Je, Mapambano ya Wanaharakati na Diamond yana faida kwa nchi?

Je, Mapambano ya Wanaharakati na Diamond yana faida kwa nchi?

Shabiki kitambo 😁
Mi bado ni shabiki wake, ila anayopitia anastahili.
Mimi hadi leo ni shabiki yake, na nina appreciate sana alipofikia, lakini kikombe anachokinywea anastahili! Nchi kuna watu wanapaswa kutusemea ila kwa makusudi kabisa wanaamua kukaa kimya au kuungana na wanyanyasaji.

Hatukatai yeye kuwa mwana CCM, lakini kwani ukiwa mwanaCCM ndio huruhusiwi kutetea maslahi ya wananchi?
 
Mimi hadi leo ni shabiki yake, na nina appreciate sana alipofikia, lakini kikombe anachokinywea anastahili! Nchi kuna watu wanapaswa kutusemea ila kwa makusudi kabisa wanaamua kukaa kimya au kuungana na wanyanyasaji.

Hatukatai yeye kuwa mwana CCM, lakini kwani ukiwa mwanaCCM ndio huruhusiwi kutetema maslahi ya wananchi?
Akagongelea msumari na lile songi lake "ngoja nikae kimya"
 
Siyo kweli ulichoandika watu weusi wengi wameacha kumsupport kwenye products zake nyingi yeye Lill Wayne.
Sio kweli, kama wameacha kusupport Product zake Mr. KANYE Asingekua kwenye list ya wanamuziki walioingiza pesa.

Kuhusu huyo Lil Wayne kilichompoteza ni mvutano wa kimaslahi na Boss wake Baba mlezi wake Birdman aka Stunnaman
 
Kwanini tusianze na viongozi waliokuwa katika serikali husika kuwalaumu na kutoshirikiana nao kama mawaziri, makatibu na wanaharakati wengine kabla hatujafika kwa Diamond? Wote hatukuwa wawajibikaji kwa yote yaliyotokea lakini kutomuunga mkono Diamond sio sawa kabisa.
 
Huyo alitoa hoja akili Hana hizi ni tuzo za burudani si za siasa
Wewe uliemuona mwenzio hana akili nafikiri wewe ndio mjinga namba moja

Umeshindwa kuona kuwa kijana alikosea kabisa kuihusisha BURUDANI na SIASA ili kuwezesha na kuhalalisha uporaji wa haki za binaadamu na demokrasia ya kweli

BET sio mapopoma hapo ndio kwenye shida !!!
 
Si hao racists wanaofurahia upuuzi wake wananunua hizo products zake?
Kanye West does not get a pass for disrespecting black life

MARK CAMPBELL
CONTRIBUTED TO THE GLOBE AND MAIL
PUBLISHED MAY 3, 2018
Kanye West arrives at the 2016 MTV Video Music Awards in New York on August 28, 2016.

EDUARDO MUNOZ/REUTERS
Mark V. Campbell, adjunct professor at the RTA School of Media, teaches in the communication and culture program at Ryerson University and is founder at Northside Hip Hop Archive.

“Kanye doesn’t care about Black People” reads a T-shirt of ethe deeply respected and respectable Questlove, drummer of the Philadelphia-based band the Roots.


It is a demoralizing, sad state of affairs when Kanye West, the once-outspoken hip-hop superstar, has his own pro-black activist words – in which he called out George W. Bush in 2005 for not caring about black Americans – used against him by one of hip hop’s greatest minds, Questlove.


Sio kweli, kama wameacha kusupport Product zake Mr. KANYE Asingekua kwenye list ya wanamuziki walioingiza pesa.


Kuhusu huyo Lil Wayne kilichompoteza ni mvutano wa kimaslahi na Boss wake Baba mlezi wake Birdman aka Stunnaman
 
Katika hili nimefurahi kuwaona mashabiki wenzangu wa Diamond wa tangu enzi na enzi, nimemuona data Evelyn Salt Phoenix

Hili jambo si personal, labda kama kuna watu wanalitumia pesonally, Mtu ambaye ni celebrity siku zote hatakiwi kuside na oppressors akawaacha wananchi, hii iwe funzo kwao wote wasanii wetu, wautumie umaarufu wao vizuri kwa ajili ya jamii pia maana na wao ni wana jamii.

Movements kama hizi zisiishie kwa Diamond tu, ziende kwa wasanii wote wanaoside na oppressors na wana habari pia.
Wacha Avune Alichopanda...
 
Diamond si wizkid na wizkid si diamond system ya mziki wa nigeria huwezi kufananisha na bongo na siasa ya nigeria huwezi kufananisha na hapa bongo pesa nyingi za wanamuziki wa bongo wanapata kwenye hii mikutano ya kisiasa mfano mzuri diamond kalipwa show moja tu ya CCM million 100 fanya calculation kama alifanya mikoa 10 alipata shilling ngapi? Wewe lini umewahi kununua kazi za wasanii zaidi ya kuburn kazi zao.Ukiacha na hivyo Diamond amewekeza hapa bongo hiv akiamua kuiponda serikali hali yake ya biashara itakuaje?utamsaidia kulisha familia yake? Wizkid anaweza kufanya harakati za kisiasa dhidi ya serikali lakini nchi yao hawana mambo kama bongo ya kuharibiana au kurudishwa nyuma ndio maana huyo wizkid anajeuri hiyo.
the kind
The Palm Tree
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kaza Buti Diamond hao wanaokuponda wanazidi kukuongezea umaarufu tu.
Wanaomponda au wanaomwambia walipolia hukulia nao Vipi leo ukitaka kucheka inataka nao wacheke juju huzuni zao ama kweli mtajua hujui

20210526_175420.jpg
 
Ndio hapo sasa,angedili na burudani au kuwa kwenye kundi la Wananchi asingepatwa na madhira hayo.Msanii mkubwa kama yeye hatakiwi kuwa na sides.
Huyo alitoa hoja akili Hana hizi ni tuzo za burudani si za siasa
Tatizo mtoa burudani kajihusisha na siasa chafu...angebaki tu na burudani yake aliyojaaliwa na mwenyezi Mungu siasa is the game of mazafaka...
 
Kachagua side au kachagua pesa? CCM walimlipa 100m ili aburudishe na kuburudisha ni kazi yake huyo diamond hata kadi ya CCM Hana na Wala sio mwanachama wa CCM na pia si mwanaharakati wewe ungekuwa ndio yeye hiyo million 100 ungekataa? Na onyesha wapi aliwahi kusapoti mauwaji badala ya Chadema waliumia Diamond kuwafanyia burudani CCM kwenye mikutano ya siasa kwanini na wao wasimlipe waone kama hatawafanyia kuliko kuendesha kampeni za kipuuzi
Maelezo umeyaelewa? Kuwa karibu na dikteta, hakuna utetezi, kama unaambatana nao kwa lengo la pesa basi huna sifa kwa jambo linalo husu heshima na utu!
 
Back
Top Bottom