Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum

..I agree with you 100%.

..Watanzania inabidi tuwe na uchungu na nchi yetu.

..Ukisoma mijadala yetu unaona tunatilia mkazo mambo yasiyo na manufaa, na kuacha yale yenye manufaa.
 
Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Sasa wadhani CCM wamekurupuka kuweka hayo mabango?

Wanaweka mabango watajitetea kwamba kwa kuwa mchakato upo mezani, kuweka mabango ni njia ya kuukumbusha umma kwamba kuna maridhiano yafanyiwa kazi yaani wako kwenye "process".

Au kwa kiingereza yasemwa "Chadema and CCM Reconcilation Talks continue, still long way to go".
 
Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Mmelamba asali wenyewe mkamtosa Lissu. Lissu alijua mbowe ana masihara na njuruku?
 
Sasa wadhani CCM wamekurupuka kuweka hayo mabango?

Wanaweka mabango watajitetea kwamba kwa kuwa mchakato upo mezani, kuweka mabango ni njia ya kuukumbusha umma kwamba kuna maridhiano yafanyiwa kazi yaani wako kwenye "process".

Au kwa kiingereza yasemwa "Chadema and CCM Reconcilation Talks continue, still long way to go".

..hilo bango ni mali ya nani?

..amepata ridhaa ya Lissu kumuweka kwenye bango?

..nadhani itafutwe namna kumshtaki.
 
Akiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.
View attachment 2564267

Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?

Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!

Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?

Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?
Hawa jamaa ni nyumbu ila Kuna baadhi ya raia apa wanaweka Imani zao kwao kama chama Chao kimemukubali mwenyekiti wa CCM wengine mnangoja nn chama hamna pale wanesalim amri kwa kisingizio Cha Maridhiano Hangaya ni shujaa kawamaliza kwa macho tu nyumbu wote imooo
 
Ataanzaje kumweliza wife na watoto, tuhame ulaya twende zetu Singida 🤣🤣🤣🤣

Huyu jamaa tusipokuwa makini atatupiga sana pesa alafu anakwenda zake huko Ubelgiji, kwasasa wamkazie tu. Akitaka hela basi arudi achape kazi😂😂
Tukimpa uraisi hazina yetu ataikausha kwa kuipeleka kwenye akaunti yake huko Uswizi.
 
Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Mkuu siku zote za uhai wao , ccm huwa wanachelewa kulielewa jambo... Usisoma comment zao unaona kbs wengi wao akili zao ni sawa na mtoto njiti ... kichwani hawako vzr kbs
 
Ni sababu zipi zimemfanya Tundu Lissu akatishe harakati zake za siasa Tanzania na arejee uhamishoni Ubelgiji?
Si alienda kukaguliwa maendeleo ya afya? Mbona aliongea kupitia mahojiano ya star tv?
 
Si alienda kukaguliwa maendeleo ya afya? Mbona aliongea kupitia mahojiano ya star tv?
Hivyo vi plates, screws na nails vilivyowekwa kwenye long bones za mguu wake wa kulia, mbona mabingwa wetu wabobezi waliopo pale MOI wana utalaamu huo huo sawa na hao wabeligiji na mama kawapatia vifaa tiba vyote na vya kisasa sawa na hivyo walivyo navyo wabeligiji. Huyu tukimpa uraisi akiumwa hata mafua tu yeye au mke au watoto wake watakuwa wanaenda kutibiwa Ubeligiji. Hawaamini watalaamu wetu na hataboresha vitendea kazi vyao ili viwe sawa na hivyo vya kwao ubeligiji.
 
Hivyo vi plates, screws na nails vilivyowekwa kwenye long bones za mguu wake wa kulia, mbona mabingwa wetu wabobezi waliopo pale MOI wana utalaamu huo huo sawa na hao wabeligiji na mama kawapatia vifaa tiba vyote na vya kisasa sawa na hivyo walivyo navyo wabeligiji. Huyu tukimpa uraisi akiumwa hata mafua tu yeye au mke au watoto wake watakuwa wanaenda kutibiwa Ubeligiji. Hawaamini watalaamu wetu na hataboresha vitendea kazi vyao ili viwe sawa na hivyo vya kwao ubeligiji.
Unaongea utopolo mtupu.
ALiliyapitia Lissu sio ya kubeza na kuchulia poa.
Bora msimpe huo urais wenu usiokuwa na tija katika taifa...zaidi ni ulaji tu.

Huwezi kwenda kufanya check up kwa daktari asiyejua historia kamili ya upasuaji mkubwa na hatari kama hui.

Kwanza akienda myhimbili ccm mtammalizia mlivyo na chuki
 
..hilo bango ni mali ya nani?

..amepata ridhaa ya Lissu kumuweka kwenye bango?

..nadhani itafutwe namna kumshtaki.
Kuhusu bango ni suali gumu kidogo kwa kweli maana yawezekana ni walo nje ya meza ya maridhiano au watazamaji au washika mabango.

Yawezekana pia ikawa ni vijana wa CCM au wa Chadema kwa utashi au maelekezo wameamua kuweka hilo bango.

Kwani kuweka bango hilo katika barabara muhimu kama hiyo kwahitaji kulipia fedha kiasi fulani au?
 
Safi sana mhafidhina mwenzangu Tundu Lissu [emoji122]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Umetumia neno sahihi sana wahafidhina.

Hawa ni lazima wawepo katika mchakato wowote ule wa kisiasa na wala hakuna haja ya kuwasakama.

Nakumbuka hata kwenye masuala ya mpira klabu yangu ya Yanga iliwahi kuwa na mzee ambae alikuwa mhafidhina khasa Adam Bairu au mzee mwingine Ibrahim Akilimali walikuwa huwaambii masuala ambayo hayaeleweki kuhusu maridhiano au mambo yasoeleweka. .

Maridhiano yataka stratejia inoelekea kuleta matunda kwa kila pande na si upande mmoja kuonekan wazi wautuia upande mwingine kujinufaisha kisiasa.
 
Unaongea utopolo mtupu.
ALiliyapitia Lissu sio ya kubeza na kuchulia poa.
Bora msimpe huo urais wenu usiokuwa na tija katika taifa...zaidi ni ulaji tu.

Huwezi kwenda kufanya check up kwa daktari asiyejua historia kamili ya upasuaji mkubwa na hatari kama hui.

Kwanza akienda myhimbili ccm mtammalizia mlivyo na chuki
Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from them
 
Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from them

..Magufuli alijitia ujuaji kwenda JK na Mzena mnajua kilichomtokea.
 
Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from them
Na kwa kuongezea tu ni kwamba kama aenda hospitali ya Tanzania basi huwaambia madaktari wa Ubelgiji ambao nao hutuma tu hizo "documents" au "medical history" kwa njia ya email tu kwenda systems za hospitali yoyote atayochagua nchini Tanzania.

Ila kuna tatizo la "logistics" kwa vifaa za matibabu kwani kwa kule Ulaya masuala hayo hayana shida kulinganisha na huku TZ ambako "authentication" ya vifaa huwa ni muhimu sana kuepusha kununuliwa vifaa vilivyo chini ya viwango vya kimataifa.

Pia kuna expenses ambapo kwa Ulaya ni "straight forward" mchanganuo wajulikana tofauti na hapa TZ ambapo watu wataanza kupiga hesabu za cha juu hivyo kukwaza shughuli nzima ya kumshughulikia mgonjwa kiufanisi.

Lakini nadhani mheshimiwa Tundu Lissu yupo "stable" sana financially hivyo sidhani kama kutakuwa na shida sana kwenye kumudu gharama za "check-ups".
 
Back
Top Bottom