Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Lakini ni muhimu waTanzania wapate uongozi sasa hivi utakaowaelekeza huko kwa haralka sana kabla ya 2025, vinginevyo tutaendelea tu kuwa chini ya hiki chama amabacho kimewaduwaza waTanzania wasijue la kufanya.

Kama safari hii itashindikana kuwaweka pembeni CCM, basi tena sijui wakati mwafaka utatokea lini na wapi.
 
Hakuna lisilowezekana chini ya Bongo
 
Mtu pekee aliyekua na ngozi ya chuma akajiuzulu alikua Edward Ngoyai Lowassa na yote kwa sababu hakua na njaa.PM huyu hawezi jiuzulu kwanza ameshatoa press kumsagia kunguni huyo aliyekamatwa na pia Bunge hili la sasa la Ndiyoooooooooooo Ndiyooooooooo kupiga kura ya kutokua na imani na PM ni jambo lisilowezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Akasahau kuwa mwanae ndiye kinara wa kumtetea baba kuwa mzigo si wake.
 
I agree..

But what is important ni kuwa, watatoka tu na tutawasahau kabisa kabisa...

Haijalishi ni lini. Iwe kesho, ama 2025. Lakini mimi nakuhakikishia jambo moja kwamba, there's no more time for CCM...!!!
 
I agree..

But what is important ni kuwa, watatoka tu na tutawasahau kabisa kabisa...

Haijalishi ni lini. Iwe kesho, ama 2025. Lakini mimi nakuhakikishia jambo moja kwamba, there's no more time for CCM...!!!
Labda mwenzangu kuna unalolijuwa wewe, ambalo mimi silijui.
Kamwe siwezi kuhoji unachosema hapa.
 
Shida Vijana wa Ki Zanzibar wana ona muiba pekee kwa Mama ni Kassim Majaliwa. Hivyo wana tengeneza hila za kipumbavu kisa kodi ya vitenge isiyo zidi hata million 200.
Je hiyo mi hotel mnayo jenga nyie huko mbugani Kaskazini ni bilioni ngapi?

Plz Majaliwa usiji uzuru. Watanganyika wote tupo nyuma yako. Kama vipi na ww lipua skendo zao zote. Dawa ya moto ni moto.
 
Labda mwenzangu kuna unalolijuwa wewe, ambalo mimi silijui.
Kamwe siwezi kuhoji unachosema hapa.
Exactly, lipo nilijualo na kwa wakati wako hata wewe utalijua...

Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...

Looh, hivi haya mambo yamekuwaje....!!!?

Farao na Wamisri wa kale walikuwaga na dhana na mawazo kama ya maCCM hivihivi...

Walikuwa wakiamini kuwa Israel angekuwa mtumwa wao milele...

Yaani baadhi ya Israel nao walishajikatia tamaa kiasi cha kuzoea hali ya utumwa na kuamini kuwa, wameandikiwa kuwa watumwa wa Misri milele...

Lakini Mungu alitumia njia rahisi mno kuwatoa kwa kuachilia pumbazo dogo kwenye akili ya Farao na serikali yake na kutoa maamuzi waliokuja kuyashangaa hata wao...

Walikuja kushituka, kuku ameshaliwa, wameachiwa manyoya tu kwenye sahani...

Yes, It happened. Mungu husikia kilio cha watu wake...

Na matukio ya kweli ya kihistoria yanatufundisha kujiamini na kuamini kuwa, Mungu husikia vilio vya watu wake wanaonewa na kunyanyaswa...

Na akichoka, hutumia njia rahisi mno kuwakomboa toka ktk utumwa wa watesi wao...!
 
Mimi siyajui uyasemayo mkuu ila nakuelewa..
 
Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...
Umeandika mengi ya kutia moyo, nami nitaendelea kujifunza na kusikiliza. Hii CCM imekuwa balaa la nchi sasa!
 
Okh Naona malkia ameagiza vikosi vyake vikafanye mazoezi ya kijeshi HUKO kusini KWA kina katelephone!(source-milad Ayo updates)

NASIKIA vugu vugu la kinyonga wa kijani kuondoka litaanzia hapo novembre na desembre mwaka huu!!

Kuna mpasuko utatokea ambao utagawa pande Mbili ndani ya kijani ni hapo ndipo kifo kitatokea Rasmi!!!

Malkia aliambiwa mchakato wa kitabu kipya uanze Rasmi mwaka huu ,matokeo yake akaanzisha kikosi cha mchongo kinyume na matakwa ya dola!

TUSUBIRI!!
 
Kung'ang'ana KWA malkia kugombea muhula ujao ndio dalili kuu ya anguko la kijani!
 
CCM haijawahi kujirekebisha [emoji23][emoji23][emoji23]wananchi ndio wameamua kuamini CCM imejirekebisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…