Thank you to know that I don't know and I want to know as you know.Aliyeleta hoja , sio kuwa bangi imekolea ila tu ni swali kama akina Socrates wa kale, ni kutaka tu kujua kwani yeye hajui. (The one who knows he knows not he knows)
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila comments zenu wananzengo!eti Kabla ya kulimwagia majiTujifunze kwa kina kwanza asili ya jua ni nini kabla ya kulimwagia maji. Unaweza ukaharibu solar system na kusababisha maafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Kasomi.🤣Ni mawazo tu.
Ntarudi,naandaa diaba kwanza😁😁😁Karibu tena kwa maoni pia.
Kajaze ukaribie na safari itaanza tukiambatana na Bujibuji Simba NyanaumeNtarudi,naandaa diaba kwanza😁😁😁
Nenda kamwagie halafu uturudishie majibu ya kitakachokuwa kimetokea.NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI[emoji782]
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;
Kitakachotokea ni kwamba jua [emoji3508] halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.
Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.
Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
Avatar yako bila shaka huyo ni Nikola Tesla.Nenda kamwagie halafu uturudishie majibu ya kitakachokuwa kimetokea.
diaba la lita ngapi nikusaidieNtarudi,naandaa diaba kwanza😁😁😁
Lile la ndoo tano sijui ndio Lita Mia lile😂diaba la lita ngapi nikusaidie
hahahaha.uliza litatosha?Lile la ndoo tano sijui ndio Lita Mia lile😂
Kasomi atatujibu hapa!tuko serious na safarihahahaha.uliza litatosha?
ajibu haraka.tujiandaeKasomi atatujibu hapa!tuko serious na safari