Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Ikigawanyika nipewe kipande kimoja cha hapa butiama
 
Poleni na musiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana...
Washirika mmeanza kujitokeza kupima upepo

Mungu ampokee mja wake
 
Poleni na musiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana....
Wewe na hyo Membe ambaye mlimuita jasusi kafa kizembe sana kabanwa kifua mpaka chali mbaya wote wangese nendeni mkazikwe nae huko umwerani, pathetic
 
Hilo sio kosa Bali kosa ni kumpinga Jiwe,unauliza swali wakati unajua kwamba Jiwe alikuwa anataka kuabudiwa akiamini yeye ndio mwenye akili na anaestahili kuliko watu wote Tanzania?
Membe alimua balozi wa Libya na kupora pesa za Libya,baada ya yule balozi kuzifuatilia,yako wapi?,na yeye kaunga tela,wewe na huyo Mfu Membe kazikwe nae
 
Hilo sio kosa Bali kosa ni kumpinga Jiwe,unauliza swali wakati unajua kwamba Jiwe alikuwa anataka kuabudiwa akiamini yeye ndio mwenye akili na anaestahili kuliko watu wote Tanzania?
Ila wazee wa town walicheza heko sana kuling'oa jiwe. Ingekuwa tabu sana Tz kwa mungu mtu
 
Huwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!

System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!

Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !

Jua hivyo!
Unaweza sana, mbona shujaa mwendazake na ushamba wake alikua Rais na hakuwa jasusi, majasusi hawawezi kuwa na tabiza za aina ya John, hilo ntapinga hadi mwisho
 
Unaweza sana, mbona shujaa mwendazake na ushamba wake alikua Rais na hakuwa jasusi, majasusi hawawezi kuwa na tabiza za aina ya John, hilo ntapinga hadi mwisho
Kuna bandiko moja la The bold kuhusu Roman Abramovich !

Kwenye like bandiko amamueleza huyo!kifupi sana kuwa kuna mkutano waliufanya Morogoro na yeye akiwepo!!

Yaani akasema kwamba watz hawajui history ya kijasusi ya jamaa!kipindi hicho ndio jpm kapamba moto KWELI kweli kutumbua majipu!

Niishie hapo!
 
Wewe ni timu sukuma gang sio? Wakati Magufuli anakataza Wana CCM wasishiriki misiba ya wanachadema ulikuwa wapi usimkemee baba yako?
 
Acha pumba zako; hizo hoteli alizowekeza Mtwara ufukweni karibu na kiongozi mmoja aliyewahi kuwa waziri kwenye ofisi ya rais mbona huzitaji? Lindi pameachwa ili wasionekana wana mali nyingi wanaenda kuwekeza mahali pengine au kuweka kwa mtu mwingine wasijulikane ndio kusaidia kitu gani?
 
Fafanua mkuu acha uoga
 
Hilo ni suala ambalo hawezi kufanya. Yaani hana ubavu. Alilifumbia macho Sasa it's too late.

Tunasubili msiba mwingine kutoka team wahuni tushangilie. Tumeambiwa Bado 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…