Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Pay back time; inafuata zamu ya kiongozi wenu.Ila wazee wa town walicheza heko sana kuling'oa jiwe. Ingekuwa tabu sana Tz kwa mungu mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pay back time; inafuata zamu ya kiongozi wenu.Ila wazee wa town walicheza heko sana kuling'oa jiwe. Ingekuwa tabu sana Tz kwa mungu mtu
Kuhusu hizo hela za Libya ziko wapi na zilikuwa ngapi ; mtu anayeweza kuzizungumzia authoritatively ni mjomba wa Msoga! Membe alikuwa anabeba mikoba ya Kikwete, he was just an emissary.Poleni na musiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana.!
Kama kuna watu tumepoteza kama taifa Basi ni Membe na Mahiga Hawa watu wawili walikuwa engine ya nchi hii haswa.
Wametuepusha na vitu vingi Membe alisaidia Sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
Membe ndiye alisaidia mwaka 2015 tusipate Rais fisadi ingawa anatukanwa lakini yeye ndiye alisimama kidete sasahivi labda nchi ingekuwa imeshauzwa kabisa.
Udicteta ni hatari kwa nchi kama ilivyo kwa ufisadi fikiria kama Magufuli angendelea kutawala milele Hali ingekuwaje uko mtaani ?
Fikiria kama Lowassa angeingia Ikulu hali ya ufisadi ingekuwaje sasahivi?
Lakini Membe alisimama kama mtu Kati kuzuia majaribio yote mawili na alifanikiwa.
Tunamdai nini watu watasema pesa za Libya? No pesa za Libya waliiba ccm kwa ajiri ya uchaguzi sio Membe.
Tunawaambia kila siku nchi hii ina tatizo la mfumo hamtaki.
Membe apumzike kwa amani kapigana vita yake kwa umakini mkubwa Sana na ameimaliza kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wa Tanzania wakati yeye ni spy hakuna kitu kama icho katika mfumo wa Tanzania na ameshaambiwa ilo kabla.
Apumzike kwa amani alikuwa mtu na nusu apewe maua yake kwenye kaburi lake!!
R.I.P
Leta link mkuuKuna bandiko moja la The bold kuhusu Roman Abramovich !
Kwenye like bandiko amamueleza huyo!kifupi sana kuwa kuna mkutano waliufanya Morogoro na yeye akiwepo!!
Yaani akasema kwamba watz hawajui history ya kijasusi ya jamaa!kipindi hicho ndio jpm kapamba moto KWELI kweli kutumbua majipu!
Niishie hapo!
Technically wewe ni chizi kama wajinga wengine tuPoleni na msiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana.
Kama kuna watu tumepoteza kama taifa Basi ni Membe na Mahiga Hawa watu wawili walikuwa engine ya nchi hii haswa.
Wametuepusha na vitu vingi Membe alisaidia sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
Membe ndiye alisaidia mwaka 2015 tusipate Rais fisadi ingawa anatukanwa lakini yeye ndiye alisimama kidete sasahivi labda nchi ingekuwa imeshauzwa kabisa.
Udikteta ni hatari kwa nchi kama ilivyo kwa ufisadi fikiria kama Magufuli angendelea kutawala milele Hali ingekuwaje uko mtaani?
Fikiria kama Lowassa angeingia Ikulu hali ya ufisadi ingekuwaje sasa hivi?
Lakini Membe alisimama kama mtu Kati kuzuia majaribio yote mawili na alifanikiwa.
Tunamdai nini watu watasema pesa za Libya? No pesa za Libya waliiba ccm kwa ajiri ya uchaguzi sio Membe.
Tunawaambia kila siku nchi hii ina tatizo la mfumo hamtaki.
Membe apumzike kwa amani kapigana vita yake kwa umakini mkubwa Sana na ameimaliza kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wa Tanzania wakati yeye ni spy hakuna kitu kama icho katika mfumo wa Tanzania na ameshaambiwa ilo kabla.
Apumzike kwa amani alikuwa mtu na nusu apewe maua yake kwenye kaburi lake.
R.I.P
Huwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!
System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!
Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !
Jua hivyo!
KWENDAZAKEPoleni na msiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana.
Kama kuna watu tumepoteza kama taifa Basi ni Membe na Mahiga Hawa watu wawili walikuwa engine ya nchi hii haswa.
