poa poa.imeisha hyLitatosha kila mmoja akiandaa diaba linatosha vizuri sana.
ππpoa poa.imeisha hy
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJIβ
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;
Kitakachotokea ni kwamba jua βοΈ halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.
Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.
Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
tupige kazi sasaππ
Siti number moja.maana tangu mipango ya Safari inaanza nimekuwa front sanaKajaze ukaribie na safari itaanza tukiambatana na Bujibuji Simba Nyanaume
Msingi wa uanzishwaji ulikuwa kupinga hivyo member wengi wa kitambo walikuwa wapinzaniSijawahi Kutana na Platinum member mwenye kuipenda CCM.
Je, kuna nini hapa kati? Huenda kuna somo pana.
Subiri limwagiwe maji kwanza tuone itakuwaje.NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJIβ
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;
Kitakachotokea ni kwamba jua βοΈ halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.
Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.
Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.
ππππππππππππππππππππππππππππππππAnza safari haraka sanaView attachment 2119251
Hayo maji tutatoka nayo wapi au hayahaya ya duniani?Kwanza hilo diaba linapaki wapi maana uzito wake na ukubwa wake sijui dunia itamudu
Hapo sio titapapa mvua yamaji moto kama shower yenye heatwrNINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJIβ
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji !;
Kitakachotokea ni kwamba jua βοΈ halitazimika bali jua litaongezeka ukubwa na uzito kutokana na kuongezeka kwa hydrogen na oxygen,
na hii sasa itapelekea kutengeneza jua kubwa sana lenye rangi ya bluu na nyeupe.
Kutokana na kumwagiwa maji jua litakuwa kubwa mara 1.8 kushinda size ya awali, kutokana na huo ukubwa litakuwa linaambaa ambaa karibu kabisa na dunia huku sayari zilizo karibu na jua mfano mercury, venus zote zitamezwa na jua.
Watu, wanyama watakimbia huku na kule wakihofia nini kimetokea pia viumbe hai asilimia kubwa watapoteza maisha kutokana na kuongezeka kwa joto.