Je, Geita ina fursa gani?

Je, Geita ina fursa gani?

Mji wa ovyo sana ,geita ina hadhi ya wilaya sio mkoa,ile stend huwa siielewi,soko la ajabu,hakuna biashara ya maana zaidi ya madini,hoteli ya maana ni moja tu Lenny hotel😅ghorofa la maana ni moja tu la otonde,mitaa mingi ni vumbi😀ukimwi UTI,uchawi ndio home
Mkuu wewe umemaliza
No comment
 
Kariakoo ya kanda ya ziwa.? Nakubaliana na wewe kuhusu mzunguko wa pesa pale, ila kuna namna fulani umeikuza mpaka ukawa ni uongo.
Sijaikuza hivi unajua geita,mwanza,runzewe,bukoba,ngara,muleba,chato,nyarugusu,bwanga,sengerena kuna baadhi ya bidhaa wanafuata katoro,
 
Kila sehemu kuna fursa.Kama huioni ni kwa kuwa hujashirikisha ubongo vizuri.
Anzia hata web ya Mkoa uone fursa.Soma nyaraka za serikali ujue mkoa wenye watu takribani 2.9m una nini.Watu wanaishi siyo wote wameajiriwa na GGM au Serikali:Multiplier effect ya kuchenjua Dhahabu ni kubwa.Fungueni macho msije mkakariri.Niko Katoro na Geita ni kadri ya 42 km
 
Kila sehemu kuna fursa.Kama huioni ni kwa kuwa hujashirikisha ubongo vizuri.
Anzia hata web ya Mkoa uone fursa.Soma nyaraka za serikali ujue mkoa wenye watu takribani 2.9m una nini.Watu wanaishi siyo wote wameajiriwa na GGM au Serikali:Multiplier effect ya kuchenjua Dhahabu ni kubwa.Fungueni macho msije mkakariri.Niko Katoro na Geita ni kadri ya 42 km
Kwaio jibu ni lipi mkuu naon kma point inakuja af sielew hhh
 
Kuna mzunguko mgumu sana wa pesa, hela zinatafutwa kwenye migodi ila raia wengi hukimbilia Mwanza kwa mambo mengi.

Sehemu ambayo migodi imeleta mzunguko wa pesa mkubwa ni Kahama, nenda huko badala ya Geita.
Sema baadhi mnaiongelea kahama nngependa kuitilia kdgo kahama pia asantee
 
Mji wa ovyo sana ,geita ina hadhi ya wilaya sio mkoa,ile stend huwa siielewi,soko la ajabu,hakuna biashara ya maana zaidi ya madini,hoteli ya maana ni moja tu Lenny hotel😅ghorofa la maana ni moja tu la otonde,mitaa mingi ni vumbi😀ukimwi UTI,uchawi ndio home
Hujaja mda mrefu kumbe,, Kuna Harvest Hotel achana na hyo Lenny
 
Mji wa ovyo sana ,geita ina hadhi ya wilaya sio mkoa,ile stend huwa siielewi,soko la ajabu,hakuna biashara ya maana zaidi ya madini,hoteli ya maana ni moja tu Lenny hotel[emoji28]ghorofa la maana ni moja tu la otonde,mitaa mingi ni vumbi[emoji3]ukimwi UTI,uchawi ndio home
We jamaa wewe ebu ichunguze akili yako vizuri huwenda kuna nati moja imelegea.


Nafikikiri kuna vitu tunapaswa kukufahamisha tu.

Kwanza tambua geita ni miongoni mwa mikoa michanga Tanzania.

Kuna project zenye hadhi ya ki mkoa bado zipo kwenye mipango na nyingine zinajengwa najengwat ni mkoa ambao una project nyingi ambazo bado hazija kamilika.

Mfano, *ujezi wa soko la kisasa gedeco.
  • Ujenzi wa stend ya mkoa wa geita magogo
  • Ujenzi wa kiwanja cha Mpira magogo
  • Ujenzi wa egesho la magari malori nyankumbu, na nyingine nyingi.


Hotel zipo nyingi nzuri sema wewe umekariri leny hotel kwakua ipo njiani.

Hoja yako ya uchawi nambie ni mkoa gani Tanzania hauna uchawi, usikute ata ndani ya ukoo wako huko mkoani kwenu kuna ndugu zako wachawi.
 
We jamaa wewe ebu ichunguze akili yako vizuri huwenda kuna nati moja imelegea.


Nafikikiri kuna vitu tunapaswa kukufahamisha tu.

Kwanza tambua geita ni miongoni mwa mikoa michanga Tanzania.

Kuna project zenye hadhi ya ki mkoa bado zipo kwenye mipango na nyingine zinajengwa najengwat ni mkoa ambao una project nyingi ambazo bado hazija kamilika.

Mfano, *ujezi wa soko la kisasa gedeco.
  • Ujenzi wa stend ya mkoa wa geita magogo
  • Ujenzi wa kiwanja cha Mpira magogo
  • Ujenzi wa egesho la magari malori nyankumbu, na nyingine nyingi.


Hotel zipo nyingi nzuri sema wewe umekariri leny hotel kwakua ipo njiani.

Hoja yako ya uchawi nambie ni mkoa gani Tanzania hauna uchawi, usikute ata ndani ya ukoo wako huko mkoani kwenu kuna ndugu zako wachawi.
Umemcharaza sana kijana mwenzio na fimbo..
Point ni nyingi sana ...wewe ni mwenyeji wa mkoa wa geita bila shaka.
 
Geita mji mmoja wa shar sana matukio n meng sana ukifungua ki mpesa ujue umewaita wapga moko kua ww unahela na sio mahind wala kupma sukar wanakuja kukuvamia mapema mno, mzunguko wa kpesa umeathriwa na wanyej sana mana ikifka sa tatu usku nusu ya mji umeenda kulala ila ukpambana gest za kufkia kwa mtafutaj uwez kukosa ya 5000 per day ukiwapa ofa yako unakaa mda mrefu ad 3500 wanakufanyia kama utalipa ya mwez
 
We jamaa wewe ebu ichunguze akili yako vizuri huwenda kuna nati moja imelegea.


Nafikikiri kuna vitu tunapaswa kukufahamisha tu.

Kwanza tambua geita ni miongoni mwa mikoa michanga Tanzania.

Kuna project zenye hadhi ya ki mkoa bado zipo kwenye mipango na nyingine zinajengwa najengwat ni mkoa ambao una project nyingi ambazo bado hazija kamilika.

Mfano, *ujezi wa soko la kisasa gedeco.
  • Ujenzi wa stend ya mkoa wa geita magogo
  • Ujenzi wa kiwanja cha Mpira magogo
  • Ujenzi wa egesho la magari malori nyankumbu, na nyingine nyingi.


Hotel zipo nyingi nzuri sema wewe umekariri leny hotel kwakua ipo njiani.

Hoja yako ya uchawi nambie ni mkoa gani Tanzania hauna uchawi, usikute ata ndani ya ukoo wako huko mkoani kwenu kuna ndugu zako wachawi.
Mu naishi geita huu mwaka wa tano njoo hapa Shelabela upate chai kwanza,Geita pa ovyo sana,nafahamu project zote na nafahamu mji unakua kuelekea Kasamwa,kwa ambaye hajatembea atasema Geita pako vizuri ila kwa tuliozurura duniani,kuita Geita a gold city ni kituko
 
Mu naishi geita huu mwaka wa tano njoo hapa Shelabela upate chai kwanza,Geita pa ovyo sana,nafahamu project zote na nafahamu mji unakua kuelekea Kasamwa,kwa ambaye hajatembea atasema Geita pako vizuri ila kwa tuliozurura duniani,kuita Geita a gold city ni kituko
Nkifika ntakuja kupata chai, ntakucheki naomba ruhusaa yako mkuu...
 
Katoro unaweza kutoboa kirahisi kuliko geita.
Kwanza gharama ya maisha ni chini sana kuliko geita, na kuna nyomi ya kufa mtu. Kunabaishara kama Kkoo. Watu wengi ni wageni kuliko wenyeji. Kuanzia madini, mazao, nguo na kila kitu naona watu wanafanya pale. Ni km chache tu kutoka Geita. Nauli kutoka geita ni 2000.

Katoro ndio kkoo ya lakezone. Jaribu kupacheki na pale.
 
Mu naishi geita huu mwaka wa tano njoo hapa Shelabela upate chai kwanza,Geita pa ovyo sana,nafahamu project zote na nafahamu mji unakua kuelekea Kasamwa,kwa ambaye hajatembea atasema Geita pako vizuri ila kwa tuliozurura duniani,kuita Geita a gold city ni kituko
Hivi ni kwanini geita panajengeka huku magogo na kuelekes kasamwa?
 
Back
Top Bottom