Je, kuna wanandoa wanajutia kuoa au kuolewa na wanatamani ndoa ivunjike?

Je, kuna wanandoa wanajutia kuoa au kuolewa na wanatamani ndoa ivunjike?

Kabisa na ndoa sio kutafuta mkamilifu Bali mkakamilishane hakuna perfect Dunia hii kilamtu anamapungufu yake
Na Mungu umuweka mkamilifu na asiyemkamilifu Ili wabalance,thus utaona mmoja mkali mwingine mpole,mmoja mshenzi mwingine muungwana.
 
Wasalaam JF

Swali kwa wanandoa je, vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.

Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.

Wadiz.
Duh [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wasalaam JF

Swali kwa wanandoa je, vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.

Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.

Wadiz.
Kuna ndoa nyingi Sana ambazo Hali ni shwari kabisa even after 15+ years. Vijana jaribuni kua positive kidogo na kupunguza matarajio kwa wenza wenu, nasemaje " lower your expectations"sababu binadamu hatabiriki.
Muombe Mungu akupe mwenza mtakae endana ila pia Ukimtaka mke/mume bila ya kasoro jichongee wa kwako/chagua useja.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hizi mada nimezisoma kwamuda mrefu sama humu JF. Ila sasa hapa tulipofikia niujinga fulani wa kutaka kujazana na kulishana negativity na sumu juu ya maisha ya ndoa hasa kwasisi wanaume. Hizi mada zimeongelewa mno humu jamvini nazimepita hata na kuzikwa. Kama elimu iliyotarajiwa kutolewa ilishatolewa, sasa kinachozidi kuonekana ni childish mindset yakucheza mind games zakumuonyesha nani haitaji ndoa. Misery loves company, tuache uzinzi na kukwepa majukumu. Kitu chochote baada ya muda kinazoeleka hata kuchokwa ila there is always a way to continue as a family. Sisi ni wanaume, kutaka kujua upumbavu huo haikusaidii chochote na wala haijustify uzinzi wako, ukitaka oa usipotaka acha. Mnataka tushindane na wanawake kwenye manung'uniko si hasara ya masculinity traits kwa mwanaume sasa. Uoe au usioe, you will still die.
umejumuisha taasisi mbili tofaut Ndoa na Familia

NDOA sio FAMILIA familia inaweza kuwepo bira hyo ndoa na Ndoa inaweza kuwepo bira kua na familia
 
Hii 89% ni kwa mujibu wa tafiti ipi?

Mimi sijaoa, ila kwa uzoefu mdogo nilionao; kuna kaukweli flani kwamba asilimia kubwa ya wanandoa hawafurahii ndoa zao (let's call it 'hypothesis formulation').

Nina rafiki yangu ameoa, yule binti aliyemuoa alikuwa mstaarabu sana kipindi cha uchumba na kipindi cha awali cha ndoa yao, ila kwa sasa binti amekuwa kitu kingine kabisa! Nafikiri mnanielewa nikisema binti amekuwa kitu kingine.

Jamaa yuko kwenye total confusion, ame-opt kujinywea pombe tu! Anatia huruma. Huyu ni mmoja kati ya wengi ambao hadithi zao za mahusiano na ndoa zinahuzunisha.

Mimi nadhani ni busara kumshirikisha Mungu kabla na baada ya kuingia kwenye sakramenti hii ya ndoa, kwasababu ipo hatari kubwa sana mbeleni kama ukiutumia ubinadamu wako kumchagua mwenza.

Unajua, wanaume wengi tunakufa mapema na kupata magonjwa yasiyoambukiza (kama presha na kisukari) kwasababu hiihii ya maswala ya ndoa. Tuwe makini sana ndugu zanguni.
Utamjuaje kama huyu ndiye au siye aliye letwa na mnyaazi Mungu

KATAA NDOA
 
Hii 89% ni kwa mujibu wa tafiti ipi?

Mimi sijaoa, ila kwa uzoefu mdogo nilionao; kuna kaukweli flani kwamba asilimia kubwa ya wanandoa hawafurahii ndoa zao (let's call it 'hypothesis formulation').

Nina rafiki yangu ameoa, yule binti aliyemuoa alikuwa mstaarabu sana kipindi cha uchumba na kipindi cha awali cha ndoa yao, ila kwa sasa binti amekuwa kitu kingine kabisa! Nafikiri mnanielewa nikisema binti amekuwa kitu kingine.

Jamaa yuko kwenye total confusion, ame-opt kujinywea pombe tu! Anatia huruma. Huyu ni mmoja kati ya wengi ambao hadithi zao za mahusiano na ndoa zinahuzunisha.

Mimi nadhani ni busara kumshirikisha Mungu kabla na baada ya kuingia kwenye sakramenti hii ya ndoa, kwasababu ipo hatari kubwa sana mbeleni kama ukiutumia ubinadamu wako kumchagua mwenza.

Unajua, wanaume wengi tunakufa mapema na kupata magonjwa yasiyoambukiza (kama presha na kisukari) kwasababu hiihii ya maswala ya ndoa. Tuwe makini sana ndugu zanguni.
MUNGU alishampa red flags zakutosha.
bikiraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

kwann tusrudi kwenye traditional system of marriage.
 
Utamjuaje kama huyu ndiye au siye aliye letwa na mnyaazi Mungu

KATAA NDOA
Inahitaji uwe na MACHO YA ROHONI.

Anawezwa akaletwa na Mungu na usigundue ukamuacha akaenda zake. Kwahiyo ni lazima na wewe uwe mtu wa maombi, siyo uende mbele za Mungu kwasababu una shida ya mke/mume tu!
 
Inahitaji uwe na MACHO YA ROHONI.

Anawezwa akaletwa na Mungu na usigundue ukamuacha akaenda zake. Kwahiyo ni lazima na wewe uwe mtu wa maombi, siyo uende mbele za Mungu kwasababu una shida ya mke/mume tu!
hayo macho ya rohoni ndio yapoje
 
Back
Top Bottom