Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

williamswtf.png
 
Mmezunguka weee mkaona mpite Vichochoro vya Kisosora?
Lete ushahidi siyo umelala na njaa ukaota ndoto unakuja na hekaya za Abunuas [emoji16]
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.

Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.

Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.

Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.

Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.

Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia mtoto wa msimamizi wa shughuli za serikali (PM) kuwa Martin MM alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi kuwa mzigo uliokamatwa wajitahidi mzee asitajwe.

Samia na chama kimejaribiwa;

Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.

-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.

Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.

Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Mimi namtetea PM hana tatizo na hawezi kuondolewa nafasi yake hata iweje. He is there to stay mpaka 2030
 
Jamaa sio muadilifu hata kidogo, uzalendo anaouamini ni kuning'iniza skafu na tai mfano wa bendera ya taifa ili hali mbadhilifu na mtapanyaji mkubwa wa mali za umma hasa anapopatia nafasi!

Akimaliza na huyo mnyiramba ahamie kwa yule msambaa aliyegeuzwa mpiga debe wa gas ya Rostam, ameshindwa kuisimamia na kuishauri TPDC ku come up mipango endelevu ya kuwa na product ya gas ambayo i thought ndo ingekuwa iitwe taifa gas!

Sawa ameshindwa kuishauri TPDC, Je kwenye ameshindwa kunadi gas ya wabia wakubwa wa serikali kwenye mambo ya nishati kwa ujumla ambapo kwa kufanya vile angeinufaisha serikali pia.

Mama Samia akumbuke kuwa kuna watu wameingia kwenye lile baraza kimkakati na aghalabu asipotizama watazamisha jahazi.

cheza vzr mama na yule wa ardhi pia, sio wema kwako watakuharibia!!!
yote hayo anayajua kwa Mama hawa watu wananmchanganya na kwa kadri ya mazingira yalivyo inawezekana iko hivi:-
  1. kuna watu anapenda kufanya nao kazi waliokuwa na mtangulizi wake lakini system iliyomuweka na kumuwezesha hawawataki.
  2. kuna watu system imeshamwambia awateme muda wao umefika lakini ni mtu pendwa na wananchi kwa hiyo inatengenezwa skendol aondoke na huenda na yeye hakuuona mtego kaingia yaleyale ya Lowasa!
  3. kuna watu ni wezi na wanachofanya anakiona na kukijua na kadri ya umri wake na dhamana aliyopewa hapendi lakini ni watoto pendwa wa mfalme aliyempa madaraka.
  4. anayapenda maisha yake na familia yake kwa kuwa lisemwalo lipo kuhisi ni kosa na kuhiswa ni kosa zaidi hivyo inabidi atulie ale pop cone taratibu vinginevyo ni hatari na kwa sasa CCM kiusalama ndani ni hatari zaidi kuliko nje hakuna wa kuwadhuru nje bali watamalizana wenyewe.
  5. kwa kifupi ni kwamba wote wanatafuta fedha na inawezekana Malkia kuna baadhi ya shughuli amepewa share na wanaotumwa ndio haohao wanaotemea mate Bendera ya Taifa.
  6. mwisho wa siku kama tunataka kufanikiwa wadanganyika tujipange kwa taifa letu hakuna hata siku moja hawa jamaa watasema sasa imetosha na ninyi endeleeni na nchi yenu wataiacha mahame na kibaya zaidi kila kitu watakuwa wamepeleka nje ya nchi na sisi kubaki marofa. ifike mahali tukubali kujitoa na wengi wawe tayari kupoteza uhai kwa ajiri ya taifa hili vinginevyo "twefa twilola"
 
wamguse wanuke!, yule ndio amewasitiri maccm kwa wananchi...sasa maccm wajifanye wajuaji wataona watanzania watakavyowafanya. Huyo ndio mfariji wa wananchi baada ya yule bosi wake kutoweka duniani
huyu wamelazimishwa na wananchi kuwa naye
 
Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Mwenyekiti na kamati kuu inayo mamlaka ya kuwajadili na kupendekeza majina matatu na lipatikane jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
majaaliwa yake mola😎
 
Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.

Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.

Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.

Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.

Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.

Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia mtoto wa msimamizi wa shughuli za serikali (PM) kuwa Martin MM alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi kuwa mzigo uliokamatwa wajitahidi mzee asitajwe.

Samia na chama kimejaribiwa;

Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.

-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.

Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.

Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
CCM siku zote inalindwa na dola hivyo haijawahi kupata mtikisiko wowote ambao ungeilazimu ijirekebishe, CCM kwa sasa si chama bali ni mtawala na mtawala hulindwa na mtutu wa bunduki dhidi ya wapenda haki.
 
Amepata madaraka kwa shida sana,

pili hana akili ya kujiajiri.

usitegemee kujiuzuru kirahisi
AJIUZULU KWA KOSA LIPI?, HAWA VIJANA WETU WANAOJIMWAMBAFAI KWA NAFASI ZA WEWE WAO WANALETA SHIDA KWELI, MAJUZI ILIKUWA KWA SIMBACHAWENE LEO IMEKUA TENA HUKU, VIJANA WAACHE HAYA JAMANI.,WANAWASABABISHIA WAZAZI SHIDA NA KUWALETEA TASWIRA MBAYA.
 
Back
Top Bottom