Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Dr. Mwaka na Haji Manara ndoa zao zinapumulia mashine. Muda wowote zinavunjikaNdoa raha sn ttzo la vijana wa siku wengi wanapelekewa moto au kifupi wanapigwa mashine ss akija humu JF anashaur watu wasioe kumbe yy n chakula cha watu kwa mtu mwenye akili timamu huwez mwambia mwanaume mwenzako asioe kwa shida za ndoa kwan zmeanza leo izo shida
Unatoka kwenye ubachela baada ya kuoa, baada ya miaka 6 unarudi tena kwenye ubachela.
Hakuna tofauti na mtu uliyemuacha single