Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

mwaliko ni habari njema ya wokovu yaani kukomesha dhambi kwa watu wote
ila wachache waliamini na hao ndiyo wateule
wabishi ni wale wasioamini

Hii ni sawa na mwaliko wa harusi bila kadi ya mchango
watu kwa sababu wamezoelea kuchangia hawatokubali cha bure
wanapenda nipe nikupe
Hivyo watakaohudhuria ni wachache
Hivyo hapo kwenye kuamini kwamba umesamehewa dhambi ,huna makosa wengi hii ni ngumu kumesaa

watu wanataka mpaka watoe japo kasadaka ka ukombozi
 
Healer πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
uliolewa ukiwa bikra au kama hujaolewa bikra unayo?

kama jibu ni ndio basi umechaguliwa kama ni hapana basi hujachaguliwa
 
Mambo ya imani ni ya kushangaza sana, aliyetuumba anasema walioitwa ni wengi ila wateule ni wachache. Aliwaumba wa nini kama aliowaita ni wachache...
 
Mbinguni wataenda watu 177 elfu tu, kwenda kuhudumu.

Wengine watabaki paradiso hapa hapa duniani.

So technically hapa tunaishi paradiso, ila ukitaka kuuona utamu wa paradiso enjoy mwenyewe usisubiri time.
 
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo kweli.

Unajuaje kuwa huyo Mungu yupo kweli?
 
Naomba nikutane na ww anakwa ana nikudhibitishie hili
Wewe kwanza hujui hata tofauti ya kudhibitisha na kuthibitisha.

Jifunze herufi za Kiswahili kwanza kabla ya kutaka kukutana na mimi.
 
Sawa hayo ni makosa tu ya kiuandishi naona umepata sababu
Wewe kwanza hujui hata tofauti ya kudhibitisha na kuthibitisha.

Jifunze herufi za Kiswahili kwanza kabla ya kutaka kukutana na mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…