Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?

Je, kuna kazi za kike na za kiume? Fupa hili lililowashinda wanaume wanne, mwanamke mmoja ataliweza?

Mkuu Mazigazi , kama hutajali, nakuomba ujibu hili swali

Tukubali tukatae bado tuna baadhi ya watu miongoni mwetu, waliofilisika kiakili na kisiasa, ambao bado wana tatizo la kutawaliwa na mfumo dume vichwani mwao na kuamini urais wa nchi ni kazi ya kiume!, kweli urais ni kazi ya kiume?. Nauliza kuna ukweli wowote kuwa kuna kazi za kiume na za kike?
P
Nina maswali kwako. Naomba unijibu kwa hekima.

(a) Mfumo dume ni nini na structure yake imekaaje?

(b) Kinyume cha mfumo dume ni nini na structure yake ipoje?!

(c) Wewe unanufaika vipi kama mwanaume mwanamke anapokuwa sambamba na wewe kimamlaka au akakupita kimamlaka?!

Ukinijibu hayo maswali ninayo zaidi ya kukuhoji.
 
Unaposema uraisi unaongelea Uongozi, ukiongelea Uongozi una maanisha Authority, leadership, etc ambazo si values za kike.
Hii issues ya values za kike, zinaendelea kuwa ni values za kike lakini authority, haina cha mwanamke na mwanaume!. Wako wanaume ni indecisive na wako wanawake ni very authoritative!. Ni mfumo dume uliofanya urais uonekane kama ni kazi ya kiume, this is typical stereotype!.

"Everything a man can do, a woman can do".
P
 
Nina maswali kwako. Naomba unijibu kwa hekima.

(a) Mfumo dume ni nini na structure yake imekaaje?
Mfumo dume ni patriarch system, kuamini wanaume wameumbwa with superior powers and superior abilities, huku wakiamini mwanamke ni inferior, hivyo wanaume tuu ndio leaders, head of families, na kuna vitu ni vya kiume, that only men can do.
(b) Kinyume cha mfumo dume ni nini na structure yake ipoje?!
Kinyume cha mfumo dume ni mfumo jike, Matriarch System ambapo Mwanamke ndio kila kitu, including head of families, makabila ya Kusini, Wayao na Wamakonde, Chinga etc ni mfano wa matrilinier tribes hata majina ya ukoo ni kikeni.
(c) Wewe unanufaika vipi kama mwanaume mwanamke anapokuwa sambamba na wewe kimamlaka au akakupita kimamlaka?!
Mimi kama mimi sina problem, ila watu wanauamini mfumo dume wanaamini kuna vitu wanawake hawawezi!, hata lile tukio lililotangazwa tarehe 17 March, lilitokea tarehe 12 March, wahafidhina wa mfumo dume wakaficha law kuhofia Mwanamke hawezi!. It took 5 days kufikia uamuzi ndipo tukatangaziwa! Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5? ukweli wanawake wana uwezo mkubwa sawa na wanaume na kuna baadhi, wanauwezo kuliko wanaume kwenye mambo mengi tuu kuliko wanaume, hata Mwanamke aliyepo, kuna mambo kibao amemzidi yule mwanaume!.
Ukinijibu hayo maswali ninayo zaidi ya kukuhoji.
Karibu
P
 
Wanabodi,

Bandiko hili ni kuhusu fupa fulani, ukimuondoa Baba wa Taifa aliyetuachia katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, marais wanaume wanne, waliofuatia, hilo fupa liliwashinda, maraisi Mwinyi, Mkapa, JK na JPM, walilishindwa fupa hili. Sasa kama urais ni kazi ya kiume, na tumekuwa na marais wanaume wanne na wote wameshindwa, jee rais Mwanamke mmoja ataweza?. Ili kulijua fupa hili tembelea hapa Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.
Paskali!.
Huyu Mwanamke, hili fupa leo ameliweza!, Lile fupa lililowashinda marais wanaume 4, rais mwanamke 1 aligegeda kama mlenda!. Miswada 3 ya ukombozi mpya wa taifa letu yatua bungeni asubuhi hii hivyo Rais Samia ni Mwanamke wa shoka, anastahili pongezi za dhati na kama ni maua, apewe tuu maua yake!.
P
 
Wanabodi,

Japo kazi ni kazi tuu, hakuna kazi za kike wala za kiume, jee kuna ukweli kuwa kwenye baadhi ya kazi, wanawake wana uwezo nazo kuliko wanaume, ikiwemo ile kazi ya kutoa ile burudani kuu kuliko burudani zote duniani ambayo kila kiumbe amepewa bure na anapaswa kutoa bure, ambayo hupelekea uumbaji wa kiumbe kipya?.

