Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Kwa sababu hujibu seriously. Tos majibu kama mtu anayetaka mjadala, tutaongea.
Wewe ndio unajibu serious kwa kunipa majibu ya rejareja ya kipuuzi? I am serious, huna hoja piga kimya
 
Ila mkuu kitabu hakijasema walifunga ndoa hakijatuambia Hawa alivaa shela na Adamu suti tuliambiwa akawabariki akawaambia zaeni mkaongezeke muijaze Dunia
Kauli hiyo ya kubarikiwa tukazaliane, iliwahusu Adam na Hawa pekee au ilihusu vizazi vyote vya binadamu hadi leo hii?
 
Iliwahusu binadamu wote, nashangaa tunabaniana na kuwekeana mipaka
Kwahiyo duniani hakuna dhambi ya kuzini sivyo? Maana binadamu wote tumeshafungishwa ndoa kwa kauli hiyo, tena tumefungishwa ndoa hadi na dada zetu, sivyo?
 
Tell dem
 
Kwahiyo Mungu kaumba binadamu mtenda makosa kwa makusudi, sivyo? Haikuwa bahati mbaya?
 
Na watoto wa huo uzinzi walifunga ndoa wapi na lini, na walifunga ndoa na nani wakati hapakuwa na watu duniani? Incest? Na aliwapa ruhusa ya kufanya incest?
Unachoita Incest ni asili ya mwanadamu au Sheria za Kiingereza?
 
Kwahiyo duniani hakuna dhambi ya kuzini sivyo? Maana binadamu wote tumeshafungishwa ndoa kwa kauli hiyo, tena tumefungishwa ndoa hadi na dada zetu, sivyo?
Amri ya 6 ya Mungu inasema usizini.
 
Brother, Allah akulipe kheri kwa jinsi unavyojitahidi kuwaelewesha hawa makafiri wa humu. Yaani mimi kwa jinsi walivyo wajinga hawa sijui hata ningeanzaje kuwaelekeza. Maana hawajui chochote kuhusu Uislam lakini wanakaza shingo wanajifanya wajuaji.
 
Sheria nyingi zilizo katika kitabu Cha biblia zmeendelea kutumiwa na wakristo Hadi leo
Kwahiyo binadamu wote tumeshafungishwa ndoa na jinsia wote wa tofauti wanaokatisha mbele, hivyo dhambi ya zinaa duniani haipo, maana ile kauli ilitufungisha ndoa hadi sisi binadamu sasa
 
Unaulizia Harusi au Ndoa, maana ndoa alifunga Mungu Mwenyewe. I harusi ingefanyikaje bila kuwa na watu wengine maana Sherehe ni watu
Ndoa hiyo umeisoma au kuiona au kuisikia katika kitabu kipi?
 
Brother, Allah akulipe kheri kwa jinsi unavyojitahidi kuwaelewesha hawa makafiri wa humu. Yaani mimi kwa jinsi walivyo wajinga hawa sijui hata ningeanzaje kuwaelekeza. Maana hawajui chochote kuhusu Uislam lakini wanakaza shingo wanajifanya wajuaji.
Kafiri babaaako mbwa wewe
 
Mimi ukinithibitishia ya kuwa hizi ni hadithi za kutunga, naacha kutumia hii ID rasmi, na wewe utakuwa shahidi.

Acheni kuandika mambo kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, hali ya kuwa mnajua kabisa hamna ithibati juu ya haya mnayo yaandika.
 
Kafiri babaaako mbwa wewe
Kafiri siyo tusi mzee. Ukipewa haki yako ichukue kwani ulichokiandika hakibadilishi ukweli wa kuwa wewe ni KAFIRI.

Kafiri kilugha ni mficha ukweli na kudhihirisha uovu na uongo.

Jifunze kuwa mvumilivu na uwe na moyo wa kiume.
 
Mimi ukinithibitishia ya kuwa hizi ni hadithi za kutunga, naacha kutumia hii ID rasmi, na wewe utakuwa shahidi.

Acheni kuandika mambo kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, hali ya kuwa mnajua kabisa hamna ithibati juu ya haya mnayo yaandika.
Wewe ndio unatakiwa udhibitishe kwamba hizo sio hadithi za kutunga, na sio the other way round we jamaa vipi? Mfano mi nakuja halafu nakuambia hapo mbele yako kuna Simba ila humuoni na hakuna namna ya kumuona kamwe, halafu ukinimbia huo ni uongo, mimi nakwambia dhibitisha kwamba ni uongo badala ya mimi nidhibitishe kwamba huyo Simba yupo kweli
 
Mimi ukinithibitishia ya kuwa hizi ni hadithi za kutunga, naacha kutumia hii ID rasmi, na wewe utakuwa shahidi.

Acheni kuandika mambo kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, hali ya kuwa mnajua kabisa hamna ithibati juu ya haya mnayo yaandika.
Ingekuwa ni vyema kama ungeweza kuthibitisha hadithi ni za kweli na sio za kutunga. Chochote kinawezekana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…