smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
huna akili.Sana!!
Na majasusi uhai wao ni KWA maslahi ya taifa na nchi kwa ujumla!!
Unaweza ambiwa fanya hivi au vile halafu ukishafanya una be eliminated!!
Wala sio ishu kwao!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna akili.Sana!!
Na majasusi uhai wao ni KWA maslahi ya taifa na nchi kwa ujumla!!
Unaweza ambiwa fanya hivi au vile halafu ukishafanya una be eliminated!!
Wala sio ishu kwao!!
Kumekuchaaaaaaah!!!2015 Membe mwenyewe alikuwa akiitaka ile nafasi, bahati mbaya ushindani ulioibuka ndani ya chumba cha mkutano baada ya jina la Lowassa kukatwa, ukasababishwa Membe nae akatwe ili kutuliza hali ya mambo.
Hizo sifa nyingi ulizompa hapo juu sioni kiuhalisia kama alikuwa nazo, kwangu alikuwa anasubiri kubebwa na rafiki yake Kikwete awe Rais wa JMT, lakini yeye binafsi sikuwahi kumuona kama mwanasiasa mwenye ushawishi wa aina yoyote ili kufanikisha hiyo ndoto yake.
Kwa hali hiyo, naona ungemlaumu zaidi yule aliyetaka Membe awe Rais wakati akijua alikuwa jasusi, Membe ni kama alishawishiwa tu achukue fomu agombee akiaminishwa atakuwa, lakini bahati mbaya mambo yakaenda sivyo.
Na mie nataka kujua hapa.Ukiwa jasusi kuwa rais kuna shida gani?
Huna ujualo, Magufuli hajawahi kuwa JASUSI zaidi ya kwenda JKT kwa mujibu wa Sheria kama ilivyo kwa vijana wanaomaliza elimu ya kidato cha 6 sasa hivi.Huwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!
System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!
Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !
Jua hivyo!
Waambie ccm wenzio wakimbie msibani pmoja na ACTNendeni msibani haraka mbona mnasumbua humu?
Leo wanatajana wazi wazi wenyewee, tusubiri wanasema nyama ziko chinii.Membe alisaidia Sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
[emoji848]
Mwendazake Brother Bernad!Waambie ccm wenzio wakimbie msibani pmoja na ACT
SureLeo wanatajana wazi wazi wenyewee, tusubiri wanasema nyama ziko chinii.
Yaan hadi inaogopeshaa mweeehSure
Sio kweli hata kidogo, Magufuri alikuwa Jasusi ?? Usiandike tuHuwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!
System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!
Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !
Jua hivyo!
Sio kweli hata kidogo , kwn magufuri alikuwa Jasusi??Huwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!
System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!
Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !
Jua hivyo!
Magufuli hakuwa jasusiHuwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!
System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!
Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !
Jua hivyo!
Eeeh ndiwo ila jina la mwendazake lishachukuliwa na alietangulia, huyu apatiwe jina jipyaMwendazake Brother Bernad!
George Bush Sr aliwahi kuwa Mkuu wa CIA kabla ya kuja kuwa Rais. Ile CIA ambayo hakukuwa na Intelligence Community juu yake. Sasa cha ajabu kwa Tanzania nini? Mahiga alikaimu ukuu wa Idara, 2015 alichukua fomu.
Duuuh kumbe hati miliki ya jina "Mwendazake" anayo Jiwe? [emoji16][emoji16]Eeeh ndiwo ila jina la mwendazake lishachukuliwa na alietangulia, huyu apatiwe jina jipya
Visungura vinatusumbua kaka mkubwaMh jasusi hawezi kuwa raisi ? Eti kuwa raisi lazima uwe jasusi ?
Tanzania my coyntry a long way to go , asante Maxence Melo kwa kutupa hili jamvi hakika tunafurahi maana kila ashibae anakuja kupumzisha shibe haba jamvini .
Nenda Bernad , hii ni njia yetu sote .[emoji24]