Wametuepusha na vitu vingi Membe alisaidia sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
Membe ndiye alisaidia mwaka 2015 tusipate Rais fisadi ingawa anatukanwa lakini yeye ndiye alisimama kidete sasahivi labda nchi ingekuwa imeshauzwa kabisa.
Udikteta ni hatari kwa nchi kama ilivyo kwa ufisadi fikiria kama Magufuli angendelea kutawala milele Hali ingekuwaje uko mtaani?
Fikiria kama Lowassa angeingia Ikulu hali ya ufisadi ingekuwaje sasa hivi?
Lakini Membe alisimama kama mtu Kati kuzuia majaribio yote mawili na alifanikiwa.
Tunamdai nini watu watasema pesa za Libya? No pesa za Libya waliiba ccm kwa ajiri ya uchaguzi sio Membe.
Tunawaambia kila siku nchi hii ina tatizo la mfumo hamtaki.
Membe apumzike kwa amani kapigana vita yake kwa umakini mkubwa Sana na ameimaliza kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wa Tanzania wakati yeye ni spy hakuna kitu kama icho katika mfumo wa Tanzania na ameshaambiwa ilo kabla.
Apumzike kwa amani alikuwa mtu na nusu apewe maua yake kwenye kaburi lake.
R.I.P
Endelea kuotaPay back time; inafuata zamu ya kiongozi wenu.
Sio rahisi 😊😊😊Hilo ni suala ambalo hawezi kufanya. Yaani hana ubavu. Alilifumbia macho Sasa it's too late.
Tunasubili msiba mwingine kutoka team wahuni tushangilie. Tumeambiwa Bado 3
Ndio tunajua aliondoka katikati ya kampeni kwenda nje kusuka mipango ya kumuondoa jiwe , it is true ni mataifa mengi yalihusika kumwangusha mwamba , na tunajua Raisi Samia alimrudishia ikulu ili kusafisha mfumo wa TISS aliousimika Jiwe , hata hvo hawakujua wanamweka too close toward a central danger point .... Game starts, mwende mkazike sasa
Basi TISS walikose sana kufanya vetting, how can a serious mental case like jiwe awe kwenye idara nyeti namna hiyo? Anaweza siku akapiga risasi watu hadharani maana katiba yetu ni mbovuKuna bandiko moja la The bold kuhusu Roman Abramovich !
Kwenye like bandiko amamueleza huyo!kifupi sana kuwa kuna mkutano waliufanya Morogoro na yeye akiwepo!!
Yaani akasema kwamba watz hawajui history ya kijasusi ya jamaa!kipindi hicho ndio jpm kapamba moto KWELI kweli kutumbua majipu!
Niishie hapo!
Nendeni msibani haraka mbona mnasumbua humu?Basi TISS walikose sana kufanya vetting, how can a serious mental case like jiwe awe kwenye idara nyeti namna hiyo? Anaweza siku akapiga risasi watu hadharani maana katiba yetu ni mbovu
Sawa basi nenda huko kwakePoleni na msiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana.
Kama kuna watu tumepoteza kama taifa Basi ni Membe na Mahiga Hawa watu wawili walikuwa engine ya nchi hii haswa.
Wametuepusha na vitu vingi Membe alisaidia sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
Membe ndiye alisaidia mwaka 2015 tusipate Rais fisadi ingawa anatukanwa lakini yeye ndiye alisimama kidete sasahivi labda nchi ingekuwa imeshauzwa kabisa.
Udikteta ni hatari kwa nchi kama ilivyo kwa ufisadi fikiria kama Magufuli angendelea kutawala milele Hali ingekuwaje uko mtaani?
Fikiria kama Lowassa angeingia Ikulu hali ya ufisadi ingekuwaje sasa hivi?
Lakini Membe alisimama kama mtu Kati kuzuia majaribio yote mawili na alifanikiwa.
Tunamdai nini watu watasema pesa za Libya? No pesa za Libya waliiba ccm kwa ajiri ya uchaguzi sio Membe.
Tunawaambia kila siku nchi hii ina tatizo la mfumo hamtaki.
Membe apumzike kwa amani kapigana vita yake kwa umakini mkubwa Sana na ameimaliza kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wa Tanzania wakati yeye ni spy hakuna kitu kama icho katika mfumo wa Tanzania na ameshaambiwa ilo kabla.
