Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kuwa na uhakika wa jambo ndio ukweli wenyewe?Kwa ufupi ni kwamba imani ni kwa jambo ambalo huna uhakika nalo.
Ukishakuwa na uhakika huitaji tena imani.
Nikikuuliza kwanini atheists hawaamini katika supernaturl utajibu nini?Kwa hiyo ni mtazamo wa dini yenu?
Umesahau point moja, why alituumba hili aje atuchome moto, na according na wafuasi wake alitupa utashi makusudi tunafanye tunachotaka but so some reason ana chukia tukifanya baadhi ya mamboAiseee!!
Kwanza natamani nikutane na huyo Mungu tufanye mjadala mkali.
Maana nina maswali mengi sana ya kumhoji na kujua uwezo wake wa kufikiri kama uko sawasawa kweli?
Na kama kweli yupo nitahitaji anipe majibu ya kueleweka.
Maana haiwezekani aumbe viumbe vije viteseke duniani, Halafu yeye anakula bata huko mbinguni halafu akiombwa aje atoe msaada japo kidogo hapa duniani haonekani kwenye jambo lolote kusaidia.
Watu wanazidi kuteseka na kuumia tu.
Sasa kama kweli Mungu yupo, Alituumba kwa nini?
Aje atutese duniani, Halafu baadae ndio tuje kui enjoy mbinguni!!!
Hivi hii ni akili ya namna gani kama sio makusudi haya?
Yani unaumba kiumbe ukitese kwanza, Halafu baadae ndio uje ukipe raha!!
Hivi hii ni akili au matope
Yani kama huyo Mungu yupo,
Anastahili kufurushwa kabisa maana hajielewi kabisa.
Ukishasema vitabu vya dini unakuwa unajitoa kwenye logic.Tutajiuliza maswali mengi Kuhusu Mungu ila ukisoma vitabu vya dini vinaongelea busara na hekima za kushinda dunia hii soma vizuri utajifunza mengi nakuona hekima iliyomo hayo mengine yatakuumiza kichwa maana kila dini inazungumza life wisdom tu jinsi ya kuthamini maisha jinsi ya kua muaminifu jinsi ya kua mtu kwenye hekima mafunzo ni mengi natamani ningeshiba dini mwanzo kabla sijaanza kutafta maisha
Sijazungumzia umuhimu na wala neno kujua kinyume chake si neno kuamini, mara nyingi nasema kuwa kujua hakuna maana ya kwamba hicho unachokijua ndio ukweli na si vinginevyo.Nitakuuliza kwanini kuamini kuwe ni muhimu kuliko kujua
Kwani yeye ndo anawaua?Kama yupo kila sehemu kwa nini anaachia watoto wa kule Gaza wauliwe na wengine kupewa vilema vya maisha?
Hujazungumzia umuhimu ila kwangu naona kujua ndio kitu muhimu zaidi.Sijazungumzia umuhimu na wala neno kujua kinyume chake si neno kuamini, mara nyingi nasema kuwa kujua hakuna maana ya kwamba hicho unachokijua ndio ukweli na si vinginevyo.
Huko kuhusisha neno kujua na uthibitisho sijui mmetolea wapi? Kama neno kujua lingekuwa na maana ya kuwa na uthibitisho basi tungekuwa tunalitumia kwa uchache mno katika mazungumzo yetu ya kila siku.
Labda nikuulize unaposema hauamini kitu fulani, huwa unakusudia nini kwa kusema kuwa haumini hicho kitu?
Ndio.Unadhani kuwa na uhakika wa jambo ndio ukweli wenyewe?
Hakuna umuhimu kwenye kujua kwa sababu unaweza ukawa unajua kisicho cha kweli pia, kujua haijalishi unachojua kimejengwa kwenye msingi wa kweli,imani au uongo.Hujazungumzia umuhimu ila kwangu naona kujua ndio kitu muhimu zaidi.
Kuamini ni kama betting
Kuwa na uhakika ni kutokuwa na mashaka,si ndivyo?Ndio.
Ukiwa na uhakika una uthibitisho na ushahidi wa kutetea ukweli wa jambo au kitu fulani.
Kwenye "kujua" zipo njia za ku-verify "jawabu" kwa hiyo bado kujua ni muhimu zaidi kwasababu hata baada ya kupata jibu. Jibu linaweza kuhakikiwa kama ni kweli limefuzu sifa ya kuwa jibu.Hakuna umuhimu kwenye kujua kwa sababu unaweza ukawa unajua kisicho cha kweli pia, kujua haijalishi unachojua kimejengwa kwenye msingi wa kweli,imani au uongo.
Nikikuuliza unamjua mungu Krishna Utanijibu nini?
Kuamini ni sehemu ya maisha ya mwanadamu, na kama kuamini ni kama kubet ina maana kuna muda hutokea kweli unachoamini sasa kwanini wewe ukatae kabisa kuamini?
Hii picha inasikitisha sana jamani.Kumzika mtoto wako tena umemuokota kwenye hali hii?Haya maumivu hayaelezeki.Ee Mungu dunia hapa sio nyumbani kwetu natumaini wamepata kheri ya milele .Amen.Vita inasaidia nini kwa nini watu wasikae wakaongea yakaisha madhara yake ni haya wanateseka wasiohusikaMaelfu ya watoto wadogo wasio na hatia yeyote ile wamekufa sana huko Gaza na huyo Mungu anayedaiwa yupo anatuangalia muda wote na anatupenda, Hajafanya chochote kile kusaidia!!👇
View attachment 3178160
Kujua ni muhimu zaidi dhidi ya nini? Mbona unalazimisha ushindani usiokuwepo?Kwenye "kujua" zipo njia za ku-verify "jawabu" kwa hiyo bado kujua ni muhimu zaidi kwasababu hata baada ya kupata jibu. Jibu linaweza kuhakikiwa kama ni kweli limefuzu sifa ya kuwa jibu.