Jarida la Muslim 500 lamtaja Rais Samia kama Mwanamke wa mwaka mwenye ushawishi mkubwa kwa 2022

Jarida la Muslim 500 lamtaja Rais Samia kama Mwanamke wa mwaka mwenye ushawishi mkubwa kwa 2022

Quran inasemaje kuhusu mwanaume kumtawala mwanamke??????!!!

Muslim500 ni wachumia tumbo. Wameona fursa hapo. Ngoja mama aingie kichwa kichwa.
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Mtu mweusi na muislam sinaga imani nao kabisa sijui kwanini.
Kumbuka kuna Wa Far East weusi yaani nchi za Ufilipino, Indonesia, Singapole, Malasia nk.
Kuna Waarabu weusi
Kuna wahindi weusi
Kuna Waafrika weupe pe kabisa.

Hapa ulikuwa unamaanisha
Mtu yeyote mwenye rangi nyeusi au
Waafrika wote
Wote wenye asili ya Afrika
au
Wenye asili ya Afrika wanao ishi ndani ya bara la Afrika ?
 
Kumbuka kuna Wa Far East weusi yaani nchi za Ufilipino, Indonesia, Singapole, Malasia nk.
Kuna Waarabu weusi
Kuna wahindi weusi
Kuna Waafrika weupe pe kabisa.

Hapa ulikuwa unamaanisha
Mtu yeyote mwenye rangi nyeusi au
Waafrika wote
Wote wenye asili ya Afrika
au
Wenye asili ya Afrika wanao ishi ndani ya bara la Afrika ?
Je waafrika weupe wakoje na wanapatikana Nchi gani?
 
Tanzanian president Samia Suluhu have been named Muslim woman of the year in the 2022 edition of Muslim500.

CHUKWUEMEKA AYOMIDE โ€ข OCTOBER 19, 2021

Tanzanian President, Samia Suluhu Hassan

Tanzanian President, Samia Suluhu Hassan
Tanzanian president Samia Suluhu-Hassan have been named Muslim woman of the year in the 2022 edition of Muslim500.
Ms Suluhu-Hassan was named Muslim woman of the year for her landmark achievement as Tanzania first female president and one of the very few female presidents to have ruled an African country.
Justifying its choice of Ms Suluhu-Hassan, Muslim500 in the publication explained that the Tanzanian president had attracted investors and restored the confidence of existing investors.
โ€œPresident Suhulu has restored investor confidence and attracted private sector investments,โ€ the publication said.
Released on Monday night, the Muslim 500 spotlights powerful and influential Muslims globally.

Tahadhari:
Wale wa kukosoa kila kitu cha Rais Samia mwageni povu, ila sisi tuko na Mama, Anaupiga mwingi

View attachment 1981166
Ni jarida la waisilamu au kikundi cha waisilamu wasiofuata miongizo ya dini ya uisilamu. Je, uisilamu unaofuata muongozo wa dini unakubaliana na yeye kuongoza nchi? Nawaachia Taliban watupe jibu na CCM wasitupe jibu kwani wao si waisilamu.
Mwisho, jarida la Naijeria si la kuliamini, ni kikundi cha matapeli wa kisiasa.
 
Mtu mweusi na muislam sinaga imani nao kabisa sijui kwanini.
Sababu kubwa were ni kaburu wa dini na rangi na ndani ya miaka hii kumi utakufa kihoro maana samia bado yupo na ataendelea kuwapo kwa uwezo wa mungu
 
Waache unafiki dini ya haki haitaki na hairuhusu mwanamke awe kiongozi..haifai na kama wanapongeza ni unafiki..sio amri ya dini ya hakhi.

#MaendeleoHayanaChama

Kwani ni kiongozi wa dini au taifa, huwa mna uhanangwa sana nyie, mambo ya Taleban msilete Afrika huku.
 
1. Kwa mjibu wa bandiko lako inahusu waislamu sio kila mwenye imani nyingine
2. Inawezekana akawa ndio rais wa kwanza kukumbwa na jinamizi la kuburuzwa mahakamani baada ya meza yenye kinga kupinduliwa
3. Awamu itakayofuata baada ya yeye itakuwa na VISASI kuzidi vile vinavyotokea sasa na ndio itaifanya hali ya amani Tanzania kuwa tete
Awamu gani tena .....??
 
Jarida maarufu nchi Uturuki na Ulaya la โ€œThe Muslim 500โ€ limemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi bora Mwanamke wa Mwaka mwenye ushawishi Duniani kwa Mwaka 2021-21.

Jarida la โ€œThe Muslim 500โ€ hutoka kila baada ya Mwaka mmoja na husomwa Dunia nzima.

Kwa Jarida hili la โ€œThe Muslim 500โ€ kumtaja Rais Samia Kama Kiongozi Bora wa Mwanamke wa Mwaka itachochea nafasi ya kukuza uwekezaji hapa nchini pamoja na kuongeza Utalii na kuitangaza Tanzania katika ramani za kimataifa....!!!

