Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Sukuma gang kubalini kuwa muda wenu umepita, acheni majungu na kutafuta viskendo vya kijingajinga, hizi ni zama za Mama, tulieni dawa iwaingie
 
Kung'ang'ana KWA malkia kugombea muhula ujao ndio dalili kuu ya anguko la kijani!
Sio kung'ang'na, bali ni deserving kwasababu hii ndio term yake ya kwanza!.
Hivyo Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! ila pia kuna hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Sio ya kuizingatia sana kivile, ila pia sio ya kupuuza!.
P
 
Uzuri wa CCM ni kuwa ni chama kinachoweza kujibadilisha badirisha ili kukidhi mahitaji na matakwa ya watu.

Kuna wakati CCM ilijivika sura ya upinzani na wapinzani wakakubali na hiyo ndio tasfiri halisi ya neno"Mapinduzi"
Hivyo hii issue ya PM,kama ikitokea ni jambo la kawaida ndani ya Chama.

Kama spika wa Bunge aliweza kujiuzuru,achilia mbali hiyo vipi kuhusu ile issue ya Abdul Jumbe.....so lolote lawezekana.

Ingawa Kuna wakati busara inaweza kutumika kukosoana ndani kwa ndani na maisha yakaendelea.
 
But what is important ni kuwa, watatoka tu na tutawasahau kabisa kabisa...
Utasubiri sana!.
Haijalishi ni lini. Iwe kesho, ama 2025. Lakini mimi nakuhakikishia jambo moja kwamba, there's no more time for CCM...!!!
As long as long umekubali kuwa haijalishi ni lini, then utasubiri sana mpaka utaondoka na CCM utaiacha!.

Hakuna kitu kizuri kama kuukubali ukweli!, kwa the political dynamics ya siasa zetu, hatuna any capable, credible and serious opposition ya kuipumzisha CCM!. Tujifunze kuukubali ukweli bayana Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
Exactly, lipo nilijualo na kwa wakati wako hata wewe utalijua...
Jf is user generated forum, sharing is caring, kama una lolote ujualo wengine hatulijui, please share!
Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...
Duh...!, hii hawana muda mrefu ni relative ila utasubiri sana, kama fisi anavyoona mikono ya binadamu inavyo ning'inia anafuatilia nyuma kwa kuibia ibia akiamini inakaribia kuanguka!.
Wa Israel walikaa utumwani Misri miaka 400!. CCM ndio kwanza miaka 50!. Msikilize mwana jf huyu Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
Mungu aweza kufanya lolote ni kweli husikia vilio vya waja wake wanao teseka, onewa na kunyanyaswa ila pia...
P
 
Pascal ACHA KUWEKA pamba masikioni I!

Sadaka ya maisha ya jpm akiwa madarakani ni chachu ya mabadiliko ya kikatiba na kiutawala ambayo wenye DOLA hawatokaa wapuuze sadaka hiyo! Sadaka ya jpm ni ukombozi KWA taifa letu kutokea kwenye mtanziko wa kikatiba ulijitokeza KWA MIAKA mingi nchini!!

Tunasubiri matokeo ya sadaka hiyo!!
 
Hauwezi kuzuia mafuriko kwa mikono.
 
Jf is user generated forum, sharing is caring, kama una lolote ujualo wengine hatulijui, please share!
Bado huelewi nini Mr Pascal Mayalla? Nilijualo ni moja, CCM hawana maisha marefu...!!
Duh...!, hii hawana muda mrefu ni relative
It's not a relative term, rather it's an absolute term...
ila utasubiri sana, kama fisi anavyoona mikono ya binadamu inavyo ning'inia anafuatilia nyuma kwa kuibia ibia akiamini inakaribia kuanguka!.
Bahati mbaya sisi siyo fisi. Sisi ni binadamu wenye akili na ufahamu usiofanana na wa fisi...!
Wa Israel walikaa utumwani Misri miaka 400!. CCM ndio kwanza miaka 50!. Msikilize mwana jf huyu Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
Umesahau kuwa hata umri wa kuishi wa binadamu sasa ni miaka 70 tu na ukiwa na nguvu ni 80. Kwa hiyo, miaka 50 ni mzee huyo...!!
Mungu aweza kufanya lolote ni kweli husikia vilio vya waja wake wanao teseka, onewa na kunyanyaswa ila pia...
P
Ni vyema kwa kuwa unaamini hivi....

Ondoa neno "lakini" bali huo ndiyo ukweli wote...

Na actually, MUNGU YEHOVA ameona, amesikia kilio cha watu wa Tanzania...
 
Utasubiri sana!.
"Sana", ilishapita. Sasa ni matokeo ya sana...
As long as long umekubali kuwa haijalishi ni lini, then utasubiri sana mpaka utaondoka na CCM utaiacha!.
Tuliwaambia toka enzi zile mnampigia upatu Mwendazake awe Rais wa maisha. Tukawaambia, atapoteza maisha yeye na katiba itabaki kuwa "intact" kwa term 10 tu mkabisha...

Sasa na hapa nakuambia hivi, CCM is dead. The doctor is in the office to issue you the certificate of death ready for burial ceremony whether at Butiama - Mara regional or Mnazi moja - Zanzibar ...!!
Hakuna kitu kizuri kama kuukubali ukweli!, kwa the political dynamics ya siasa zetu, hatuna any capable, credible and serious opposition ya kuipumzisha CCM!.
Mungu hahitaji any serious opposition to change things. Mungu nimjuaye mimi hutumia vitu dhaifu kufanya mambo yake ili kuviaibisha vinavyodhani vina nguvu...!

Nakuhakikishia jambo moja, kubwa, umefika wakati wa jambo kubwa kutokea Tanzania na hamtaamini...!
Yes, I agree...

Kweli yatupasa sote tujifunze kukubali ukweli...

Sasa ni wewe ukubali ukweli huu nikuambiao au sisi tukubali mazoea ya hisia zenu za ulevi wa madaraka...?
 
Not in Africa Mappesa
 
Unaota 😀😀
 
Mkuu The Palm Beach , kwa vile mimi ni muumini wa kauli umba, ngoja nijinyamazie kuisikilizia hii kauli yako, maana kuna kauli zina umba!. "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba?. Shuhudia..

Lets wait and see!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…