Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasikitisha sana kuwa na vijana wa hovyo kama huyu mleta uzi.
Elimu elimu elimu!! Usimwache akaenda zake!! Uchaguzi ni kilele cha mchakato, sio tukio lililosimama peke yake!! Ni aina hii ya vijana ndio tatizo la nchi hii - aina inayodhani uchaguzi ndio jambo pekee muhimu.