Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Leo ndio tumejua Lissu ni mhafidhinaMwafidhina Tundu
Haha Jamaa anatafuta gape la kuishi ulaya huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ndio tumejua Lissu ni mhafidhinaMwafidhina Tundu
Haha Jamaa anatafuta gape la kuishi ulaya huyo
Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Lissu analilia buyu la asali.Hoja ya Lissu ina nguvu , naiunga mkono , wanafiki wanaomdanganya Hangaya ndio wanatumia picha hizi kupotosha jamii , hatutakubali
Wewe na lissu wote hamna akili.
Sasa wadhani CCM wamekurupuka kuweka hayo mabango?Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Mmelamba asali wenyewe mkamtosa Lissu. Lissu alijua mbowe ana masihara na njuruku?Mkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Sasa wadhani CCM wamekurupuka kuweka hayo mabango?
Wanaweka mabango watajitetea kwamba kwa kuwa mchakato upo mezani, kuweka mabango ni njia ya kuukumbusha umma kwamba kuna maridhiano yafanyiwa kazi yaani wako kwenye "process".
Au kwa kiingereza yasemwa "Chadema and CCM Reconcilation Talks continue, still long way to go".
Hawa jamaa ni nyumbu ila Kuna baadhi ya raia apa wanaweka Imani zao kwao kama chama Chao kimemukubali mwenyekiti wa CCM wengine mnangoja nn chama hamna pale wanesalim amri kwa kisingizio Cha Maridhiano Hangaya ni shujaa kawamaliza kwa macho tu nyumbu wote imoooAkiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.
View attachment 2564267
Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?
Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!
Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?
Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?
Tukimpa uraisi hazina yetu ataikausha kwa kuipeleka kwenye akaunti yake huko Uswizi.Ataanzaje kumweliza wife na watoto, tuhame ulaya twende zetu Singida 🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa tusipokuwa makini atatupiga sana pesa alafu anakwenda zake huko Ubelgiji, kwasasa wamkazie tu. Akitaka hela basi arudi achape kazi😂😂
Sasa braza Lissu kadai hayo. Aiseee na inaonekana wanataka kutoa ka Altimamu fulani hivi au kuanza kudai wanadhulumiwa-isitoshe, inaonekana hapo ndipo kwenye msuguano kati ya Lissu na Mbowe[katiba vs maridhiano] na inaonyeeha✋ hata hayo maridhiano Lissu hakuwa involved some how-nafikiri- in the decision making.... hapo basi.
Hakika nchi inahitaji mbadala na dira nyoofu-na inayoeleweka [sera thabiti za mambo ya ndani na nje] Is Umoja ready and Capable?
Kuna watu wanajitolea.
Mkuu siku zote za uhai wao , ccm huwa wanachelewa kulielewa jambo... Usisoma comment zao unaona kbs wengi wao akili zao ni sawa na mtoto njiti ... kichwani hawako vzr kbsMkuu ukisoma kwa kina post nyingi katika thread hii utagundua watu wengi uwezo wao kuelewa katikati ya mistari ni wa level ya chini sana.
Lissu yuko sahihi kabisa, kuna haki gani kuweka mabango yakionyesha maridhiano wakati matidhiano hayo hayakamilika hata one third ya kutimia?
Kuna watu wamedhulumiwa haki zao na hawajafidiwa, walio shambulia watu na hata kuua wapo katika ofisi za umma na hawajashughulikiwa, mchakato wa katiba mpya hadi leo bado ni hadithi tamu na kadhalika.
Bila hayo kutekelezwa hizo picha za kupeana mikono inabaki ni ulaghai wa mapema pengine kwa malengo maalum
Si alienda kukaguliwa maendeleo ya afya? Mbona aliongea kupitia mahojiano ya star tv?Ni sababu zipi zimemfanya Tundu Lissu akatishe harakati zake za siasa Tanzania na arejee uhamishoni Ubelgiji?
Hivyo vi plates, screws na nails vilivyowekwa kwenye long bones za mguu wake wa kulia, mbona mabingwa wetu wabobezi waliopo pale MOI wana utalaamu huo huo sawa na hao wabeligiji na mama kawapatia vifaa tiba vyote na vya kisasa sawa na hivyo walivyo navyo wabeligiji. Huyu tukimpa uraisi akiumwa hata mafua tu yeye au mke au watoto wake watakuwa wanaenda kutibiwa Ubeligiji. Hawaamini watalaamu wetu na hataboresha vitendea kazi vyao ili viwe sawa na hivyo vya kwao ubeligiji.Si alienda kukaguliwa maendeleo ya afya? Mbona aliongea kupitia mahojiano ya star tv?
Unaongea utopolo mtupu.Hivyo vi plates, screws na nails vilivyowekwa kwenye long bones za mguu wake wa kulia, mbona mabingwa wetu wabobezi waliopo pale MOI wana utalaamu huo huo sawa na hao wabeligiji na mama kawapatia vifaa tiba vyote na vya kisasa sawa na hivyo walivyo navyo wabeligiji. Huyu tukimpa uraisi akiumwa hata mafua tu yeye au mke au watoto wake watakuwa wanaenda kutibiwa Ubeligiji. Hawaamini watalaamu wetu na hataboresha vitendea kazi vyao ili viwe sawa na hivyo vya kwao ubeligiji.
Kuhusu bango ni suali gumu kidogo kwa kweli maana yawezekana ni walo nje ya meza ya maridhiano au watazamaji au washika mabango...hilo bango ni mali ya nani?
..amepata ridhaa ya Lissu kumuweka kwenye bango?
..nadhani itafutwe namna kumshtaki.
Umetumia neno sahihi sana wahafidhina.Safi sana mhafidhina mwenzangu Tundu Lissu [emoji122]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from themUnaongea utopolo mtupu.
ALiliyapitia Lissu sio ya kubeza na kuchulia poa.
Bora msimpe huo urais wenu usiokuwa na tija katika taifa...zaidi ni ulaji tu.
Huwezi kwenda kufanya check up kwa daktari asiyejua historia kamili ya upasuaji mkubwa na hatari kama hui.
Kwanza akienda myhimbili ccm mtammalizia mlivyo na chuki
Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from them
Na kwa kuongezea tu ni kwamba kama aenda hospitali ya Tanzania basi huwaambia madaktari wa Ubelgiji ambao nao hutuma tu hizo "documents" au "medical history" kwa njia ya email tu kwenda systems za hospitali yoyote atayochagua nchini Tanzania.Upasuaji wake huo wa kuweka plates and nails in in his lower limb bones ni upasuaji wa kawaida tu ambao MOI wanafanya kila siku. Hata kwenye hospitali zetu za kanda na mikoa unafanyika kwa ufanisi mkubwa. History ya ugonjwa na upasuaji wake uko well documented. Siyo lazima check up ifanywe na daktari huyo huyo mmoja. Ina maana akiwa hayupo kwa sababu ye yote hususani kwa ugonjwa, kustaafu, kufariki dunia etc daktari mwingine atashindwa kufanya proper check up? Hizo plates, nails na screws zitakaa milele kwenye hiyo mifupa yake na haihitaji any check up. They are permanent parts of his body. No complications is expected from them
Kasema kalipwa,viza kurenew akikubaliwa miezi 3-6.Si alisema amelipwa huyu? 🤣🤣🤣