mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Chato tuipe hadh
Chato usiichukulie poa,ni wulaya ila ina facilities hata mkoani geita hawana,airport,hospitali ya kanda,stand kali,ambazo geita hawanaChato tuipe hadhi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chato tuipe hadh
Chato usiichukulie poa,ni wulaya ila ina facilities hata mkoani geita hawana,airport,hospitali ya kanda,stand kali,ambazo geita hawanaChato tuipe hadhi gani?
Ukiambiwa uchague kuishi geita town na chato, unachagua wapi?Chato usiichukulie poa,ni wulaya ila ina facilities hata mkoani geita hawana,airport,hospitali ya kanda,stand kali,ambazo geita hawana
Geita,sababu ni karibu na mwanza na katoroUkiambiwa uchague kuishi geita town na chato, unachagua wapi?
Pamoja kiongozGeita,sababu ni karibu na mwanza na katoro
Katoro kuna chochoro panaitwa kariakoo,ukijidahau utasema uko kariakoo,ukitoka nje ndio unakutana na vumbi ns milima kwa mbaaali,ila katoro pako poa sanaKatoro unaweza kutoboa kirahisi kuliko geita.
Kwanza gharama ya maisha ni chini sana kuliko geita, na kuna nyomi ya kufa mtu. Kunabaishara kama Kkoo. Watu wengi ni wageni kuliko wenyeji. Kuanzia madini, mazao, nguo na kila kitu naona watu wanafanya pale. Ni km chache tu kutoka Geita. Nauli kutoka geita ni 2000.
Katoro ndio kkoo ya lakezone. Jaribu kupacheki na pale.
Poa sana. Pale kariakoo. Niliwahi kununua bidhaa ambayo tofauti na bei ya kariakoo DSM ni buku tu.Katoro kuna chochoro panaitwa kariakoo,ukijidahau utasema uko kariakoo,ukitoka nje ndio unakutana na vumbi ns milima kwa mbaaali,ila katoro pako poa sana
Tatizo la geita kila mfanyabiashara anadhani kila mtu anafanyakazi GGMPoa sana. Pale kariakoo. Niliwahi kununua bidhaa ambayo tofauti na bei ya kariakoo DSM ni buku tu.
Pia kuna chochoro moja pale sokoni huwa wanauza samaki wabichi kwa jumla. Unaweza kuwanunua kwa bei kama uko ziwani. Wakati geita kula samaki ni kama anasa.
Kwa nini mkuu, wanabei auTatizo la geita kila mfanyabiashara anadhani kila mtu anafanyakazi GGM
Geita mjini vitu bei juu sanaKwa nini mkuu, wanabei au
Sijaikuza hivi unajua geita,mwanza,runzewe,bukoba,ngara,muleba,chato,nyarugusu,bwanga,sengerena kuna baadhi ya bidhaa wanafuata katoro,
No dodoma aiwezi kuwa kama new york kwa uwekezaji wa serikali.Twenty years??hapo dodoma itakuwa kama new york
Kweli mkuu shortcut ya halali inayo tajilisha haraka ni kwenye dhahabu tu.Fursa ya dhahabu ni shortcut. Kitu kuwa shortcut sio kibaya. Unaweza kutumiq mil 200 ukapata 0 au -, bado hapo hapo unaweza kufaulu ukapata zaido ya 1B.
Ila kama unataka kutajirika, Geita ni ukanda wa dhahabu, mengine yote ninkujizungusha. Ukitaka shorcut ingia moja kwa moja huko. Kama hutaki pia uko sahihi.
Poa sana. Pale kariakoo. Niliwahi kununua bidhaa ambayo tofauti na bei ya kariakoo DSM ni buku tu.
Pia kuna chochoro moja pale sokoni huwa wanauza samaki wabichi kwa jumla. Unaweza kuwanunua kwa bei kama uko ziwani. Wakati geita kula samaki ni kama anasa.
Kwa mtu anaekuja kuanza kujitafuta unashauri aanzie wapiKama unataka kufanikiwa kwa haraka njoo Geita, biashara pekee ya kueleweka ni uchimbaji. 90% ya watu wanajihusisha na uchimbaji kwa namna Moja au nyingine. Hivyo kama unaweza njoo uchimbe kama huwezi tafuta biashara ya kuhudumia wachimbaji. Miaka 8 lazima uwe bilionea. Mimi nna miaka 4 hapa nna assets na miradi not less than 300m na sikuja ata na godoro.
Daah mkuu ni pm namba yako.naomba tafadhalii kaka lengo la kuuleta mjadala huu ni pia atleast nipate abc na wenyeji pia .... nakija ata kupata wenyeji kbla sijafika ni kitu nnahitaji...japo pia nna plan....Kama unataka kufanikiwa kwa haraka njoo Geita, biashara pekee ya kueleweka ni uchimbaji. 90% ya watu wanajihusisha na uchimbaji kwa namna Moja au nyingine. Hivyo kama unaweza njoo uchimbe kama huwezi tafuta biashara ya kuhudumia wachimbaji. Miaka 8 lazima uwe bilionea. Mimi nna miaka 4 hapa nna assets na miradi not less than 300m na sikuja ata na godoro.