Je, kutoweka na kutoonekana kwa Paul Makonda si Uthibitisho kuwa TISS kuna Mapungufu makubwa na DG Msuya afutwe Kazi upesi sana?

Je, kutoweka na kutoonekana kwa Paul Makonda si Uthibitisho kuwa TISS kuna Mapungufu makubwa na DG Msuya afutwe Kazi upesi sana?

Kwa hiyo Makonda ndie aliyesababisha umaskini kwenye familia yako???

Unaacha kufanya kazi ujipatie kipato cha halali unapiga vuvuzela kwenye mitandao,

Ukiambiwa utoe maelezo yenye ushahidi kwanini Makonda akamatwe unaweza???
Siku zote Wapumbavu ni Kawaida Kuteteana.
 
Bahati mbaya sana unaamini TISS hawapo kwenye Jeshi la Polisi hawa jamaa wako kila sehemu kutegemea na mission aliyopewa kwa wakati huo

Sio kila mtu anaweza kuwa TISS ila kila TISS anaweza kuwa kila mtu i hope umeelewa.
Thanks very much for educating that Nut.
 
We jamaaa ni kilaxa kweli,unashindwa kuandika matatizo yanayotukumba watanzania kwa wakati huu kama mlipuko wa bei za bidhaa muhimu kwa wananchi na kupanda kwa gharama za maisha,unakuja kulalamikia mambo ya Makonda hapa?
Pumbavu Wahed Wewe kwani Wewe JamiiForums imekuzuia kuja na huo Uzi wa Kuelezea matatizo yanayoikumba Tanzania pamoja na huu Uwendaawazimu wako uliovuka Kiwango?
 
Hayati Mzee Samuel Sitta. Inajulikana.

sasa shida iko wapi kumbe unajua ni mtumishi na labda yote aliyafanya kama sehemu ya utumishi na bado ukimuona mahakamani inaweza kuwa sehemu ya ofisi yake....
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Watu wa TISS hasa DG Diwani Athumani Msuya hajui au hana Taarifa za alipo Mwalimu wa Uhalifu, Mateso, Uporaji, Chuki kwa Matajiri, Uvamizu, Mdanganyifu na Msingizia mabaya Watu Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite )

Rais Samia ulishashauriwa mno Kumuondoa huyu DG Msuya kama DG hapo TISS ila huelewi na ulichokifanya ni Kuwaondoa ( Kuwabadili ) tu Wakuu wa Vitengo ila Yeye unamuacha wakati kwa Matukio kadhaa na Muhimu yaliyotokea katika Kipindi chake yameshaonyesha kuwa hiyo nafasi ni Kubwa Kwake na haiwezi.

Na kwa taarifa zisizo rasmi bado ( ila binafsi ) naziona zina Ukweli zinadai kuwa huku kupotea Kwake aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuna Mikono kadhaa ya Kiutaratibu kutoka kwa baadhi ya Watendaji wa Taasisi hii ( hiyo ) Nyeti kwani alijijengea ukaribu nao mkubwa na ikisemekana ( ikidaiwa ) kuwa huenda nae ni Mwenzao ( TISS Agent ) japo ninachelea Kulisadiki ( Kuliamini ) hili.

Sijalilaumu Jeshi la Polisi ( PT ) kwa Kutoonekana kwa Paul Makonda au UHAMIAJI au TAKUKURU kwa sababu zangu Binafsi ila hapa nalia na nakomaa zaidi na TISS kwani wanajua alipo Makonda na waache Kutufanya Watanzania ni Mambumbumbu.

Huko nyuma niliwahi kusema kama kweli TISS ingekuwa Imara kama Wenzao wa Israel, China, Uingereza, Rwanda, Misri, Pakistan, Algeria, Cuba, Korea Kaskazini, India na Ufaransa wala huyu Paul Makonda asingekuwa na Jeuri aliyokuwa nayo kwa Mamlaka yake ila TISS ilimlea, ikamdekeza, ikamchelewesha, akawasumbua, akawatumia ajuavyo na leo ndiyo yamekuwa haya na tumefikia hapa.

Natamani mno kuiona ile TISS imara iliyokuwa Kipindi cha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kwani ndizo zilikuwa TISS Imara, zinazojitambua hasa Kiutendaji kiasi cha Kusifika na Kuogopeka sana ndani na nje ya Tanzania.

Uzi huu uwasaidie katika Kujitathmini!!!!
Waliokuwa wanamtuma bado wapo madarakani kaondoka mmoja tu.Maybe wamemtorosha ili asije kuropoka.
 
Msuya Athumani kayumba sana hapaswi kuwa DG wa TISS kwa sasa, mambo yameenda mlama kwake. Abadilishwe upesi ili Tanzania iwe sehemu salama
 
Makonda hajatoweka, makonda yupo arusha. Unajua Kuna muda naona hata kubenea nae ni kama hili Jambo kaliweka kisiasa tu
Kuna Watu ni Wapumbavu hapa Tanzania hadi nasikitika kwanini Corona haikuondoka nanyi tu. Hivi kama Makonda wako yuko Mkoani Arusha angeshindwa kutokea Mahakamani bila kutoa Taarifa yoyote ya Udhuru?

Sasa kama Wewe Mpuuzi Mmoja kumbe uko nae hapo Kwako au Chumbani mmejifungia na Baridi hili mkifurahia Tendo la Bailoji kwanini hukuisaidia Mahakama na hizi Kelele za kwamba ametoweka nchini ziishe?
 
Huko nyuma niliwahi kusema kama kweli TISS ingekuwa Imara kama Wenzao wa Israel, China, Uingereza, Rwanda, Misri, Pakistan, Algeria, Cuba, Korea Kaskazini, India na Ufaransa ............

Uzi huu uwasaidie katika Kujitathmini!!!!
Mkuu @genta leo hujaitaja Rwanda..umeisahau mkuu...😂😂
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Watu wa TISS hasa DG Diwani Athumani Msuya hajui au hana Taarifa za alipo Mwalimu wa Uhalifu, Mateso, Uporaji, Chuki kwa Matajiri, Uvamizu, Mdanganyifu na Msingizia mabaya Watu Paul Christian Makonda ( Daud Albert Bashite )

Rais Samia ulishashauriwa mno Kumuondoa huyu DG Msuya kama DG hapo TISS ila huelewi na ulichokifanya ni Kuwaondoa ( Kuwabadili ) tu Wakuu wa Vitengo ila Yeye unamuacha wakati kwa Matukio kadhaa na Muhimu yaliyotokea katika Kipindi chake yameshaonyesha kuwa hiyo nafasi ni Kubwa Kwake na haiwezi.

Na kwa taarifa zisizo rasmi bado ( ila binafsi ) naziona zina Ukweli zinadai kuwa huku kupotea Kwake aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuna Mikono kadhaa ya Kiutaratibu kutoka kwa baadhi ya Watendaji wa Taasisi hii ( hiyo ) Nyeti kwani alijijengea ukaribu nao mkubwa na ikisemekana ( ikidaiwa ) kuwa huenda nae ni Mwenzao ( TISS Agent ) japo ninachelea Kulisadiki ( Kuliamini ) hili.

Sijalilaumu Jeshi la Polisi ( PT ) kwa Kutoonekana kwa Paul Makonda au UHAMIAJI au TAKUKURU kwa sababu zangu Binafsi ila hapa nalia na nakomaa zaidi na TISS kwani wanajua alipo Makonda na waache Kutufanya Watanzania ni Mambumbumbu.

Huko nyuma niliwahi kusema kama kweli TISS ingekuwa Imara kama Wenzao wa Israel, China, Uingereza, Rwanda, Misri, Pakistan, Algeria, Cuba, Korea Kaskazini, India na Ufaransa wala huyu Paul Makonda asingekuwa na Jeuri aliyokuwa nayo kwa Mamlaka yake ila TISS ilimlea, ikamdekeza, ikamchelewesha, akawasumbua, akawatumia ajuavyo na leo ndiyo yamekuwa haya na tumefikia hapa.

Natamani mno kuiona ile TISS imara iliyokuwa Kipindi cha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kwani ndizo zilikuwa TISS Imara, zinazojitambua hasa Kiutendaji kiasi cha Kusifika na Kuogopeka sana ndani na nje ya Tanzania.

Uzi huu uwasaidie katika Kujitathmini!!!!
UTAJIJU na kumtafuta Makonda(DAB)
 
Sawa mtaalam wa maswala ya security hapa JF.
 
Tena hili naomba lifanyike haraka sana.
Ili unizoee, unijue na ujipange Kuniua?
Yeye kama kiongozi kakosa vyote hivyo vyote hivyo nampa 25% abadilishwe upesi.

88AC2E15-17F4-451B-BD9E-929FC14566E4.jpeg
 
Back
Top Bottom