the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
Ila hii chadema inawachezesha KRONO sanaKwahiyo upande wa haki kuwa Chadema?
Wapi kuna neno chadema kwenye comment yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila hii chadema inawachezesha KRONO sanaKwahiyo upande wa haki kuwa Chadema?
Nadhani baada ya hili atakuwa amepata funzo zuriMtu anaefuata haki kwa masilahi ya taifa ni mzuri kuliko yule anaefata kwa masilahi yake mweyewe.
Mond kafuata masilahi yake bila kujali position yake kama kioo cha jamii katika taifa
Hujaelewa au huelewi kabisa...Kachagua side au kachagua pesa? CCM walimlipa 100m ili aburudishe na kuburudisha ni kazi yake huyo diamond hata kadi ya CCM Hana na Wala sio mwanachama wa CCM na pia si mwanaharakati wewe ungekuwa ndio yeye hiyo million 100 ungekataa? Na onyesha wapi aliwahi kusapoti mauwaji badala ya Chadema waliumia Diamond kuwafanyia burudani CCM kwenye mikutano ya siasa kwanini na wao wasimlipe waone kama hatawafanyia kuliko kuendesha kampeni za kipuuzi
Wiz kid alizikataaHuyo kalipwa kufanya burudani kwenye kampeni kama part ya kazi yake sasa mambo yenu ya kisiasa hayamuhusu
Nadhani baada ya hili atakuwa amepata funzo zuri
Dah namuonea huruma![]()
23,188 people signed and won this petition
BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)chng.it
Yule ni mfanyabiashara kaenda pale kufanya burudani baada ya kulipwa sio kufanya siasa ungeelewa Hili lisingekusumbua na kuna wengine wameenda pale kufuata burudani sio hotuba za wanasiasa ndio maana baada ya diamond kutumbuiza wanasepa shida ni nyinyi mnaotesekaIla hii chadema inawachezesha KRONO sana
Wapi kuna neno chadema kwenye comment yangu?
Hili liwe funzo...Dah namuonea huruma
hakika 100%✔️
Yule ni mfanyabiashara kaenda pale kufanya burudani baada ya kulipwa sio kufanya siasa ungeelewa Hili lisingekusumbua na kuna wengine wameenda pale kufuata burudani sio hotuba za wanasiasa ndio maana baada ya diamond kutumbuiza wanasepa shida ni nyinyi mnaoteseka
Huyo kalipwa kufanya burudani kwenye kampeni kama part ya kazi yake sasa mambo yenu ya kisiasa hayamuhusu
Hapo ndipo utakapokwama kumtetea Diamond wako. Tunaochangia hapa wala siyo CHADEMA lakini tunajua yeye ni CCM...Kwahiyo upande wa haki kuwa Chadema?
Asante kwa msaada![]()
23,188 people signed and won this petition
BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)chng.it
Anatakiwa awe mstarabu sana hii vita ni kubwa anaweza kuwekewa kizuizi kama mlezi wake Bashite wa Bashite!Dah namuonea huruma
🙏 🙏 🙏Asante kwa msaada
kumbe ndio hii ngoja nifungue![]()
23,188 people signed and won this petition
BET - Disqualify Diamond Platnumz from BET AWARDS 2021 (for Best International Act)chng.it