Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Inasikitisha sana kuwa na vijana wa hovyo kama huyu mleta uzi.
Elimu elimu elimu!! Usimwache akaenda zake!! Uchaguzi ni kilele cha mchakato, sio tukio lililosimama peke yake!! Ni aina hii ya vijana ndio tatizo la nchi hii - aina inayodhani uchaguzi ndio jambo pekee muhimu.
 
Tofauti yake ni nini boss, maana wote ni hadharani na kelele ni sawa. Isipokuwa kundi moja linahubiri imani na lingine sera. Approach zao ni sawa. Labda useme hofu yako ni kuwa wa dini hawagusi maslahi ya waliongia madarakani kwa wizi kura, hivyo unaowaona hawana madhara, ila mikutano ya siasa inagusa moja kwa moja maslahi ya majizi ya kura.
Sawa
 
Back
Top Bottom