Jarida la Muslim 500 lamtaja Rais Samia kama Mwanamke wa mwaka mwenye ushawishi mkubwa kwa 2022

Jarida la Muslim 500 lamtaja Rais Samia kama Mwanamke wa mwaka mwenye ushawishi mkubwa kwa 2022

Vijalida uchwara.

Kwa hiyo kati ya waislamu 500 bora duniani hagaya ni wa ngapi?
 
Jarida maarufu nchi Uturuki na Ulaya la “The Muslim 500” limemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi bora Mwanamke wa Mwaka mwenye ushawishi Duniani kwa Mwaka 2021-21.

Jarida la “The Muslim 500” hutoka kila baada ya Mwaka mmoja na husomwa Dunia nzima.

Kwa Jarida hili la “The Muslim 500” kumtaja Rais Samia Kama Kiongozi Bora wa Mwanamke wa Mwaka itachochea nafasi ya kukuza uwekezaji hapa nchini pamoja na kuongeza Utalii na kuitangaza Tanzania katika ramani za kimataifa....!!!

View attachment 1979938
Acha utani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
9FBFED77-D271-4EE6-A3AD-F2A8281184ED.jpeg


Wizi na dhuluma - hataki tume huru wala katiba mpya kabla ya 2025.

Dhuluma - hataki vyama vingine kufanya siasa zao kutafuta wanachama na hata kujiimarisha.

Wizi - anajua na alikuwa sehemu ya ghiliba za awamu ya tano.

SABAYA kathibitisha lukuki ya wizi anaofungamana nao achilia wa kwenye kura na kununua watu.
 
N
Tunasaidiwa kila uchao....afya ,elimu.....

Kwa hiyo tunapopewa ARV dhidi ya Ukimwi na nduguzo na ndugu zangu wakizitumia huwa TUNAURUDISHA MSAADA HUO KUPITIA MATUNDU YA MIILI YA NDUGUZO NA NDUGU ZANGU?!!!
Ni misaada inayotokana na ujinga kama unaouandika hapa. Hizo ARV mbona kuna watu wa Dawa zinazofanya Kazi zaidi hata ya hiyo midude? Mungu wetu hawezi kuwafanya wazungu ndio wawe na kila Kitu cha kutusaidia sisi! Kama tumekuwa tunapokea ARV tatizo liko vichwani kama vile tunavyoamini kuwa mahusiano ya Kimataifa yateleta misaada ya kutufanya tuendelee mpaka kuondokana na Umaskini.
 
Suala la Katiba mpya si la wizi Wala la dhulma....

Katiba mpya haiwezi kupatikana kwa shinikizo la kundi moja tu...tena chama kimoja tu....

Huna ushahidi wa wizi wa kura zaidi ya kuwachafua wengine kwa ile "FILAMU" iliyosukwa vyema na wapinzani.....

Nadhani tunakubaliana hataki katiba mpya wala tume huru kabla ya 2025.

Yeye ni mtu mmoja au aghalabu nyie ni kundi moja vipi kushinikiza matakwa yenu kwa wengine? Hii si haki na ni dhuluma mbaya zaidi.

Kwamba nani asiyejua 2020 kulikuwa na wizi uliovuka mipaka?

Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Hukuwahi kumsikia hata huyo akithibitisha?
 
N

Ni misaada inayotokana na ujinga kama unaouandika hapa. Hizo ARV mbona kuna watu wa Dawa zinazofanya Kazi zaidi hata ya hiyo midude? Mungu wetu hawezi kuwafanya wazungu ndio wawe na kila Kitu cha kutusaidia sisi! Kama tumekuwa tunapokea ARV tatizo liko vichwani kama vile tunavyoamini kuwa mahusiano ya Kimataifa yateleta misaada ya kutufanya tuendelee mpaka kuondokana na Umaskini.
Unaleta pang'ang'a za kuropoka eee si ndio eee?!!!

Ziko wapi hizo dawa zinazotibu virusi vya ukimwi?!!

Wewe jamaa fikra za ramli na ushirikina hazina mantiki sana dunia ya Sasa.....
 
Nadhani tunakubaliana hataki katiba mpya wala tume huru kabla ya 2025.

Yeye ni mtu mmoja au aghalabu nyie ni kundi moja vipi kushinikiza matakwa yenu kwa wengine? Hii si haki na ni dhuluma mbaya zaidi.

Kwamba nani asiyejua 2020 kulikuwa na wizi uliovuka mipaka?

Uchaguzi 2020 - Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Hukuwahi kumsikia hata huyo akithibitisha?
Kauli hiyo niliisikia....

Kauli hiyo niliielewa vyema tu tofauti na "sherehe" yenu juu yake.....

FYI: Mh.Rais SSH alikuwa anawakumbusha kuwa kwa idadi ya wanachama na mashabiki wa CCM basi haina haja ya kupoteza kura zenu kuwachagua wachache "Chadema na wenzao" kwani hao kura zao HAZITOTOSHA....
 
Kauli hiyo niliisikia....

Kauli hiyo niliielewa vyema tu tofauti na "sherehe" yenu juu yake.....

FYI: Mh.Rais SSH alikuwa anawakumbusha kuwa kwa idadi ya wanachama na mashabiki wa CCM basi haina haja ya kupoteza kura zenu kuwachagua wachache "Chadema na wenzao" kwani hao kura zao HAZITOTOSHA....

Hudhani ni yale ya Konde? Nini kilitokea Konde?

Siyo kuwa ilikuwa SUK isambaratike au wizi utamalaki?
 
Jarida maarufu nchi Uturuki na Ulaya la “The Muslim 500” limemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi bora Mwanamke wa Mwaka mwenye ushawishi Duniani kwa Mwaka 2021-21.

Jarida la “The Muslim 500” hutoka kila baada ya Mwaka mmoja na husomwa Dunia nzima.
hii habari kwa kua haijatoka Vatican baasi haikubaliki. Haya sio mawazo yangu ni wawazavyo sukuma gang. Maana majina na vitu vinavyohusiana na waislam kwao haram.

Awamu ya 5 full wakristo wateule. Imekuja awamu ya 6 imechomeka majina kadhaa wa kadha ya kiislam imekua nongwa ...I'm speaking from neural view point.
 
Unaleta pang'ang'a za kuropoka eee si ndio eee?!!!

Ziko wapi hizo dawa zinazotibu virusi vya ukimwi?!!

Wewe jamaa fikra za ramli na ushirikina hazina mantiki sana dunia ya Sasa.....
Kafanye tafiti. Umesoma lakini umesalia kama Dodoki. Nina Ndugu zangu Wawili walikuwa na HIV( Tested na walikuwa wanatumia ARV) wamepona kwa Dawa za Kienyeji.
 
Hisia si lazima ziwe na UHALISIA mkuu wangu....

Zingekuwapo husika panapo usawa, uwazi, uhuru na haki?

Kenya, Zambia, Malawi, SA na wa namna wameshaachana na upuuzi kama huu. Ndiyo maana White house inawatambua kwa kuwa karibu she viongozi tokea nchi kama hizo lakini si sisi!

Madwalimu menzetu yako hapa: Uganda, Rwanda, Burundi, Zimbabwe.

IMG_20211015_144814_546.jpg
 
Back
Top Bottom