Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Je, Kiusalama na Kiulinzi hiki ninachokiona sasa huku nchini Puerto Rico si hatari kwa Rais wetu?

Kiulinzi na kiusalama siyo 'afya' sana kwa Walinzi wa Rais kutembea na silaha zinazoashiria utayari wa mapambano ('non-concealed') kwa wakati wote. Hii inamaanisha kuwa urari wa usalama('Threat Level') uko juu kupelekea kuongeza ulinzi. Hii pia inaweza kuwa mbinu ya kisaikolojia ya kuwanyongonyeza adui.
Kwa huko Puerto Rico askari uliowaona wanatoka Kikosi cha Ulinzi wa Rais (Presidential Protection Unit -Emergency Response). Hawa PPU-ERT ni wajuzi wa mashambulio ya haraka katika halaiki. Mwanzoni hili lilikuwa jukumu la FFU-ERT lakini kwa sasa wanaanza kupokwa polepole.
Dhumuni la Walinzi wa Rais ni Ulinzi ingawa wanaweza kushambulia ikibidi na Rais huko Puerto Rico ana walinzi wengi hadi kufikia Platuni nzima watu 15+ kwenye 'detail' yake kutokana na urari wa usalama.
 
Mkuu lakini wewe kupitia kwa connections zako humu JF si unaweza fanya maarifa wakamfungulia Mkuu The Bold,maana ni mtu muhimu sana humu![emoji23]
Hahaha mkuu sina connection huku JF ningekuwa Admin au mod sawa lakini ni kapuku tu
 
Ningeshauri Joseverest na mwenzako CHIKIRA MTABARI unganisheni nguvu zenu za pamoja anzisheni uzi wenu ' maalum ' wa kumuombea msamaha The Bold kwa ' Moderators ' wa JF ila kwa sasa katika huu ' uzi ' wangu kilichopo tu ni suala zima la ' Ulinzi ' kabambe hasa wa huyu Rais / Kiongozi huku nchini Puerto Rico nilipo kwa sasa sawa?
Hahaha daaah Mods sijui kama watakubali
 
It's unbelievable. .

Unajua Nilisikitika sana kuwa sisi ndiyo tunaandika na kusoma hapa JF lakini bado Kwa issue ya website tu wanampiga " ban " The bold !?

Ila nikagundua kuwa waafrika wengi ni wabinafsi sana mfano ni hawa jamaa wa JF.
Wao wanafurahi sana kuona wakiendelea ila wengine hakuna kuinuana.

Angalia, wazungu koko na magabachori na warabu pori wanaushirikiano ila sisi ukijitokeza tu kidogo Wenzako uliotarajia kukuinua ndiyo wanaokuangamiza.

Ila JF uongozi wabadilike, watasababisha JF kuwa Kama vijiwe vya facebook visivyokuwa na maarifa na msaada.

Any way, I might be banned but, it's well and good.
Pathetic mkuu..kausha tu wasije wakakupa permanent BAN
 
hivi unahisi ule ujinga uliotokea Mbeya wa kupiga Mawe msafara wa mkwere unaweza kutokea kwa Huyu Ngosha mwenzangu thubutu utaonja joto ya Chuma Wewe don't try this at home
 
Kiulinzi na kiusalama siyo 'afya' sana kwa Walinzi wa Rais kutembea na silaha zinazoashiria utayari wa mapambano ('non-concealed') kwa wakati wote. Hii inamaanisha kuwa urari wa usalama('Threat Level') uko juu kupelekea kuongeza ulinzi. Hii pia inaweza kuwa mbinu ya kisaikolojia ya kuwanyongonyeza adui.
Kwa huko Puerto Rico askari uliowaona wanatoka Kikosi cha Ulinzi wa Rais (Presidential Protection Unit -Emergency Response). Hawa PPU-ERT ni wajuzi wa mashambulio ya haraka katika halaiki. Mwanzoni hili lilikuwa jukumu la FFU-ERT lakini kwa sasa wanaanza kupokwa polepole.
Dhumuni la Walinzi wa Rais ni Ulinzi ingawa wanaweza kushambulia ikibidi na Rais huko Puerto Rico ana walinzi wengi hadi kufikia Platuni nzima watu 15+ kwenye 'detail' yake kutokana na urari wa usalama.
Hivi alivyokuja Obama mbona hamkuyasema haya...!?
 
Mkuu GENTAMYCINE.
Hivi unategemea kuna usalama gani tena kwa Rais wetu baada ya hii vita kubwa dhidi ya mfisadi ? Kumbuka huko nyuma wakati Mh.Rais anaanza muhula wake wa uongozi ulinzi wake ulikuwa wa kawaida,lakini umebadilika baada ya vita dhidi ya wezi wakubwa ktk nchi hii,hawa mafisadi wana pesa sana sana na wanaweza kufanya lolote ili mradi tu watoke kwenye mdomo wa mamba.
Kwa Rais kuongezewa ulinzi sasa hivi ni sahihi kabisa
 
Kisa Link tu ya website yake ambayo huwa miendelezo ya story zake huwa inapatikana

Kwa jinsi unavyochangia humu na hasa hasa kushikilia ' Bango ' kuhusu BAN ya ' Kamarada ' The Bold sasa kwa kujiamini kabisa tena kwa 100% nathibitisha kuwa Wewe ndiyo Yeye na hii ni ID yako nyingine. Tuliobobea katika ' Psychology ' tumeweza ' Kukung'amua ' kirahisi mno Mkuu. Pole sana kwa kupigwa BAN ila ni matumaini yangu kuwa muda mfupi tu ujao utarudi na ile ile ID yako ya ' Kijasusi ' ya The Bold. Hivi na Mimi nitafanyaje Mkuu ili niweze kuwa na ' multiple ' ID's humu JF kama Wewe na wengineo wengi.
 
Vita ya Uchumi ni mbaya kuliko ya Kisiasa nazan umeelewa. .wakati ni ukuta ukishindana na wakati utaumia mfano rahsi fatilia Threads za kukosoa kila jema la JPM apa kuna ambao hawataki kuamin macho yao kua wakati wa deal umeshapta...no way ndege imeshapaa na tutafka kwenye Tanzania Mpya ambayo wajukuu na vitukuu Vyetu vitaifaidi mema ya Nchi hii...GOD BLESS YOU JPM
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom