Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna kupangiana,ndoa inakuzuia niniHvi mnaoa ili iweje
KATAAA NDOAAAAAA
😄 wamejifichamoWamefungua code chap,asingeandika mapenz😃🤸🤸
We ni msukuma?😄 wamejifichamo
Hasa kama ulikosea kwa mguu wa kushotoNdoa nyingi zipo kwenye majuto 89%
hapana tununuuWe ni msukuma?
Ndoa ni taasisi na hakuna taasisi inayokosa changamoto.. Kikubwa na cha muhimu ni kwamba unazikabili vipi hizo changamoto?Wasalaam JF
Swali kwa wanandoa je vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.
Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.
Wadiz.
Ndoa ni taasisi na hakuna taasisi inayokosa changamoto.. Kikubwa na cha muhimu ni kwamba unazikabili vipi hizo changamoto?Wasalaam JF
Swali kwa wanandoa je vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.
Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.
Wadiz.
Hazina kupatia hiz,watu hubadilika mkuu.Ndoa ni uvumilivu....kama mlipendana kweli vumilieni....kama mliingia pasipo upendo achaneni maana kuuana ni chapHasa kama ulikosea kuingia
😳My tribal?hapana tununuu
una akili nyingi sanaHazina kupatia hiz,watu hubadilika mkuu.Ndoa ni uvumilivu....kama mlipendana kweli vumilieni....kama mliingia pasipo upendo achaneni maana kuuana ni chap
😁 Hapana😳My tribal?
Ukitaka kuoa unaangalia asili na sio kusukumwa na nyege.Ipo tofauti ya upendo na mapenzi.Hazina kupatia hiz,watu hubadilika mkuu.Ndoa ni uvumilivu....kama mlipendana kweli vumilieni....kama mliingia pasipo upendo achaneni maana kuuana ni chap
Sawa mkuuUkitaka kuoa unaangalia asili na sio kusukumwa na nyege.Ipo tofauti ya upendo na mapenzi.
Mkiingia kwenye ndoa kwa upendo majuto hayapo.
90% ya migogoro ya ndoa chanzo ni nguvu za giza. Na wengi hawana/hawataki kujifunza kuhusu elimu ya ulimwengu wa mahusiano kiroho.
Kama hutaki kuona watu wanaandika wanayowasibu. Hapo ndiyo unapata jibuPathetic! Huoni kufanya hivyo ni sawa na kuwachochea hawa jamaa wenye kampeni ya "KATAA NDOA, NDOA NI WIZI, NDOA NI UTAPELI" Wazidishe wanachokifanya licha ya kutokujulikana majina yao,,that's why nimewaita mazwazwa tu,,hawatajua walifanyalo.
[emoji23]Maneno hayo ni ya kizushi na naomba yapuuzwe...... Yamelenga kuzua taharuki na kuichonganisha jamii ya wanandoa.