Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Kwani kasema ni mchaga mkuuwanau
Wanaume hatusemagi hivyo,wanawake ndio sana,kwa mwanaume labda awe punguwani,
kabila gani hili mkuu,na pole kwa maswahibu,eh,watoto wana mkana baba ?watu mnapita mazito jamani,atakuwa mchaga huyo maana ndio mbanga zao hizo
Sijambo π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mama mchungaji haujambo?
Namkosesha wachumba , mbona yeye ananiita MEKU yaani hapa ni bampa to bampaKumbe wewe ni muraππππView attachment 3156073
Umukali wa hene.πͺMekuKumbe wewe ni muraππππView attachment 3156073
Hivi utavipenda mama mchungaji wangu?Sijambo π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hata hao waliochana wana haki ya kuoa tena bwana weeπ πMwache mchaga wetu afungukeπ
Mpige spana wa kwetu na wachumba tunapeperuka kweli sio utaniπ€Namkosesha wachumba , mbona yeye ananiita MEKU yaani hapa ni bampa to bampa
Ntakuja πππ€£π€£ Nakusubiri kwa hamu Dodoma. Nimekuandalia zawadi πππ€
Nikuandalie kisusio MekuNtakuja ππ
Ndio na nyama kit fireNikuandalie kisusio Meku
tatizo unataka kufananisha mume wako na mume wa wenzako au mkeo na wake wengn , jifunze kila mtu ana tabia yake usitake kulinganisha, utalia.
ππππππUmenifanya nicheke ujue vipi kwani hivinitoshi na havinifai kwa matumiziHivi utavipenda mama mchungaji wangu?
View attachment 3156076
Hahaha............naona umeamua kuanika Picha ya Babu yenu sasaView attachment 3156014
Tutashinda tu π€£π€£π€£
πMama mchunga unataka kuvaa vipi ?ππππππUmenifanya nicheke ujue vipi kwani hivinitoshi na havinifai kwa matumizi
Nikimpata wa hivyo , kifo tu ndio kitatutenganisha kwa kweliπππLeta mbege tulewe.
Upo sahihi umeeleweka vizuri
So mahusiano ni kujitoa na kuelewana na hapo kwenye kumuwazia mabaya mwenzio ndio sehemu kubwa ya maisha yetu vijana sio ndoa tu hata mahusiano
Wengi hatukubali kuwa positive kwenye mambo mengi ni kuwaza mabaya tu
Kwa nilikopita, nikipata mume tunaeendana haki tena nitamtunza kama lulu.π€£π€£π€£π€£ Kumbe ndio walivyo...kampeni za kupata cheo cha uwife. Wakishapata cheo wanabadilika.
So ata Kelsea ananipiga somjo kusema kuwa anahitaji anaheweza hudumia familia. Nikishamuweka ndani atasaka tall dark and handsome π€£π€£π€£π€£
ππ Ningeshangaa kamzungu kasisingesistizwaNdio na nyama kit fire