Je, dakika yake ya mwisho duniani alisemaje? Ilikuwaje?

Neema hio
 
Mie alinibusu mara ya mwisho kumbe alikuwa anaenda kuolewa na mwingine[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pumbaaaaf[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Lkn sio kila mtu anayepitia hali hiyo,hiyo hali huitwa Agon of death/Death Agon,wapo wanaokufa kifo cha starehe (Silent death), Matharani wanaolala usingizi tu na kunapokucha wanakutwa wameshafariki.
 
Dah!!!,Wale wanaopinga uwepo wa MUNGU nadhani Kuna kitu cha kujifunza hapa.Acha Mimi niendelee kusali.
 
I love this.... natamani nikifa nipate wasaa kama huu
 
Sad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…