Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Dah blaza umetoa point hafifu Sana ,..Yan mtu apande just ya bati na bunduki then useme wamemuacha kwasababu hawakujua lengo...lake je Kama Trump angeuwawa ingekuaje ?..je secret service wametumwa na Biden?
 
Ob

Obama alipokuja,akipita morroco...nilikua Airtel Lile jengo,sikuona jengo likiangaliwa
Hawana shida na majengo ambayo anapita njia hasahasa ni pale anapokuwa hadharani.

Mfano Obama alipokuwa ikulu na Kikwete Secret Service Agents walitanda kwenye rooftops
 
Hii ni michezo tu sawa na ule wa Area C.
Ipo hivi ukitumwa ukatoe uhai wa kiongozi nyuma yako pana watu wamepangwa kutoa uhai wako baada ya mission ili kuficha ushahidi kwani ukiacha hai utatema siri so unalaghaiwa kwa kulipwa pesa za kazi zote nyingi ili ujae baada ya kuuliwa pesa inarudishwa.
Thus hizi mission ni wapumbavu pekee ndio huwa wanatumwa.
Sawa na ile ya Area C wengi walimalizwa baada ya mission wakakosa vyote.
 
Labda waliambiwa wawe kwenye majengo mengine isipokuwa alilokuwa gunman


Yeah hii ni protocal kwa Marekani
View attachment 3041849


Hata Obama alipokuja hapa Tanzania ilikuwa hivyo pia tulijionea Secret Service Agents walivyotapakaa kwenye rooftops za majengo
Kuna tofauti ya security details kwa rais aliye madarakani na mstaafu
 
Kwenye matukio kama hayo mtu wa kwanza kuhisiwa ni yule aliye madarakani.kumbuka huo ni mchezo wa siasa sio ujambazi.
mkulima akitaka kuuliwa basi mtu wa kwanza kumuhisi ni mfugaji
Uko sahihi kabisa Mkuu,hii inashabihiana kabisa na jaribio la kutaka kumuua Tundu Lissu.
Mtuhumiwa wa kwanza alikua ni Mr Jiwe.
 
Naona watu mshatengeneza conclusions zenu.

Yaani hili taifa watu huwa wanajiona wao ndio CIA, KGB, MOSSAD wao na bullshit kibao.

Politics ina mambo mengi sana na kila kitu kinawezekana.

Huenda ni kweli ilikuwa planned na existing gvt, huenda ni mtu tu binafsi alikuwa na sababu zake nje na hapo maana huyo ni business man, lakini pia huenda ni staged na yeye mwenyewe kuwin uchaguzi kirahisi.

Tusipende kuanza kutengeneza theory zetu na kutoa conclusion kama kawaida yetu.
Ajabu hutaki tutumie akili zetu kutafakari, unataka tukae tu kama vibuyu!

No way, kichwa changu sio kibuyu kama kichwa chako!.
 
Naamini idara za usalama za Marekani nazo hazimtaki Trump ashinde urais.

Wakati ule Trump akiwa Rais wa Marekani sera zake zilionekana kumbeba Putin, mpaka wapo waliosema Putin kafanikiwa kuliwekea taifa la Marekani Rais. Hii ilikuwa kama kashfa kwa wamarekani.

Je, this time watakubali Trump ashinde Urais? kwasababu inavyoonekana, ushindi wa Trump ni sawa na ushindi kwa Putin, mbaya zaidi wakati huu kuna vita kati ya Russia vs Ukraine, huku USA kila siku akitoa misaada ya kijeshi kwa Ukraine.

Donald Trump, J.F Kennedy in the making.
Umeona mbali hata akishinda Urais achukui round wala nchi kwanza mengine baadae
 
Shuhuda huyo alitoa taarifa kwa polisi na Secret Service kuhusu shooter aliyekuwa amejificha juu ya paa akiwa na silaha.

View attachment 3041839

Mahali ambapo shooter alikuwa juu ya paa na Trump alipokuwa akifanyia campaign mita 130 (google earth photo)

View attachment 3041840
Secret Service Agents baada ya kufanikiwa kumuua shooter juu ya paa lilelile ambalo shuhuda alishatoa taarifa mapema kwamba alimuona mtu huyo lakini taarifa yake ikapuuzwa.


Wamarekani wanasema ni wakati wa mkuu wa Secret Service ajiudhuru.

Akiongea na BBC shahidi huyo aliweka wazi kuwa taarifa yake ilipuuzwa na vyombo vya usalama (Secret Service)
View attachment 3041843
Wanataka kumuua huyu mtoto wa Hitler mapema, wananchi wenye akili timamu hawamtaki
 
Kuna tofauti ya security details kwa rais aliye madarakani na mstaafu
Screenshot_20240714-150609_Chrome.jpg


Hata asingekuwa former president bado anastahili ulinzi wa Secret Service kama presidential candidate
Screenshot_20240714-151130_Chrome.jpg
 
Kiprotocol inapohusu ulinzi eneo hilo secret service walitakiwa wahakikishe juu ya hizo rooftops za majengo yote karibu na campaign ilikuwa inafanyika kuna ulinzi wa kutosha
24hrs kabla walifanya hivyo according to fbi
 
Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Kwahiyo walikua wanasubiri ushahidi ndio wachukue hatua sio?, maswala ya security ni kutilia shaka na kuchukua hatua kwa kila jambo ambalo si lakawaida. Trust nothing suspect everything hii ndio kanuni kuu ya security.
 
Back
Top Bottom