Tofauti yake ni nini boss, maana wote ni hadharani na kelele ni sawa. Isipokuwa kundi moja linahubiri imani na lingine sera. Approach zao ni sawa. Labda useme hofu yako ni kuwa wa dini hawagusi maslahi ya waliongia madarakani kwa wizi kura, hivyo unaowaona hawana madhara, ila mikutano ya siasa inagusa moja kwa moja maslahi ya majizi ya kura.