Hivyo hakuna ubishi kuhusu uwezo wa wanawake kwenye baadhi ya maeneo, wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume kwenye mambo mengi tuu, hata katika uongozi. Tena ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya kazi zinazohitaji miguvu, zinawafaa zaidi wanaume kuliko wanawake, ila kuna wanawake wana maumbile ya kike lakini wana nguvu kuliko wanaume na wanaweza kufanya kazi zote za kiume, na wakati huo huo, kuna wanaume wana maumbile ya kiume lakini ni walaini kupita hata wanawake!, hawawezi kufanya kazi za kiume!.

Japo kazi ni kazi, na wanaume ndio wanajihesabu wao ndio watenda kazi na wachapa kazi hodari kuliko wanawake, yaani wanaume ni watu wa kuchuma na wanawake ni watu wa kupokea, siku hizi kuna wanawake ndio wachumaji na vi benten vinalelewa!.





Pia nafasi kama ya Chairman/Mwenyekiti, ni jina la kiume, akiwa mwanamke alipaswa kuitwa Chairwoman ila ikaonekana hainogi, hivyo Mwenyekiti akiwa mwanamke anaitwa Chairperson.


Hivyo na mimi nauliza kuna ukweli wowote kuwa kuna kazi za kiume na za kike?, na kuna kazi za kike ambazo ni za kike tuu!, wanaume hawaziwezi kama kubeba, lakini pia kuna kazi za wanawake, wanaume wanazifanya vizuri zaidi kuliko wanawake wenyewe!. Jee kuna kazi za kiume ambazo wanawake hawawezi?.

Tukubali tukatae, muda uliobaki kwa Rais Samia kumaliza awamu yake ya kwanza, ni miaka 2 tuu ambao muda huu ni too little too short kupata katiba mpya bora, unless kama tunataka kuendelea na ule mchakato wa ile bora katiba, hivyo mchakato wa katiba mpya utawekwa kwenye Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2025 - 2030 ambayo ndio awamu ya pili ya Samia.

Ila ili uchaguzi wa 2025 uwe ni uchaguzi huru na wa haki, lazima kwanza yafanyike mabadiliko madogo ya katiba, kisha mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuundwa kwa tume huru na Shirikishi ya uchaguzi.

Paskali!.

Hii ni zawadi yangu kwa Birthday ya Mama leo, nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.

Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
 
Wanabodi,
Tunapoelekea kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kila Machi 8, leo naomba tujadili uwezo wa wanawake kwenye baadhi ya maeneo.

Japo kazi ni kazi tuu, hakuna kazi za kike wala za kiume, jee kuna ukweli kuwa kwenye baadhi ya kazi, wanawake wana uwezo nazo kuliko wanaume, ikiwemo ile kazi ya kutoa ile burudani kuu kuliko burudani zote duniani ambayo kila kiumbe amepewa bure na anapaswa kutoa bure, ambayo hupelekea uumbaji wa kiumbe kipya?.

Kazi ya kutengeneza, ya kupachika, hufanywa kwa ushirikiano wa jinsia mbili, lakini uumbikaji wa kiumbe kipya kinaumbikia ndani ya jinsia ya kike pekee, hivyo ñi mwanamke pekee ndiye huweza kubeba na kuleta kiumbe kipya duniani!, hivyo Mwanamke ana uwezo kuliko mwanaume!.
Paskali!.
Hili ni bandiko la uthibitisho kuwa wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume

Mimi Paskali wa Jeiefu, ninawatakia wanawake wote maandalizi mema ya siku yao ya wanawake duniani hapo kesho.
Paskali
 
Wanabodi,
Hivyo hakuna ubishi kuhusu uwezo wa wanawake kwenye baadhi ya maeneo, wanawake wana uwezo mkubwa kuliko wanaume kwenye mambo mengi tuu, hata katika uongozi.

Japo kazi ni kazi, na wanaume ndio wanajihesabu wao ndio watenda kazi na wachapa kazi hodari kuliko wanawake, yaani wanaume ni watu wa kuchuma na wanawake ni watu wa kupokea, siku hizi kuna wanawake ndio wachumaji na vi benten vinalelewa!.

