Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Dr. Mwaka na Haji Manara ndoa zao zinapumulia mashine. Muda wowote zinavunjikaNdoa raha sn ttzo la vijana wa siku wengi wanapelekewa moto au kifupi wanapigwa mashine ss akija humu JF anashaur watu wasioe kumbe yy n chakula cha watu kwa mtu mwenye akili timamu huwez mwambia mwanaume mwenzako asioe kwa shida za ndoa kwan zmeanza leo izo shida
NakaziaDr. Mwaka na Haji Manara ndoa zao zinapumulia mashine. Muda wowote zinavunjika
Unatoka kwenye ubachela baada ya kuoa, baada ya miaka 6 unarudi tena kwenye ubachela.
Hakuna tofauti na mtu uliyemuacha single
Hii 89% ni kwa mujibu wa tafiti ipi?Ndoa nyingi zipo kwenye majuto 89%
UdendaKuna mazwazwa yanaweza kuja kuanika siri zao hapa,,ngoja tuyasubiri.
na njia pekee hapa ni kukataa ndoa, utaishi maisha marefu sanaUnajua, wanaume wengi tunakufa mapema na kupata magonjwa yasiyoambukiza (kama presha na kisukari) kwasababu hiihii ya maswala ya ndoa. Tuwe makini sana ndugu zanguni.
Ukiwa kwenye ndoa kunamda unatamani ivunjike ila ikivunjika majuto yake utatamani urudishe wakati nyuma uzibe ufaWasalaam JF
Swali kwa wanandoa je vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.
Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.
Wadiz.
Mm Kwa hii miaka 10 naenjoy tu sijutii chochote na muda ukirudi nyuma ntamchumbia huyuhuyu mama watoto.Wasalaam JF
Swali kwa wanandoa je vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.
Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.
Wadiz.
Aisee.Kama hutaki kuona watu wanaandika wanayowasibu. Hapo ndiyo unapata jibu
1. Kataa ndoa
2. Ndoa ni utapeli
3. Ndoa ni wizi
Hawa yamewakutaKama hutaki kuona watu wanaandika wanayowasibu. Hapo ndiyo unapata jibu
1. Kataa ndoa
2. Ndoa ni utapeli
3. Ndoa ni wizi
HakikaHii 89% ni kwa mujibu wa tafiti ipi?
Mimi sijaoa, ila kwa uzoefu mdogo nilionao; kuna kaukweli flani kwamba asilimia kubwa ya wanandoa hawafurahii ndoa zao (let's call it 'hypothesis formulation').
Nina rafiki yangu ameoa, yule binti aliyemuoa alikuwa mstaarabu sana kipindi cha uchumba na kipindi cha awali cha ndoa yao, ila kwa sasa binti amekuwa kitu kingine kabisa! Nafikiri mnanielewa nikisema binti amekuwa kitu kingine.
Jamaa yuko kwenye total confusion, ame-opt kujinywea pombe tu! Anatia huruma. Huyu ni mmoja kati ya wengi ambao hadithi zao za mahusiano na ndoa zinahuzunisha.
Mimi nadhani ni busara kumshirikisha Mungu kabla na baada ya kuingia kwenye sakramenti hii ya ndoa, kwasababu ipo hatari kubwa sana mbeleni kama ukiutumia ubinadamu wako kumchagua mwenza.
Unajua, wanaume wengi tunakufa mapema na kupata magonjwa yasiyoambukiza (kama presha na kisukari) kwasababu hiihii ya maswala ya ndoa. Tuwe makini sana ndugu zanguni.
🤣🤣Hasa kama ulikosea kwa mguu wa kushoto
Ndoa ni changamoto. Nawajua watu wanaolea watoto siyo wao. Wanawake wanagawa sana njeUsijute uliye nae ndie wako, Pambana nae, Hakuna malaika
Hizi mada nimezisoma kwamuda mrefu sama humu JF. Ila sasa hapa tulipofikia niujinga fulani wa kutaka kujazana na kulishana negativity na sumu juu ya maisha ya ndoa hasa kwasisi wanaume. Hizi mada zimeongelewa mno humu jamvini nazimepita hata na kuzikwa. Kama elimu iliyotarajiwa kutolewa ilishatolewa, sasa kinachozidi kuonekana ni childish mindset yakucheza mind games zakumuonyesha nani haitaji ndoa. Misery loves company, tuache uzinzi na kukwepa majukumu. Kitu chochote baada ya muda kinazoeleka hata kuchokwa ila there is always a way to continue as a family. Sisi ni wanaume, kutaka kujua upumbavu huo haikusaidii chochote na wala haijustify uzinzi wako, ukitaka oa usipotaka acha. Mnataka tushindane na wanawake kwenye manung'uniko si hasara ya masculinity traits kwa mwanaume sasa. Uoe au usioe, you will still die.Wasalaam JF
Swali kwa wanandoa je vipi hali ilivyo huko kuna ambao mnaojutia kuoa au kuolewa na mnatamani ndoa zivunjike mjiunge kundi lenye kura turufu ya maisha ya raha hapa duniani? Hasa hili kundi letu la uchakataji usio na mipaka.
Inshallah naamini tuko na jumapili njema kabisa.
Wadiz.
Hili ni janga Sana,thus ukienda kwa mganga hakuulizi jina la baba,bali mama.Ndoa ni changamoto. Nawajua watu wanaolea watoto siyo wao. Wanawake wanagawa sana nje
Kumbe ndio ilivyo mbona kwenye social network wanaonekana wapo happy na captain ndefu mwisho wa siku unasikia mtu kadundwa[emoji1787]Ndivyo ilivyo
🤣🤣🤣🤭Kumbe ndio ilivyo mbona kwenye social network wanaonekana wapo happy na captain ndefu mwisho wa siku unasikia mtu kadundwa
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kabisa na ndoa sio kutafuta mkamilifu Bali mkakamilishane hakuna perfect Dunia hii kilamtu anamapungufu yakeUsijute uliye nae ndie wako, Pambana nae, Hakuna malaika