Je, kutoweka na kutoonekana kwa Paul Makonda si Uthibitisho kuwa TISS kuna Mapungufu makubwa na DG Msuya afutwe Kazi upesi sana?

Hayati Magufuli alitutukana sana watanzania kwa kumteua Askari Polisi Diwani kuwa mkuu wa kitengo, yale yalikuwa matusi kwa Idara nzima.
 
Kwa hiyo Makonda ndie aliyesababisha umaskini kwenye familia yako???

Unaacha kufanya kazi ujipatie kipato cha halali unapiga vuvuzela kwenye mitandao,

Ukiambiwa utoe maelezo yenye ushahidi kwanini Makonda akamatwe unaweza???
Unalalamika nini!!!?? Kama hana hatia mahakama itamsafisha.
 
Hayati Magufuli alitutukana sana watanzania kwa kumteua Askari Polisi Diwani kuwa mkuu wa kitengo, yale yalikuwa matusi kwa Idara nzima.


Nani kakwambia Diwani hakua Mwana idara? Wewe ni mkewe,baba ake au mama yake kiasi kwamba unajua plan zake alikopita na alipofanya kazi

Hacha kuunganisha vitu vya uongo
 
mmh!!! najiuliza kwa nini TISS wamtafute makonda labda kama kuna tuhuma zingine sisi hatuzijui lakini kama kesi iliyopo mahakamani ni mahakama na polisi ndio wanapaswa kumtafuta sio TISS
 
tiss ndio wahusike kwenye kila kitu hadi ambavyo vinawahusu police
 
kumbe bado makonda ni habari ya mjini
 
Majukumu yao ni ikiwemo kulinda haki ya kuishi ya watz.
Kama ilishindwa kwann isipewe lawama kwamba pia ni sehemu ya uovu

Mkuu, tuhuma dhidi ya Makonda ni jinai kama zilivyo jinai zingine kwa mujibu wa Sheria za nchi yetu.

Criminal justice system ya kushughulikia jinai za namna hiyo ipo wazi:

1) Polisi (ukamataji/arrest);

2) Ofisi ya upelelezi makosa ya jinai (DCI);

3) Ofisi ya mwendesha mashtaka kwa niaba ya Jamhuri (DPP).

Huo ndiyo mfumo au machinery kudeal na tuhuma za jinai kama za Makonda ama raia mwingine yeyote.

Sasa hapo, TISS inaingiaje hadi muibebeshe hizi lawama zenu mbofu mbofu?

Mkuu, ni matumaini yangu kuwa una akili timamu.

-Kaveli-
 
Ilishindwa vipi kuuondoa uovu hata kwa assassination of source of evil.
Hakuna namna yeyeto ya kuepusha na lawama
 
Ukiwasababisha watu ujane na uyatima machozi yao yatakuandama maisha yako yote.
 
Akiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ye ndie anajua walipo ben na Azory
 
kama huna kazi za kufanya ndio utahangaika na huu upuuuuuuuuuuuziiiiiiiiiiii.
 
Huna ukijuacho the Man is a typical Failure to that Post japo Mheshimiwa Rais anaendelea kuwa nae akidhani he's that Competent hapo ( pale ) Idarani / Taasisini.
Aisee wanaojua uadilifu wa huyu jamaa wakikusoma humu itakuwa wanakushangaa sana. Au ndio ile dhana kuwa huwezi kusifiwa na Wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…