Apumzike kwa amani alikuwa mtu na nusu apewe maua yake kwenye kaburi lake.
R.I.P
Kwahiyo unataka kusema alikuwa mzuri??.Poleni na msiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana.
Kama kuna watu tumepoteza kama taifa Basi ni Membe na Mahiga Hawa watu wawili walikuwa engine ya nchi hii haswa.
Wametuepusha na vitu vingi Membe alisaidia sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
Membe ndiye alisaidia mwaka 2015 tusipate Rais fisadi ingawa anatukanwa lakini yeye ndiye alisimama kidete sasahivi labda nchi ingekuwa imeshauzwa kabisa.
Udikteta ni hatari kwa nchi kama ilivyo kwa ufisadi fikiria kama Magufuli angendelea kutawala milele Hali ingekuwaje uko mtaani?
Fikiria kama Lowassa angeingia Ikulu hali ya ufisadi ingekuwaje sasa hivi?
Lakini Membe alisimama kama mtu Kati kuzuia majaribio yote mawili na alifanikiwa.
Tunamdai nini watu watasema pesa za Libya? No pesa za Libya waliiba ccm kwa ajiri ya uchaguzi sio Membe.
Tunawaambia kila siku nchi hii ina tatizo la mfumo hamtaki.
Membe apumzike kwa amani kapigana vita yake kwa umakini mkubwa Sana na ameimaliza kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wa Tanzania wakati yeye ni spy hakuna kitu kama icho katika mfumo wa Tanzania na ameshaambiwa ilo kabla.
Apumzike kwa amani alikuwa mtu na nusu apewe maua yake kwenye kaburi lake.
R.I.P
mbona putin raisi pia alikua jasusi...muelekeze huyoUkiwa jasusi kuwa rais kuna shida gani?
Kwaiyo sasa hivi Magufuli hatawali,Hali ya maisha mtaani ni nzuri?Poleni na msiba ila kwangu mimi Membe kwa kazi aliyoifanya sina ninachomudai. Tumepoteza mtu mwadilifu Sana pengine moja ya vijana waliopikwa na Nyerere pia mtu wa kitengo ambaye alifanya kazi zake kwa ufanisi wa Hali ya juu Sana.
Kama kuna watu tumepoteza kama taifa Basi ni Membe na Mahiga Hawa watu wawili walikuwa engine ya nchi hii haswa.
Wametuepusha na vitu vingi Membe alisaidia sana harakati za kuondoa Rais dicteta nchi hii na kuvunja mfumo wake wote aliokuwa anautengeneza kutawala Tanzania milele.
Membe ndiye alisaidia mwaka 2015 tusipate Rais fisadi ingawa anatukanwa lakini yeye ndiye alisimama kidete sasahivi labda nchi ingekuwa imeshauzwa kabisa.
Udikteta ni hatari kwa nchi kama ilivyo kwa ufisadi fikiria kama Magufuli angendelea kutawala milele Hali ingekuwaje uko mtaani?
Fikiria kama Lowassa angeingia Ikulu hali ya ufisadi ingekuwaje sasa hivi?
Lakini Membe alisimama kama mtu Kati kuzuia majaribio yote mawili na alifanikiwa.
Tunamdai nini watu watasema pesa za Libya? No pesa za Libya waliiba ccm kwa ajiri ya uchaguzi sio Membe.
Tunawaambia kila siku nchi hii ina tatizo la mfumo hamtaki.
Membe apumzike kwa amani kapigana vita yake kwa umakini mkubwa Sana na ameimaliza kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wa Tanzania wakati yeye ni spy hakuna kitu kama icho katika mfumo wa Tanzania na ameshaambiwa ilo kabla.
Apumzike kwa amani alikuwa mtu na nusu apewe maua yake kwenye kaburi lake.
R.I.P
Kwaiyo Mwinyi senior,Mkapa, Magufuli na Samia nao walikuwa Majasusi?Huwezi kuwa Rais bila kuwa jasusi mkuu!!
System haiwezi muweka mtu ambaye gajaiva kwenye ujasusi ndani ya nchi!!
Lazima kwanza upate mafunzo kivitendo ndani ya Tiss ndio unakua !
Jua hivyo!