Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mji wa ovyo sana ,geita ina hadhi ya wilaya sio mkoa,ile stend huwa siielewi,soko la ajabu,hakuna biashara ya maana zaidi ya madini,hoteli ya maana ni moja tu Lenny hotel😅ghorofa la maana ni moja tu la otonde,mitaa mingi ni vumbi😀ukimwi UTI,uchawi ndio homeDa kwanini geita haina fursa naona hii ni kila m2 anapigia pin.
Sawa. Hongera kwa maoni.Nmepitia post zako kadhaa nmegundua HUNA AKILI NA WEWE NI MROPOKAJI.
Wenzake wanachimba. Ni moja ya biashara huko. Ila naona ni jeuri na mjuaji.Yaani akaanunue ardhi tupu na kuanza kuchimba ili kutafuta kitu ambacho hajakiweka?
Fursa hipo kwenye dhahabu vijana wadogo under 27 wana pesa mbaya mzeeWakuu nataka kuja geita vipi wakuu naweza pata mwangaza kidogo chocjote mtu anafamu?
Aidha lodge bei cheee, mishe nknk
Kwenye uchawi mkuu umentisha dah nlikua naangalia changamoto zote nikaona mbona sio swala zinakwepeka ila apo kwenye uchawi dahMji wa ovyo sana ,geita ina hadhi ya wilaya sio mkoa,ile stend huwa siielewi,soko la ajabu,hakuna biashara ya maana zaidi ya madini,hoteli ya maana ni moja tu Lenny hotel😅ghorofa la maana ni moja tu la otonde,mitaa mingi ni vumbi😀ukimwi UTI,uchawi ndio home
Madini na uchawi huwezi kuvitenganisha,mi nimesharogwa sana sema niko vizuri,Mungu ananilinda sanaKwenye uchawi mkuu umentisha dah nlikua naangalia changamoto zote nikaona mbona sio swala zinakwepeka ila apo kwenye uchawi dah
Wanaporomosha vibaya I think after twenty years geita become a nice city ever.Dah hii imekaaje wakuuu...
Kwaio mijengo ipo heavy madogo wanaporomosha?
Wapo wenye pesa ndio,ila matanuzi mwanza,uchawi usiulize kwa wasukuma mkuu,vbaka + majambaz sio kivile,matukio ya hovyo yapoKama kuna madini nafkiri bc kutakuwa na washkaji wenye pesa mnoo,
So ukiachana na lodge kipi kingine kinaweza kuwa fursa
Je ni nini inaweza kuwa changamoto nifikapo
Amna uchawi? Vibaka + majambazi je? Matikio ya hovyo??
Twenty years??hapo dodoma itakuwa kama new yorkWanaporomosha vibaya I think after twenty years geita become a nice city ever.
Fursa ya dhahabu ni shortcut. Kitu kuwa shortcut sio kibaya. Unaweza kutumiq mil 200 ukapata 0 au -, bado hapo hapo unaweza kufaulu ukapata zaido ya 1B.Ujuaji upi? nmesema nataka shortcut? Wewe umedandia vbaya hii thread mkubwa.
nashkuru kwa ufafanuzi vipi upo geita mkuuFursa ya dhahabu ni shortcut. Kitu kuwa shortcut sio kibaya. Unaweza kutumiq mil 200 ukapata 0 au -, bado hapo hapo unaweza kufaulu ukapata zaido ya 1B.
Ila kama unataka kutajirika, Geita ni ukanda wa dhahabu, mengine yote ninkujizungusha. Ukitaka shorcut ingia moja kwa moja huko. Kama hutaki pia uko sahihi.
Nimewahi kupita huko kwa kipindi kifupi.nashkuru kwa ufafanuzi vipi upo geita mkuu
Kariakoo ya kanda ya ziwa.? Nakubaliana na wewe kuhusu mzunguko wa pesa pale, ila kuna namna fulani umeikuza mpaka ukawa ni uongo.Kutoka geita moaka katoro ni nusu saa nauli ni 2000 nenda huko kuna fursa kuliko geita,geita hakuna mzunguko mzuri wa hela,katoro ni kariakoo ya kanda ya ziwa