Je, kuna wanandoa wanajutia kuoa au kuolewa na wanatamani ndoa ivunjike?

Je, kuna wanandoa wanajutia kuoa au kuolewa na wanatamani ndoa ivunjike?

Mpka ujutie inamana hukufanya wala kufanyiwa vetting ya kutosha. Sema tu kwa sisi wanaume unaweza ukakutana na mchepuko mpka ukajiuliza kwa nini hukuanza kumuona yeye ili uweke ndani halafu mkeo ndio awe mchepuko[emoji2297]
Ishu sio vetting ni venye watu hubadilika tu.
 
umejumuisha taasisi mbili tofaut Ndoa na Familia

NDOA sio FAMILIA familia inaweza kuwepo bira hyo ndoa na Ndoa inaweza kuwepo bira kua na familia
Mpaka umeweza kutofautisha hizo taasisi mbili basi kwaujumla umeelewa point kuwa haulazimishwi kufanya lolote, fanya utakalo ila elimu mliyotaka kuitoa juu ya ndoa na pros na cons mlishaitoa vyakutosha na watu wamesikia ila mkizidisha inakuwa kero kwakuwa too much of anything is harmful. Tunakuwa jinsia ya kutafuta huruma tu kila siku, that's stupidity.
 
Mpaka umeweza kutofautisha hizo taasisi mbili basi kwaujumla umeelewa point kuwa haulazimishwi kufanya lolote, fanya utakalo ila elimu mliyotaka kuitoa juu ya ndoa na pros na cons mlishaitoa vyakutosha na watu wamesikia ila mkizidisha inakuwa kero kwakuwa too much of anything is harmful. Tunakuwa jinsia ya kutafuta huruma tu kila siku, that's stupidity.
KATAA NDOA
 
why uishi bila furaha kama yamekufika kooni?ukiona huelewi unamuacha aende kuliko kuishi in regrets!
Ndo kimzaa mzaha unasikia mtu kaua au kajiua,mapenzi yana nguvu sana ukishindwa ndani kimbia kwa usalama wako!
 
Back
Top Bottom