Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Dah blaza umetoa point hafifu Sana ,..Yan mtu apande just ya bati na bunduki then useme wamemuacha kwasababu hawakujua lengo...lake je Kama Trump angeuwawa ingekuaje ?..je secret service wametumwa na Biden?
Kwenye hilo jimbo ni ruhusa raia kutembea na bunduki.
 
Kama kufa kwa DT kungepelekea ama kutapelekea Civil War ndani ya Americant basi wangemuua tu au wamuwinde tena mpaka wamfyeke au hata Biden
Kuombea mwenzako majanga dhambi na vibaya ila nawish Us ikumbwe na Civil War
 
Najiuliza inakuwaje, mwananchi amuone sniper yule zaidi ya dakika mbili na kureport kwa wanausalama wampotezee wakati huyu sniper waliyemuua huyo dogo alikuwa juu ya bati kwenye view nzuri ya kumuona huyo dogo muda mrefu tu. Kuna wakati kazi zikifanyika kwa mazoea madhara yanaweza kuwa makubwa.​
 
Hapa ndiyo nimeelewa kwanini alivyokuja Obama Secret Service walikuwa wamekaa kwenye majengo juu kumbe sniper akiwa hata zaidi ya 100m anaweza kuleta madhara.

Nimesikiliza wachambuzi wa BBC wanasema kweli kuna uzembe wa Secret service ulifanyika.
 
Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Secret Service wana mafunzo maalum ya kumdhibiti mtu wa aina hiyo ya wauaji.

Ipo namna ya kuhakikisha muuaji huyo hafi ili kuweza kusaidia uchunguzi wote, yaani akiuawa iwe ni last resort.

Hivyo hawa jamaa wa SS napolisi hufunzwa pia namna ya kumlenga assailant ili asipoteze maisha ikiwemo hata kupiga risasi ya mguu au mkono, begani na kiunoni potelea mbali akivunjika uti wa mgongo lakini atakuwa shahidi namba moja.

Kumuua mara moja ni ishara tosha kwamba kuna matatizo makubwa ndani ya SS yenyewe.

Siamini kabisa huyo muuaji alipewa access ya hilo jengo ambalop ni la kiwanda cha magari bila kuwa cleared na security wa uzio wa eneo.

Isitoshe alieset parameters ya eneo lote nae vipi aliona hilo jengo kuwa potential ya kuwa na muuaji alejibanza humo ndani?

Haya yote ni matokea ya raisi Joe Biden kuwa atoa statements ambazo huweza kusababisha kuamsha hisia kali za kufikiria kuua kwa baadhi ya makundi ya watu.
 
Najiuliza inakuwaje, mwananchi amuone sniper yule zaidi ya dakika mbili na kureport kwa wanausalama wampotezee wakati huyu sniper waliyemuua huyo dogo alikuwa juu ya bati kwenye view nzuri ya kumuona huyo dogo muda mrefu tu. Kuna wakati kazi zikifanyika kwa mazoea madhara yanaweza kuwa makubwa.​
Pennsylvania ni jimbo lijulikanalo kama "swing state" yaani wapiga kura wana uwezo wa kuhamisha kura kwenda kwa mgombea yoyote yule hivyo ni jimbo la mwisho la kulipigania kwenye kampeni.

Hilo ndilo jimbo lilompa ushindi mara zote Joe Biden ambazo ameshinda.

Jumatatu Republicans ndo watampitisha rasmi Donald Trump kuwa mgombea wao wa uraisi ndo maana nyakati hizi ni ngumu sana kwa pande zote mbili kwa Biden na Trump mwenyewe.

Safari hii hata nzi watasimama wasiruke mjini Wisconsin na polisi wa Milwakee wako tayari huku SS wakiwa wametua na ndege tatu jioni hii.
 
mnahisi Trump anaeza badili msimamo wa nchi ? au mnahisi haya yanayotokea ni maamuzi ya Biden ? ukute hata Biden anaogopa sana haya yanayoendelea , wananchi wa mataifa ya magharibi sio wanyonge kama nyiny watz waoga wa virungu , kwao ni aibu taifa lao kukubali kushindwa kizembe , hurudi madarakani kama rais , ndio maana Putin anajikaza licha ya hali ngumu anayopitia
Haaaa hapo siyo Biden na chama chake tu ....bali yupo Zelensky na ukraine...bwana Zelensky anajua vizuri kuwa trump hawezi kuangaika na ukrain dhidi ya mrussi ..hivyo inawezekana tukio ilo ni kutokea ukraine pia.
 
mnahisi Trump anaeza badili msimamo wa nchi ? au mnahisi haya yanayotokea ni maamuzi ya Biden ? ukute hata Biden anaogopa sana haya yanayoendelea , wananchi wa mataifa ya magharibi sio wanyonge kama nyiny watz waoga wa virungu , kwao ni aibu taifa lao kukubali kushindwa kizembe , hurudi madarakani kama rais , ndio maana Putin anajikaza licha ya hali ngumu anayopitia
Suala si Trump kubadili msimamo wa nchi, bali suala ni kwamba Democrats ni lazima waendeleze vita ya Ukraine.

Wafahamu fika kwamba Trump akishinda hakutakuwa na vita ya Ukraine.

Huo ndo ukweli.
 
China wako kibiashara zaidi, mzigo umeshatoka

20240714_222340.jpg
 
Unafikiri ni kwa nini kulikuwa na delay?

Je, kama ingekuwa ni raisi Biden angekuwa kwenye campaign hiyo wangesema wasikilizie waone kwanza lengo la mtu huyo ni nini?

Kwa nini mpaka risasi ipigwe ndio waanze kumshambulia?

Kwa nini hawakutaka kufuatilia mapema kuhusu shooter huyo mahali alipojificha na kama ana silaha walipopewa taarifa?
Kwanza hawana kazi ya kupewa taarifa,huo umbali ni mfupi sana kwa timu yote ya usalama wake kutohakikisha wanakagua mazingira yote kabla. Nchi zote ni yale yale,kasoro media tuuu
 
Nnachihisi,
Secret service walimuona ila wakawa hawana uhakika na lengo lake, that's why aliposhoot nae hawakumkawiza wakamshoot maana tyr alishakua kwny range yao
Ww jamaa bhana 😂😂 ety wakawa hawana uhakika wa lengo lake 😂

Yn leo hii samia anafanya mkutano afu mtu anajitokeza na silaha afu mnamuacha ety kisa hamjui lengo lake?
Kwahy gun n pipi au siyo?
 
Back
Top Bottom