Mbona unajiuma uma bro kiasi unakosea kuandika!?ripoti zipi mzee unataka na hizo ripoti unataka upewe na nani?
hizo unazoongea bado ni zilipendwa, german iliwaua wayahudi wa kipindi hicho, hivo unavotaka kusema safari hii german ikitaka kuwaua wayahudi wa sasa hivi ambao ndo hawa wakina mark zukerberg wa facebook na sergei brin wa google itaweza kweli?Huwenda hujaelewa nacholenga.
Weka urafiki pembeni,hata ikitokea conflict baina ya Israel na Germany,Israel itatandikwa kama ilivyotandikwa kipindi cha nyuma tu.
Huo urafiki ni kwa sababu ya USA na UK.
Kiufupi hata sasa Israel hana nguvu za kijeshi za kuifikia Germany.
Mark zuckerberg raia wa USA sio Israel.hizo unazoongea bado ni zilipendwa, german iliwaua wayahudi wa kipindi hicho, hivo unavotaka kusema safari hii german ikitaka kuwaua wayahudi wa sasa hivi ambao ndo hawa wakina mark zukerberg wa facebook na sergei brin wa google itaweza kweli?
We jamaa wewe wenzio wamehama north israel kule shauri ya missile za lebanon zinachapa kila siku weye unasema hazina nguvu, kama hazina nguvu israel kilichomtoa lebanon 2006 ni nini au umeanza kufuatilia siasa za mashariki juzimakombora aliyoyafyatua juzi nusu yake yote yalianguka yenyewe kwa kukosa nguvu
hatujaongelea uraia wa nchi acha kujitoa ufahamu, mbona unajizima data wewe? kwan hiyo ujerumani unayoiongelea iliwaua waisrael au wayahudi?Mark zuckerberg raia wa USA sio Israel.
Bro kwani Hizbollah huko mpakani anawafanya nini Israel!?
Nazungumzia uwezo wa kijeshi baina ya taifa la Israel na taifa la Germany.
kawaulize lebanon hadi leo hawataki vita, kilichowakuta 2006 wao ndo wanakijuaWe jamaa wewe wenzio wamehama north israel kule shauri ya missile za lebanon zinachapa kila siku weye unasema hazina nguvu, kama hazina nguvu israel kilichomtoa lebanon 2006 ni nini au umeanza kufuatilia siasa za mashariki juzi
Mbona unajivuruga mzee!?hatujaongelea uraia wa nchi acha kujitoa ufahamu, mbona unajizima data wewe? kwan hiyo ujerumani unayoiongelea iliwaua waisrael au wayahudi?
Kaifuatilie vizuri vita ya Israel-Lebanese war ya 2006.kawaulize lebanon hadi leo hawataki vita, kilichowakuta 2006 wao ndo wanakijua
nilikusudia taifa, ila wewe ulitoa mfano wa ujerumani ilivoua wayahudi, je ulikusudia uraia au taifa? taifa la israel lilikuwepo kipindi hicho? swali limerudi kwako mzeeMbona unajivuruga mzee!?
Ulipotoa mfano wa Japan na China ulikusudia uraia au taifa!?
Embu jibu hapo.
hakuna vita ambayo israel amewahi kukimbia sabab vita ndio maisha ya israel, yeye bora afie vitani lakini sio kukimbia, atleast US anaweza kukimbia vita kama akiona haina maslahi yake na anatumia gharama kubwa, ila sio israel, bila vita israel hawezi kusurvive, unalijua hilo?Kaifuatilie vizuri vita ya Israel-Lebanese war ya 2006.
IDF walipakimbia Bint jubeir kusini mwa Lebanon,jiulize kwanini walipakimbia?
