MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #61
Siku zote Wapumbavu ni Kawaida Kuteteana.Kwa hiyo Makonda ndie aliyesababisha umaskini kwenye familia yako???
Unaacha kufanya kazi ujipatie kipato cha halali unapiga vuvuzela kwenye mitandao,
Ukiambiwa utoe maelezo yenye ushahidi kwanini Makonda akamatwe unaweza???
Thanks very much for educating that Nut.Bahati mbaya sana unaamini TISS hawapo kwenye Jeshi la Polisi hawa jamaa wako kila sehemu kutegemea na mission aliyopewa kwa wakati huo
Sio kila mtu anaweza kuwa TISS ila kila TISS anaweza kuwa kila mtu i hope umeelewa.
Pumbavu Wahed Wewe kwani Wewe JamiiForums imekuzuia kuja na huo Uzi wa Kuelezea matatizo yanayoikumba Tanzania pamoja na huu Uwendaawazimu wako uliovuka Kiwango?We jamaaa ni kilaxa kweli,unashindwa kuandika matatizo yanayotukumba watanzania kwa wakati huu kama mlipuko wa bei za bidhaa muhimu kwa wananchi na kupanda kwa gharama za maisha,unakuja kulalamikia mambo ya Makonda hapa?
Hayati Mzee Samuel Sitta. Inajulikana.
Waliokuwa wanamtuma bado wapo madarakani kaondoka mmoja tu.Maybe wamemtorosha ili asije kuropoka.Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Watu wa TISS hasa DG Diwani Athumani Msuya hajui au hana Taarifa za alipo Mwalimu wa Uhalifu, Mateso, Uporaji, Chuki kwa Matajiri, Uvamizu, Mdanganyifu na Msingizia mabaya Watu Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite )
Rais Samia ulishashauriwa mno Kumuondoa huyu DG Msuya kama DG hapo TISS ila huelewi na ulichokifanya ni Kuwaondoa ( Kuwabadili ) tu Wakuu wa Vitengo ila Yeye unamuacha wakati kwa Matukio kadhaa na Muhimu yaliyotokea katika Kipindi chake yameshaonyesha kuwa hiyo nafasi ni Kubwa Kwake na haiwezi.
Na kwa taarifa zisizo rasmi bado ( ila binafsi ) naziona zina Ukweli zinadai kuwa huku kupotea Kwake aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuna Mikono kadhaa ya Kiutaratibu kutoka kwa baadhi ya Watendaji wa Taasisi hii ( hiyo ) Nyeti kwani alijijengea ukaribu nao mkubwa na ikisemekana ( ikidaiwa ) kuwa huenda nae ni Mwenzao ( TISS Agent ) japo ninachelea Kulisadiki ( Kuliamini ) hili.
Sijalilaumu Jeshi la Polisi ( PT ) kwa Kutoonekana kwa Paul Makonda au UHAMIAJI au TAKUKURU kwa sababu zangu Binafsi ila hapa nalia na nakomaa zaidi na TISS kwani wanajua alipo Makonda na waache Kutufanya Watanzania ni Mambumbumbu.
Huko nyuma niliwahi kusema kama kweli TISS ingekuwa Imara kama Wenzao wa Israel, China, Uingereza, Rwanda, Misri, Pakistan, Algeria, Cuba, Korea Kaskazini, India na Ufaransa wala huyu Paul Makonda asingekuwa na Jeuri aliyokuwa nayo kwa Mamlaka yake ila TISS ilimlea, ikamdekeza, ikamchelewesha, akawasumbua, akawatumia ajuavyo na leo ndiyo yamekuwa haya na tumefikia hapa.
Natamani mno kuiona ile TISS imara iliyokuwa Kipindi cha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kwani ndizo zilikuwa TISS Imara, zinazojitambua hasa Kiutendaji kiasi cha Kusifika na Kuogopeka sana ndani na nje ya Tanzania.
Uzi huu uwasaidie katika Kujitathmini!!!!
Kuna Watu ni Wapumbavu hapa Tanzania hadi nasikitika kwanini Corona haikuondoka nanyi tu. Hivi kama Makonda wako yuko Mkoani Arusha angeshindwa kutokea Mahakamani bila kutoa Taarifa yoyote ya Udhuru?Makonda hajatoweka, makonda yupo arusha. Unajua Kuna muda naona hata kubenea nae ni kama hili Jambo kaliweka kisiasa tu
Mkuu @genta leo hujaitaja Rwanda..umeisahau mkuu...😂😂Huko nyuma niliwahi kusema kama kweli TISS ingekuwa Imara kama Wenzao wa Israel, China, Uingereza, Rwanda, Misri, Pakistan, Algeria, Cuba, Korea Kaskazini, India na Ufaransa ............
