Haya bana.JPM alichowaonyesha wahuni ni kuwa ukitumia dola vizuri ,hakuna mtu wa kukufanya lolote,,,, ss yy kapumzika jiandaeni kufanyiwa vitu vya ajabu mbele ya macho yenu ,na hamtafanya lolote zaidi ya kulalama in anonymity🙂🙂
There is absolutely nothing good we do expect from her, save the wreckages everywhere plus disruptive avenues of unfathomable corruption and nepotism.How could we hamper her like cutleries just for sake of it overlooking the clear picture of what we expect of her?
You bet.!!There is absolutely nothing good we do expect from her, save the wreckages everywhere plus disruptive avenues of unfathomable corruption and nepotism.
Chezeeni amani iliyopo kwa kuleta hiyo civil disobedience kwa kuwa hamjawahi kuishi Nchi zisizo na amani. I assure you utatamani UDIKTETA wa CCM.Ila don't be so pessimistic. Halafu, hakuna mtu anayetaka kufanya civil disobedience. Actually, this is logical and informed accountability inayotakiwa kwa kila raia anayeipenda nchi yake.
The internet will help us organize ourselves. Nchi zote zilizo-demand civil accountability kwa ufanisi (hivi kariibuni), mtandao ulichangia kwa kiasi kikubwa sana.
Chezeeni amani iliyopo kwa kuleta hiyo civil disobedience kwa kuwa hamjawahi kuishi Nchi zisizo na amani. I assure you utatamani UDIKTETA wa CCM.
Mchukia pazuri pabaya panamngoja
Yaani mtuletee civil disobedience Ili Mbowe awe Rais? You are making a huge joke Jasmoni Tegga.Kipi bora: Kuendelea na utawala wa kifisadi na kibaguzi na kinyonyaji na kindugunizasheni na kimikopo na kitozo and the like, au kuchukua hatua madhubuti kama raia wanaowajibika? ^Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote!^
Nasema tena: Peleka woga wako wa upiga-dili kule kuzimu!
Usidhani ukilitaja jina la Mr Hai au ukilipachanisha kwenye kauli zako ndipo tutapuuza suala la kudai uwajibikaji wa vigogo wa pale Magogoni-turned-into-Chamwino. Katu asilani!Yaani mtuletee civil disobedience Ili Mbowe awe Rais? You are making a huge joke Jasmoni Tegga.
Huyu anayeshikilia uwenyekiti wa CDM kwa miaka 18 peke yake, anayegawa ubunge wa viti Maalum kwa mahawara, anayeiuzia CDM magari mabovu kwa bei juu?? Try to be serious
Endelea kulala Ili uote ndoto nyingi kama hizo. Lakini ukijisikia mkojo, amka unaweza kujikojollea kitandaniUsidhani ukilitaja jina la Mr Hai au ukilipachanisha kwenye kauli zako ndipo tutapuuza suala la kudai uwajibikaji wa vigogo wa pale Magogoni-turned-into-Chimwino. Katu asilani!
Hii narrative ya eti kuchezea amani ndo Watawala wametumia kutupumbaza in such a way kila ukitaka kutoa maoni unaambiwaChezeeni amani iliyopo kwa kuleta hiyo civil disobedience kwa kuwa hamjawahi kuishi Nchi zisizo na amani. I assure you utatamani UDIKTETA wa CCM.
Mchukia pazuri pabaya panamngoja
Nakuuliza? Civil disobedience ni nini hasaChezeeni amani iliyopo kwa kuleta hiyo civil disobedience kwa kuwa hamjawahi kuishi Nchi zisizo na amani. I assure you utatamani UDIKTETA wa CCM.
Mchukia pazuri pabaya panamngoja
Unaweza kutuambia civil disobedience ni nini? Inawezekana tunaongea tuko kurasa tofauti. What is civil dusobedience in simple language?Chezeeni amani iliyopo kwa kuleta hiyo civil disobedience kwa kuwa hamjawahi kuishi Nchi zisizo na amani. I assure you utatamani UDIKTETA wa CCM.
Mchukia pazuri pabaya panamngoja
Hata pengine yeye ni clueless ya kile kinachoongelewa hapa!!Kipi bora: Kuendelea na utawala wa kifisadi na kibaguzi na kinyonyaji na kindugunizasheni na kimikopo na kitozo and the like, au kuchukua hatua madhubuti kama raia wanaowajibika? ^Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo wote!^
Nasema tena: Peleka woga wako wa upiga-dili kule kuzimu!
