ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
πππππππππ€£π€£Hapana, haiwezwkani. Jakaya yupo juu sana ya Nyerere kiuongozi.
Magu ndiye unaweza kumfananisha na Nyerere, wote hao walikuwa hawaambiliki, wakurupukaji na walitumia nguvu nyingi kuliko akili katika uongozi.
Tusitumie Nguvu sana kulazimisha mambo.Kwa nini watu wote waliokuwa na Nyerere walienda kinyume na yeye kama kweli walijifunza kwake?Nyerere alikuwa juu sana huwezi kumlinganisha na hawa wote waliomfuatia. Diplomatic figure of highest quality, na nina uhakika hata Kikwete mwenyewe alijifunza mengi ya kimaisha kutoka kwake kwa muda wote aliokuwa ikulu.
Sifa pekee ya Mwalimu ni kujenga utaifa,hakuna zaidi ya hicho.Nadhani hujaelewa hoja ya mhusika.
Hoja ya mchangiaji ipo katika kufananisha, " Alichokuwa anafanya Nyerere kwa RAIS aliyekuwepo madarakani kipindi yupo hai" ni sawa na anachofanya Kikwete kwa RAIS ambaye yupo madarakani kipindi hiki.( Hoja ya ulinganisho ndio ilikuwa hapo).
NB
URAISI ni kazi ngumu sana, katika uongozi huwezi kuwa unakubali kila kitu, ukifanya hivyo utaruhusu mambo ya ajabu sana kwa kigezo cha demokrasia( Hivyo, Udikteta katika baadhi ya mambo ni MUHIMU. Hasa yale yanayolinda maslahi ya nchi).
Kashfa za rushwa, wizi, matumizi mabaya ya madaraka, uuzaji wa rasilimali za nchi, nk. Nyerere hakuwa nazo, Hivyo aliondoka na mikono safi( Hii inaonesha kuwa alikuwa ana nia njema).
Hao waliokuwa wanamshauri walikuwa wana mtazamo wa chini na walikuwa wanatumika na maadui wa nchi. Ndio maana Nyerere alikataa ushauri wao.
Hakuwa kama unavyofikiria, angekuwa kama unavyifikiria asingeng'atuka na nchi ni masikini wa mwisho duniani.Nyerere alikuwa juu sana huwezi kumlinganisha na hawa wote waliomfuatia. Diplomatic figure of highest quality, na nina uhakika hata Kikwete mwenyewe alijifunza mengi ya kimaisha kutoka kwake kwa muda wote aliokuwa ikulu.
Hakuwa kama unavyofikiria, angekuwa kama unavyifikiria asingeng'atuka na nchi ni masikini wa mwisho duniani.
Unaposema gangsters unamaanisha nini!?..kasome the dark side of NyererePengine ufisadi!! It is criminal to compare Nyerere and gangsters!!
Mafisadi/ wahujumu uchumi wa nchi yetu!Unaposema gangsters unamaanisha nini!?..kasome the dark side of Nyerere
Ujamaa ulikua uhujumu uchumi mkubwa zaidi kwa nchiMafisadi/ wahujumu uchumi wa nchi yetu!
Never, jamaa kauza nchi kukomboa jangili asiye na maslahi na nchi yetu (Ridhiwani) ili asinyongwe na Wachina kwa kuuza madawa ya kulevya. Nyerere angemwachia mwanaye anyongwe tu ili iwe fundisho kwa wananchi wake wajingaWakuu kwanza nianze kwa kujihami mimi ni layman kwenye upande wa political science! Pia si mkereketwa kbs wa siasa lakini kwa kuwa maisha ya binadamu wa leo ni ngumu sana kuyatenga na politics by default najikuta tu niko uwanjani.
Nimejaribu kufuatilia safari ya maisha ya JK ya kisiasa influence yake ndani na nje ya nchi, namna viongozi wanavyokimbilia kwake kuomba ushauri, inanipa nafasi ya kufikiri kwa uchache wake.
Je, inawezekana yeye ndo Nyerere wa Tanzania ya leo?! (Remote from Msoga).
Kung'atuka ni maono ya hali ya juu kulinganisha na marais wa kizazi chake wa nchi za Afrika wakati ule.Hakuwa kama unavyofikiria, angekuwa kama unavyifikiria asingeng'atuka na nchi ni masikini wa mwisho duniani.
