Je, kweli ni bora kuamini Mungu yupo halafu siku ya mwisho usimkute, kuliko kutoamini halafu ukamkuta?

Unajichanganya sana mkuu.
 
Kwa kipi nilichosema hadi ionekane hivyo?
Unasema naichukulia Sayansi kama dubwasha kitu ambacho si kweli.

Umeenda mbali kuituhumu Sayansi kuwa ni imani fulani ya dini.

Hii inaonesha mashaka juu ya elimu yako na namna ambavyo unaweza kuielezea Sayansi.
 
Sema una hoja Ndugu usipuuzwe
 

Sasa hili ndio tatizo, ndio maana unashindwa kujenga hoja na kutetea hoja, lazima tujue nani aliyeanzisha.

Usinipe link, wapi ametoa hizo habari. Hata wewe unaweza unaweza kuweka unachotaka. Watu wa elimu Wikipedia sio marejeo.
 
Uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
Najibu, na pale ambapo hoja yako imekuwa vague lazima uulizwe pia swali ili kuondoa ambiguity ili na mimi niweze kutoa jibu sahihi.

Kwa hiyo usiweke ionekane kwamba wewe tu unayeuliza maswali haupaswi kuulizwa maswali haya pale inapotokea maswali yako yanahitaji kujibiwa kwa maswali zaidi ili kuyafanya yaeleweke.
 
Sasa hili ndio tatizo, ndio maana unashindwa kujenga hoja na kutetea hoja, lazima tujue nani aliyeanzisha.

Usinipe link, wapi ametoa hizo habari. Hata wewe unaweza unaweza kuweka unachotaka. Watu wa elimu Wikipedia sio marejeo.
Kwanini iwe ni lazima?
 
Wala sijichanganyi, Wewe ndiye ambaye huelewi vizuri.
Kama unachokiandika mkuu hakieleweki unafikiri nitaelewaje? Imani umefanya kitu chenye kuhusu wakati ujao tu wakati unajua kuna vitu ambavyo ni vya kiimani ila ni vya wakati uliyopita na vyengine wakati uliyopo, sasa unadhani hapo mkuu mtu ataweza kukuelewa?
 
Uliona neno "muktadha wa kidini" kwenye kile nilicho kuwa nimeandika kwenye ile post?

Imani inaweza kuwa kwenye jambo lolote in future.

Lakini Mimi naongelea specifically kwenye "imani za kidini kuhusu uwepo wa Mungu"

Hapa ninyi waamini Mungu ndio mna amini Mungu tayari alikuwepo na yupo siku zote. Kitu ambacho sio kweli.

Hivyo imani yenu kusema Mungu yupo haina ukweli.
 
Unasema naichukulia Sayansi kama dubwasha kitu ambacho si kweli.

Umeenda mbali kuituhumu Sayansi kuwa ni imani fulani ya dini.

Hii inaonesha mashaka juu ya elimu yako na namna ambavyo unaweza kuielezea Sayansi.
Hakuna niliposema sayansi ni imani ya dini bali nimesema unafanya sayansi kama imani fulani ya dini, labda iwe ndio mara ya kwanza wewe kusikia ila wapo watu hufanya sayansi kama dini. Yani watu ambao mnafanya sayansi ndio muamuzi wa kuamuwa kipi cha kweli na kama sayansi haijaeleza kitu hicho basi mnachukulia ni uongo au hamkizingatii.
 
Ndio kukosea kwenyewe huko.
 
Sijazungumzia kuwa hiyo imani ni kweli au sio kweli.
Hoja yangu ni huko kusema kwamba imani inahusu jambo la future tu.
 
Sijazungumzia kuwa hiyo imani ni kweli au sio kweli.
Hoja yangu ni huko kusema kwamba imani inahusu jambo la future tu.
Kwa ufupi ni kwamba imani ni kwa jambo ambalo huna uhakika nalo.

Ukishakuwa na uhakika huitaji tena imani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…