Ulitoa mifano miwili ya Japan dhidi ya China na Germany dhidi ya wayahudi/waisraeli.nilikusudia taifa, ila wewe ulitoa mfano wa ujerumani ilivoua wayahudi, je ulikusudia uraia au taifa? taifa la israel lilikuwepo kipindi hicho? swali limerudi kwako mzee
Kafuatilie hiyo vita vizuri hujaifuatilia bila shaka.hakuna vita ambayo israel amewahi kukimbia sabab vita ndio maisha ya israel, yeye bora afie vitani lakini sio kukimbia, atleast US anaweza kukimbia vita kama akiona haina maslahi yake na anatumia gharama kubwa, ila sio israel, bila vita israel hawezi kusurvive, unalijua hilo?
Kwaiyo marekani alipojitoa afganistan, au aliposhindwa vita vya vietnum alikua dhaifu?? Usichanganye vita ambavyo ungesema kashindwa endapo anapigana na watu wanaoonekana kama urus na ukrain ila hamas sio watu mchana raia wa kawaid usiku wana ak47 sada utafanyajeView attachment 2969643
Katika nchi zenye uwezo kijeshi Israeli mtoe, ule uongo mliokua mkidanganya marahii umefika mwisho. Hana uwezo hata wa kupigana na wanamgambo, mwezi wa sita huu anahangaika na Hamas. Kuporomosha majumba na kuuwa wanawake na watoto huo ni wendawazimu sio vita.
Iran haijawahi kupigana na yeyote zaidi Vita vya Miaka Minane na Iraq. Israel ameishawahi kupigana vita na nchi za Kiarabu zaidi ya Sita kwa wakati mmoja na akazishinda. Hapo tia akili mkichwa nani zaidi.Ìran ni dudu washa achana nalo
Sasa hivi hamas wanamtoa kamasi mwezi wa sita huu.Iran haijawahi kupigana na yeyote zaidi Vita vya Miaka Minane na Iraq. Israel ameishawahi kupigana vita na nchi za Kiarabu zaidi ya Sita kwa wakati mmoja na akazishinda. Hapo tia akili mkichwa nani zaidi.
Mbona hii ya Iran kakimbia?hakuna vita ambayo israel amewahi kukimbia sabab vita ndio maisha ya israel, yeye bora afie vitani lakini sio kukimbia, atleast US anaweza kukimbia vita kama akiona haina maslahi yake na anatumia gharama kubwa, ila sio israel, bila vita israel hawezi kusurvive, unalijua hilo?
Ni kweli. Ni ngumu sana kupambana na adui anayetumia 'human shields". Hata Osama Bin Laden na magaidi wengi wa pande hizo wanapenda sana kunitumia na ndio maana inakuwa hida sana kupambana nao. Lakini, ingekuwa ni battle ya askari kwa askari katika Uwanja wa vita, mbona mapema tu!Sasa hivi hamas wanamtoa kamasi mwezi wa sita huu.
israel alipiga balozi ya iran syria akaua mageneral, iran akakaa kama wiki mbili ndo akalipiza kisasi, akarusha msururu wa makombora na drones ambayo nusu yake yalianguka yenyewe angani na hayakuleta madhara yeyote israel, then israel akakaa SIKU MBILI tu akafanya shambulio kutokea nchi ya iran yan yeye hakuhitaji kua nchini kwake kurusha makombora, alitumia ardhi hiyo hiyo ya adui kurusha makombosha hapo hapo kwa adui, alitumia rampage misile na akaharibu kabisa mtambo wa s300 wa ulinzi wa iranMbona hii ya Iran kakimbia?
Huwa wanajitia wanajua sana, sasa wamerushiwa makombora zaidi ya 100 na drones za kutosha, nao wangerudisha makombora 200 ma drones 200 tuone ubabe wake.
Na kitu ili angetisha zaidi angepiga Tehran Na kwenye vinu nuclear facilities.
Kwa aibu akatuma kikombora kimoja ambacho hadi sasa hakuna picha hata za satellite zimethibitisha damage.
Kila siku tumekuwa tunawaambia hapa Israel sio lolote, si chochote, anatandikwa vizuri tu na hakuna kitu atafanya.
hamas wamejipanga zaidi ya miaka kumi wanatengeneza njia za chini kwa chini yani akiwa huko chini anasafiri anatokea syria,Sasa hivi hamas wanamtoa kamasi mwezi wa sita huu.