View attachment 1979938
Kuturudisha katika uhusiano MADHUBUTI na jumuiya ya kimataifa ......
Hapa ndipo tulipenda kufika
 
Kwa kuwa unakula kwa mama huwezi kuona ushawishi wake Hadi pale utakapohama nyumbani....!!!
 
Kashawishi jambo gani ambalo bila yeye lilikuwa haliwezekani? Hebu tuache kuongea mambo yasiyokuwepo. Kama ana ushawishi kiasi hicho ameshindwa nini kukaa na washindani wake kisiasa ili wajadiliane Juu ya Siasa za kistaarabu na zenye kuchochea maendeleo?
Kufungulia watu kesi za ugaidi
 
Kidogo kidogo anatambulika duniani.....

Ninamtabiria makubwa kuwa ndiye atakayekuwa RAIS bora kabisa mwanamke kuwahi kutokea duniani......

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA aaaamin๐Ÿ™
Mazuri zaidi yanakuja, ni raha tupu. Sasa tunazungumzia dunia si tu Afrika mashariki na kati na si tu Afrika bali ni kule majuuuuuuuu.

Siku njema huanza asubuhi. Tutagusa kila angle, kila penye Fursa tutapafikia hata kukiwa China, Bangkok au Burma
 
Maneno ya kukopikopi. Ni lini hatukuwa katika Uhusiano wa Kimataifa na tulikosa nini?
Kuna uhusiano wa Kimataifa na uhusiano wa Kimataifa. Unaweza kuwa na uhusiano wa kimataifa lakini upo upo tu wala hujui juu ya kunufaika nao. Ni kama una rafiki mpendwa darasani na mkali sana, yeye anapata "A" zote wewe unaambuli "D" na eti mmeshibana kweli kweli.

Inabidi uweze kuutumia urafiki wenu ili unufaike, Leo matunda ya kujulikana kwetu kwa kimataifa tutafaidika nako moja kwa moja kupitia Utalii, kuuza bidhaa za viwanda vyetu (Nyama uarabuni) na kupata teknolojia.
 
Mama akiachana kusakama wapinzani atakuwa zaidi ya Mandela.
Bulamba kwa kweli mama hana bifu na wapinzani, na anajaribu kutaka kuleta maridhiano yenye tija lakini inaonekana upinzani hasa Chadema wanajaribu kum-push katika mambo yenye maslahi machache kwa baadhi ya viongozi wao.

Ikiwa tunataka kujenga nyumba moja kwanini tunagombea fito? Hizi siasa zisitufanye tukawa kama wanyama baada ya kutumia ushawishi wa hoja za maendeleo na amani tumebaki tunahubiri chuki na kuhamasisha fujo na uvunjifu wa amani.

Mimi kwa rai yangu mheshimiwa Mbowe hana kesi bali ni zengwe tu alilotengenezewa, lakini kwa nini atanyiwe hivyo? Nadhani sababu ni ndogo tu ya kutaka kum-push mama katika suala la katiba mpya lianze mara moja, hapo ndipo anapokosea mwenyekiti Mbowe, unavuta kisu wakati umeshika kwenye makali?
 
Bulamba kwa kweli mama hana bifu na wapinzani, na anajaribu kutaka kuleta maridhiano yenye tija lakini inaonekana upinzani hasa Chadema wanajaribu kum-push katika mambo yenye maslahi machache kwa baadhi ya viongozi wao.

Ikiwa tunataka kujenga nyumba moja kwanini tunagombea fito? Hizi siasa zisitufanye tukawa kama wanyama baada ya kutumia ushawishi wa hoja za maendeleo na amani tumebaki tunahubiri chuki na kuhamasisha fujo na uvunjifu wa amani.

Mimi kwa rai yangu mheshimiwa Mbowe hana kesi bali ni zengwe tu alilotengenezewa, lakini kwa nini atanyiwe hivyo? Nadhani sababu ni ndogo tu ya kutaka kum-push mama katika suala la katiba mpya lianze mara moja, hapo ndipo anapokosea mwenyekiti Mbowe, unavuta kisu wakati umeshika kwenye makali?
UMEONGEA VIZURI.Lakini na mimi nainga mkono suala la katiba.Ni vema kuwa na katiba mpya na pia tujenge maadili ya kuheshimu katiba.Tumekuwa tukiikaanyaga sana Katiba.

Taifa kama la USA lina mafanikio sababu ya kuheshimu katiba yao
 
Jarida maarufu nchi Uturuki na Ulaya la โ€œThe Muslim 500โ€ limemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi bora Mwanamke wa Mwaka mwenye ushawishi Duniani kwa Mwaka 2021-21.

Jarida la โ€œThe Muslim 500โ€ hutoka kila baada ya Mwaka mmoja na husomwa Dunia nzima.

Kwa Jarida hili la โ€œThe Muslim 500โ€ kumtaja Rais Samia Kama Kiongozi Bora wa Mwanamke wa Mwaka itachochea nafasi ya kukuza uwekezaji hapa nchini pamoja na kuongeza Utalii na kuitangaza Tanzania katika ramani za kimataifa....!!!

Wavaa kanzu na udini,hapo wanajipendekeza wapewe lot3 na lot4 ya SGR๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Back
Top Bottom