Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Kuhusu hizo hela za Libya ziko wapi na zilikuwa ngapi ; mtu anayeweza kuzizungumzia authoritatively ni mjomba wa Msoga! Membe alikuwa anabeba mikoba ya Kikwete, he was just an emissary.
 
Leta link mkuu
 
Technically wewe ni chizi kama wajinga wengine tu
 
KWENDAZAKE
 
Hilo ni suala ambalo hawezi kufanya. Yaani hana ubavu. Alilifumbia macho Sasa it's too late.

Tunasubili msiba mwingine kutoka team wahuni tushangilie. Tumeambiwa Bado 3
Sio rahisi 😊😊😊

Huyo uliyemuweka kwenye list yako ya hao watatu bora (3) mnaowawinda kwa udi na uvumba..., hashikiki kizembe... Naona unajaribu kuonja juisi ya nyuki 😊😊😊

DON'T DARE! 👍🏾
 
Ulikula kiapo halafu unavujisha vitu nyeti vya namna hii tena kwa lugha ya kijeshi....unafikiri huwezi kupatikana kutokana na anonymous ID yako?!

shauri yako!
 
Basi TISS walikose sana kufanya vetting, how can a serious mental case like jiwe awe kwenye idara nyeti namna hiyo? Anaweza siku akapiga risasi watu hadharani maana katiba yetu ni mbovu
 
Sawa basi nenda huko kwake
 
Kwahiyo unataka kusema alikuwa mzuri??.
 
Kwaiyo sasa hivi Magufuli hatawali,Hali ya maisha mtaani ni nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…