Huu mfumo dume umepelelea baadhi ya nafasi kupewa majina ya kiume mfano Boss ni jina la kiume, boss akiwa ni Mwanamke anaitwa The Boss Lady, lakini mabosi wa kike wanapenda kuitwa Boss, na wafanyakazi wengi wana prefers Boss awe mwanaume na sio Mwanamke., maana boss akiwa ni Mwanamke, kuna watu wanakoma!.

Pia nafasi kama ya Chairman/Mwenyekiti, ni jina la kiume, akiwa mwanamke alipaswa kuitwa Chairwoman ila ikaonekana hainogi, hivyo Mwenyekiti akiwa mwanamke anaitwa Chairperson.

Hata cheo cha President na Amiri Jeshi Mkuu kilidhamiriwa kuwa ni cheo cha mwanaume, l mwanamke anaitwa Amirati, ila hata Amiri Jeshi Mkuu anapokuwa Mwanamke, hapendi kuitwa Amirati ana prefers kuendelea kuitwa hivyo hivyo Amiri ambalo ni jina la kiume au chairman badala ya Chairwoman or chairperson.

Tukubali tukatae bado tuna baadhi ya watu miongoni mwetu, waliofilisika kiakili na kisiasa, ambao bado wana tatizo la kutawaliwa na mfumo dume vichwani mwao na kuamini urais wa nchi ni kazi ya kiume!, hivyo ni kweli lile tukio la March 17, lilitokea kabla ya Machi 17!, hivyo lilipotokea wakafanya siri ili kumtafuta mwanaume wa kushikilia kwa kuamimi Mwanamke hawezi!

Bandiko hili ni kuhusu fupa fulani, ukimuondoa Baba wa Taifa aliyetuachia katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, marais wanaume wanne, waliofuatia, hilo fupa liliwashinda, maraisi Mwinyi, Mkapa, JK na JPM, walilishindwa fupa hili. Sasa kama urais ni kazi ya kiume, na tumekuwa na marais wanaume wanne na wote wameshindwa, jee rais Mwanamke mmoja ataweza?. Ili kulijua fupa hili tembelea hapa Je Wajua kuna Fupa Fulani la Dhulma kwa Watanzania, Liliwashinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli, Jee Mama Samia Ataliweza Fupa Hili?.
Paskali!.
Dk Nchimbi chonde chonde nakuomba ufanye Mama asigombee 2025, kuna wengi wenye uwezo zaidi ya Mama.Yeye anao uwezo lakini nadhani nchi ni kubwa mno kwake.
We Kima wee... Kimalingano, una maanisha nini kuhusu uwezo wa uongozi wa Rais Samia?. Unamaanisha ni asigombee 2025 kwasababu ni hana uwezo, au ni asigombee 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna watu wanauwezo zaidi yake?.

Kwani CCM huwa inamteua mgombea mwenye uwezo zaidi au anayekubalika zaidi?. Kati ya the top 3 finalists wa awamu ya JK, Prof. Mwandosya na Dr. Salim Salim, nani alikuwa na uwezo mkubwa kati yao?.

Karibu nyuzi hizi kuhusu uwezo wa Rais Samia

P
 
Wanabodi,!.

Pia nafasi kama ya Chairman/Mwenyekiti, ni jina la kiume, akiwa mwanamke alipaswa kuitwa Chairwoman ila ikaonekana hainogi, hivyo Mwenyekiti akiwa mwanamke anaitwa Chairperson.

Hata cheo cha President na Amiri Jeshi Mkuu kilidhamiriwa kuwa ni cheo cha mwanaume, l mwanamke anaitwa Amirati, ila hata Amiri Jeshi Mkuu anapokuwa Mwanamke, hapendi kuitwa Amirati ana prefers kuendelea kuitwa hivyo hivyo Amiri ambalo ni jina la kiume au chairman badala ya Chairwoman or chairperson.

Tukubali tukatae bado tuna baadhi ya watu miongoni mwetu, waliofilisika kiakili na kisiasa, ambao bado wana tatizo la kutawaliwa na mfumo dume vichwani mwao na kuamini urais wa nchi ni kazi ya kiume!, hivyo ni kweli lile tukio la March 17, lilitokea kabla ya Machi 17!, hivyo lilipotokea wakafanya siri ili kumtafuta mwanaume wa kushikilia kwa kuamimi Mwanamke hawezi!
Paskali!.
Maza uwezo ni mdogo sn
It's not true, anauwezo mkubwa sana na ameisha prove kwa maneno na matendo.
P
 
Back
Top Bottom