Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Inasikitisha sana kuwa na vijana wa hovyo kama huyu mleta uzi.
Elimu elimu elimu!! Usimwache akaenda zake!! Uchaguzi ni kilele cha mchakato, sio tukio lililosimama peke yake!! Ni aina hii ya vijana ndio tatizo la nchi hii - aina inayodhani uchaguzi ndio jambo pekee muhimu.
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…