Kwenda kinyume ni presha za wahisani zinazokuwa ni sababu tusizozifahamu za nyuma ya pazia.Tusitumie Nguvu sana kulazimisha mambo.Kwa nini watu wote waliokuwa na Nyerere walienda kinyume na yeye kama kweli walijifunza kwake?
Acha udiniNyerere ana kipi Cha maana zaidi ya kusifiwa na wakatoliki wenzie Kwa sababu wajuazo wao!!
Hili bibi lina udini na linaonekana lichawiHapana, haiwezwkani. Jakaya yupo juu sana ya Nyerere kiuongozi.
Magu ndiye unaweza kumfananisha na Nyerere, wote hao walikuwa hawaambiliki, wakurupukaji na walitumia nguvu nyingi kuliko akili katika uongozi.
Ni bora kwa sababu ni muislamu mwenzioKikwete ni zaidi ya Nyerere. Nyerere alikuwa mnafiki sana mdini kupita maelezo akipendelea kanisa katoliki kuliko wengine hasa waislamu. Aliunga mkona Biafra kujitenga na Nigeria huku akipigia chapuo umoja wa Africa na akinza na muungano wa tanganyika na Zenj. UNAFKI HUU.
Alikuwa mdini kwa kuifungia jumuia ya kiislamu ya maendeleo ya Africa Mashariki EAMS huku akiliahidi kanisa kulipa a better chance. Rejea padre John Sivalon.
Alienda kusapoti Biafra kwa kuwa kule wengi ni wakatoliki ili wajitenge na influence ya nothern Nigeria ambayo ina waislamu wengi.
KIKWETE NI BORA SAAAAANA KULIKO NYERERE. KIKWETE NI MLIMA KILIMANJARO WAKATI NYERERE NI KICHUGUU.
Nilisikia kuna meli ya serikali iliuzwa kwenye utawala wake.Hii unaisemaje?.Nadhani hujaelewa hoja ya mhusika.
Hoja ya mchangiaji ipo katika kufananisha, " Alichokuwa anafanya Nyerere kwa RAIS aliyekuwepo madarakani kipindi yupo hai" ni sawa na anachofanya Kikwete kwa RAIS ambaye yupo madarakani kipindi hiki.( Hoja ya ulinganisho ndio ilikuwa hapo).
NB
URAISI ni kazi ngumu sana, katika uongozi huwezi kuwa unakubali kila kitu, ukifanya hivyo utaruhusu mambo ya ajabu sana kwa kigezo cha demokrasia( Hivyo, Udikteta katika baadhi ya mambo ni MUHIMU. Hasa yale yanayolinda maslahi ya nchi).
Kashfa za rushwa, wizi, matumizi mabaya ya madaraka, uuzaji wa rasilimali za nchi, nk. Nyerere hakuwa nazo, Hivyo aliondoka na mikono safi( Hii inaonesha kuwa alikuwa ana nia njema).
Hao waliokuwa wanamshauri walikuwa wana mtazamo wa chini na walikuwa wanatumika na maadui wa nchi. Ndio maana Nyerere alikataa ushauri wao.
Udini unakusumbuaUkiwapanga marais wanne bora kidemokrasia nchini
Namba 1 ni JKN
2. Mzee Ruksah
3. Ni JMK
4. Samia (huyu mpaka amalize kipindi chake akiendelea hiv, akawapuuza wahafidhina) kuna uwezekano akawa namba 2)
5. Mkapa
6. Hakuna
Meli ya serikali iliyouzwa kipindi chake siyo ufisadi?.Nyerere hakuwa fisadi. Acha kabisa kumlinganisha baba wa taifa na hivi vitu vingine vya .........!
Alitakiwa awaangamize wote hao wabaguzjNa wewe umechanganyikiwa nini! Mkapa atakuweje wa kwanza wakati aliangamiza wazanzibar mwaka 2001?
Kwa hiyo huyo ostadhi aliiacha Tanzania no 1 dunianiHakuwa kama unavyofikiria, angekuwa kama unavyifikiria asingeng'atuka na nchi ni masikini wa mwisho duniani.