Kusema ukweli SSH ni kama mzigo ni mzito kwake. Laiti tu a shake off kivuli cha Kikwete awe na maono yake yeye mwenyewe ingekuwa bora sana. As long as ana kuwa remote controlled mpaka unaweka mzee sana kuwa ofisini. Inatufanya jatumwelewi. ThisKwa mwendo huu tuuonao kwake, we don't need to waste time and precious opportunity needed for positive change just to wait till the end. We already know how her end looks like. It's high time to hamper her moves altogether!
Naweza kutofautiana nawe ktk hili. Kumwaga damu si njia nzuri maana hiyo matokeo yake ni endless blood cycles ambayo kila Mtanzania hataki. Njia nzuri ni kupaza sauti tu mpaka wasikie.Njia yakuponya inchi ni kwa kumwaga damu, maana sanduku la kura wameshalichezeaa sana
Ndo ilivo.Aangalie maisha yake na familia yake si ndio
Kama nilivosema somewhere humu kuwa the only and best option ni kupiga kelele" ama kupaza sauti mpaka wadikie. Be it through social media or any other way but not using violence whatsoever.Basi tusiishie kujadili tu. Tuweke mikakati ni mpango kazi madhubuti wa kuwashughulikia hawa ^war-who-knee!^ They see you talking sense without corresponding actions, and they enjoy it.
Kuna watu BoT na Hazina hawajui hata jinsi mwananchi anavyohangaika kulima nyama na vitunguu huko mashambani. But wao wako busy kuyafanya maisha magumu na kutumbua pesa za walipa-kodi.
If we cannot do anything, then we are done!
#^Car-taaWar-who-knee!^
Haya bhana!Huyo" Bi Mkopo" hanihusu hata kidogo kwenye maisha yangu. Kwanza tangu aingie madaraka naina bora tu! Mwenda zake alikua hivyo.
Hizi "Cheap politics" acheni jamani. .....mnapiga makelele "kukopa kukopa" mtu yoyote mwenye akili timamu anajua bila kukopa hufiki kokote. Wafanyabiasha hata wadogo wadogo hapa najua wananielewa. Acheni negative cloud for nothing.
Huku mtaani kila siku watu wanalia benki hazitoi mkopo kwa watu wa chini. ....sasa kama mikopo ni mibaya mgekuwa mnalia lia
Kwa kifupi Hizi sera tangu awamu ya 5 mpaka hii. ....mimi hazina chochote kwangu. Bado kila siku napigwa najua kutafuta rizki yangu. Biashara yangu Bado haija breakeven mwaka wa pili huu. Sitakubali washenzi hawa waniongezee stress
SIASA NI MAVI TU
Ukitazama nchi zote zenye uchumi mzuri..zimepitia damu. Hadi kufika apo. Sio lelemaa. Usiendee mbali tazama Kenya iliwabidi waingiee mtaani ilikuweza pata katiba mpya ya wananchi, angalia Rwanda wamepitia pagumu..kwa sababu yakuwatoa wapumbavu kwenye uwongoziNaweza kutofautiana nawe ktk hili. Kumwaga damu si njia nzuri maana hiyo matokeo yake ni endless blood cycles ambayo kila Mtanzania hataki. Njia nzuri ni kupaza sauti tu mpaka wasikie.
South Africa's former President, Jacob Zuma, is giving evidence this week at a commission set up to investigate corruption allegations during his time in office.Kwanza kabisa huja elezea state capture ni nini na corruption ya kawaida ni nini na tofauti yake ni nini.
Private entities zimefanya nini?
Hicho kilichofanywa na private entities kimeanza lini?
Unajuaje hizo habari za state capture si fantasies zako tu kukuza corruption ya kila administration kuiita state capture?
Akili ni nywele kila mtu ana zake! 🙏Ukitazama nchi zote zenye uchumi mzuri..zimepitia damu. Hadi kufika apo. Sio lelemaa. Usiendee mbali tazama Kenya iliwabidi waingiee mtaani ilikuweza pata katiba mpya ya wananchi, angalia Rwanda wamepitia pagumu..kwa sababu yakuwatoa wapumbavu kwenye uwongozi