza kuhisiwa ni yule aliye madarakani.kumbuka huo ni mchezo wa siasa sio ujambazi.
mkulima akitaka kuuliwa basi mtu wa kwanza kumuhisi ni mfugaji
Trump kwa sasa njia nyeupe
Ajabu hutaki tutumie akili zetu kutafakari, unataka tukae tu kama vibuyu!Naona watu mshatengeneza conclusions zenu.
Yaani hili taifa watu huwa wanajiona wao ndio CIA, KGB, MOSSAD wao na bullshit kibao.
Politics ina mambo mengi sana na kila kitu kinawezekana.
Huenda ni kweli ilikuwa planned na existing gvt, huenda ni mtu tu binafsi alikuwa na sababu zake nje na hapo maana huyo ni business man, lakini pia huenda ni staged na yeye mwenyewe kuwin uchaguzi kirahisi.
Tusipende kuanza kutengeneza theory zetu na kutoa conclusion kama kawaida yetu.
walimuua baada ya kumkosa mlengwa, wangemkamata akiwa hai angetoboa siri,hatua zilichukuliwa. na sniper upande wa Trump walikuwa stand by, ila walichelewa kidogo, jamaa akafyetua. ndio maana huyo mtu aliuwawa kwa haraka .
Umeona mbali hata akishinda Urais achukui round wala nchi kwanza mengine baadaeNaamini idara za usalama za Marekani nazo hazimtaki Trump ashinde urais.
Wakati ule Trump akiwa Rais wa Marekani sera zake zilionekana kumbeba Putin, mpaka wapo waliosema Putin kafanikiwa kuliwekea taifa la Marekani Rais. Hii ilikuwa kama kashfa kwa wamarekani.
Je, this time watakubali Trump ashinde Urais? kwasababu inavyoonekana, ushindi wa Trump ni sawa na ushindi kwa Putin, mbaya zaidi wakati huu kuna vita kati ya Russia vs Ukraine, huku USA kila siku akitoa misaada ya kijeshi kwa Ukraine.
Donald Trump, J.F Kennedy in the making.
Wanataka kumuua huyu mtoto wa Hitler mapema, wananchi wenye akili timamu hawamtakiShuhuda huyo alitoa taarifa kwa polisi na Secret Service kuhusu shooter aliyekuwa amejificha juu ya paa akiwa na silaha.View attachment 3041840
View attachment 3041839
Mahali ambapo shooter alikuwa juu ya paa na Trump alipokuwa akifanyia campaign mita 130 (google earth photo)
Secret Service Agents baada ya kufanikiwa kumuua shooter juu ya paa lilelile ambalo shuhuda alishatoa taarifa mapema kwamba alimuona mtu huyo lakini taarifa yake ikapuuzwa.View attachment 3041843
Wamarekani wanasema ni wakati wa mkuu wa Secret Service ajiudhuru.
Akiongea na BBC shahidi huyo aliweka wazi kuwa taarifa yake ilipuuzwa na vyombo vya usalama (Secret Service)
Kuna tofauti ya security details kwa rais aliye madarakani na mstaafu
Trump hata akiwa Rais wahuni lazima watoe uhai wake anaonekana haendani na sela zao
24hrs kabla walifanya hivyo according to fbiKiprotocol inapohusu ulinzi eneo hilo secret service walitakiwa wahakikishe juu ya hizo rooftops za majengo yote karibu na campaign ilikuwa inafanyika kuna ulinzi wa kutosha
Kwahiyo walikua wanasubiri ushahidi ndio wachukue hatua sio?, maswala ya security ni kutilia shaka na kuchukua hatua kwa kila jambo ambalo si lakawaida. Trust nothing suspect everything hii ndio kanuni kuu ya security.Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao