Ni kwa upande wa bishara gani ambazo mizigo yake yote inafuatwa Katoro.? Katoro imekuwa na uwezo wa kuhudumia mikoa yote hiyo tangu lini.?Sijaikuza hivi unajua geita,mwanza,runzewe,bukoba,ngara,muleba,chato,nyarugusu,bwanga,sengerena kuna baadhi ya bidhaa wanafuata katoro,
Ni kwa upande wa bishara gani ambazo mizigo yake yote inafuatwa Katoro.? Katoro imekuwa na uwezo wa kuhudumia mikoa yote hiyo tangu lini.?
Ni sehemu yenye biashara na mzunguko mkubwa, baadhi ya watu hufuata mizigo pale lakini si kweli kwamba ni Kariakoo ya Kanda ya ziwa. No way inaweza kuhudumia mikoa yote ya kanda ya kanda ya ziwa kwa kila kitu.
Hii kusema Katoro ni Kariakoo ya Lake zone, sijui mnaamanisha nini tu.Katoro unaweza kutoboa kirahisi kuliko geita.
Kwanza gharama ya maisha ni chini sana kuliko geita, na kuna nyomi ya kufa mtu. Kunabaishara kama Kkoo. Watu wengi ni wageni kuliko wenyeji. Kuanzia madini, mazao, nguo na kila kitu naona watu wanafanya pale. Ni km chache tu kutoka Geita. Nauli kutoka geita ni 2000.
Katoro ndio kkoo ya lakezone. Jaribu kupacheki na pale.
Hii kusema Katoro ni Kariakoo ya Lake zone, sijui mnaamanisha nini tu.
[emoji23]
Ungesoma literature na kuelewa maana au tofauti ya simile na metaphor ungeelewaHii kusema Katoro ni Kariakoo ya Lake zone, sijui mnaamanisha nini tu.
[emoji23]
Kibiashara si sawa kusema Katoro ni kariakoo ya Kanda ya ziwa (mikoa yote hiyo), mambo ya literature kwenye issue za kibiashara hupelekwa hasara kwa anaepewa taarifa.Ungesoma literature na kuelewa maana au tofauti ya simile na metaphor ungeelewa
Ahaaa Ila mi nadhani ukiondoa kahama,mwanza na musoma,katoro kibiashara iko juu kwa ukanda huoKibiashara si sawa kusema Katoro ni kariakoo ya Kanda ya ziwa (mikoa yote hiyo), mambo ya literature kwenye issue za kibiashara hupelekwa hasara kwa anaepewa taarifa.
Hata kama utasisitiza matumizi ya fasihi, bado aliyechangia kaikuza sana KATORO.
Hii kusema Katoro ni Kariakoo ya Lake zone, sijui mnaamanisha nini tu.
[emoji23]
Ahaaa Ila mi nadhani ukiondoa kahama,mwanza na musoma,katoro kibiashara iko juu kwa ukanda huo
Mkuu mimi Niko na 35M ... Naweza kuwekeza kwenye issue zipi hapo geita ... Msaada wako tafadhariKama unataka kufanikiwa kwa haraka njoo Geita, biashara pekee ya kueleweka ni uchimbaji. 90% ya watu wanajihusisha na uchimbaji kwa namna Moja au nyingine. Hivyo kama unaweza njoo uchimbe kama huwezi tafuta biashara ya kuhudumia wachimbaji. Miaka 8 lazima uwe bilionea. Mimi nna miaka 4 hapa nna assets na miradi not less than 300m na sikuja ata na godoro.
Wakuu nataka kuja Geita vipi wakuu naweza pata mwangaza kidogo chocjote mtu anafamu?
Aidha lodge bei nafuu, mishe n