Uzi huu uwasaidie katika Kujitathmini!!!!
UTAJIJU na kumtafuta Makonda(DAB)Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Watu wa TISS hasa DG Diwani Athumani Msuya hajui au hana Taarifa za alipo Mwalimu wa Uhalifu, Mateso, Uporaji, Chuki kwa Matajiri, Uvamizu, Mdanganyifu na Msingizia mabaya Watu Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite )
Rais Samia ulishashauriwa mno Kumuondoa huyu DG Msuya kama DG hapo TISS ila huelewi na ulichokifanya ni Kuwaondoa ( Kuwabadili ) tu Wakuu wa Vitengo ila Yeye unamuacha wakati kwa Matukio kadhaa na Muhimu yaliyotokea katika Kipindi chake yameshaonyesha kuwa hiyo nafasi ni Kubwa Kwake na haiwezi.
Na kwa taarifa zisizo rasmi bado ( ila binafsi ) naziona zina Ukweli zinadai kuwa huku kupotea Kwake aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuna Mikono kadhaa ya Kiutaratibu kutoka kwa baadhi ya Watendaji wa Taasisi hii ( hiyo ) Nyeti kwani alijijengea ukaribu nao mkubwa na ikisemekana ( ikidaiwa ) kuwa huenda nae ni Mwenzao ( TISS Agent ) japo ninachelea Kulisadiki ( Kuliamini ) hili.
Sijalilaumu Jeshi la Polisi ( PT ) kwa Kutoonekana kwa Paul Makonda au UHAMIAJI au TAKUKURU kwa sababu zangu Binafsi ila hapa nalia na nakomaa zaidi na TISS kwani wanajua alipo Makonda na waache Kutufanya Watanzania ni Mambumbumbu.
Huko nyuma niliwahi kusema kama kweli TISS ingekuwa Imara kama Wenzao wa Israel, China, Uingereza, Rwanda, Misri, Pakistan, Algeria, Cuba, Korea Kaskazini, India na Ufaransa wala huyu Paul Makonda asingekuwa na Jeuri aliyokuwa nayo kwa Mamlaka yake ila TISS ilimlea, ikamdekeza, ikamchelewesha, akawasumbua, akawatumia ajuavyo na leo ndiyo yamekuwa haya na tumefikia hapa.
Natamani mno kuiona ile TISS imara iliyokuwa Kipindi cha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kwani ndizo zilikuwa TISS Imara, zinazojitambua hasa Kiutendaji kiasi cha Kusifika na Kuogopeka sana ndani na nje ya Tanzania.
Uzi huu uwasaidie katika Kujitathmini!!!!
Na hata tu Upumbavu ulionao ni Laana.Kweli ujinga ni mzigo.
Tena hili naomba lifanyike haraka sana.Msuya Athumani kayumba sana hapaswi kuwa DG wa TISS kwa sasa, mambo yameenda mlama kwake. Abadilishwe upesi ili Tanzania iwe sehemu salama
Njoo DMTena hili naomba lifanyike haraka sana.
hadi wakati huu mali zake zinatakiwa ziwe zimekuwa traced, ili aje atueleze alizipataje. huyu ana mengi ya kuwajibu watanzania walioumizwa sana moyo enzi zile.Makonda usikimbie ulichuma mahindi mwenyewe shambani ukayachoma mwenyewe na sasa yameiva.
Unamuachia nani ayale.
Kwenye kubambika kesi feki za Unga alipata pesa nyingi Sana kuna tajiri alimpora ford ranger ndipo akamuachiahadi wakati huu mali zake zinatakiwa ziwe zimekuwa traced, ili aje atueleze alizipataje. huyu ana mengi ya kuwajibu watanzania walioumizwa sana moyo enzi zile.
Guys I'm sick and tired of you so often thinking I'm that Genta whom you love mostly and probably most of you would wish to be married with him.Mkuu @genta leo hujaitaja Rwanda..umeisahau mkuu...😂😂
Tena hili naomba lifanyike haraka sana.
Yeye kama kiongozi kakosa vyote hivyo vyote hivyo nampa 25% abadilishwe upesi.Ili unizoee, unijue na ujipange Kuniua?
Hahha njoo bhana PMIli unizoee, unijue na ujipange Kuniua?