Na hapo ndio ujue haijalishi ulizaliwa ndani ya ndoa au nje Mungu anaweza kumjalia yeyote kati yao.Hizi dini bwana.
Ommy dimpos kawa tajiri baba na ndugu wanajipendekeza kumjua mtoto wao mlikuwa wapi na dini zenu.
Domo leo ni tajiri kila ndugu na masheik mnajazana kwake mlikuwa wapi pindi maskini.
Kuzaa hovyo kunapoteza uwezo wa mzazi kutoa huduma, hii ndo sababu yenye maana ya katazo la usizae nje ya ndoa, nyingine zote ni ubatili.Usizae nje ya ndoa
Ndo tunafundishwa ivo kua ni vibaya
Hivi wakati Mungu ananiumba alinijua kuwa nitakuwa mzinzi?Ngoja nikuelimishe kidogo kila unachokiona duniani kiko chini ya under control hata ww uko chini ya under control.
Mwenyezi mungu kaumba binadamu na kamuwekea na taratibu maalumu ni namna gani aendeshe maisha yake na sio ilimradi tu anaishi.
Mfano leo ww utatafuta pesa kwa nguvu zako utanunua gari lakini hiyo gari huwezi kuiendesha barabarani mpaka upitie utaratibu fulani licha ya kwamba hakuna aliye kusaidia kununua hilo gari.
Au ukitaka kufungua biashara utatakiwa ufuate utaratibu maalumu licha ya sio kufungua kiholela holela.
Hivyo hivyo kwa mungu alikuumba akasema nendeni mkaijaze dunia lakini kaweka utaratibu wa kuzaliana na sio kuzaliana kiholela holela.
Dawa ya kuhepusha haya sio kuukimbia ukweli bali ni sisi kuacha uzinzi wa kiholela, hakika ni ukatiri na ubinafisi mkubwa kwa mwanaume kumpa binti wa watu mimba hali ya kuwa huna mipango ya kumuoa.
Kwanini asihukumiwe yure ariyeumba huwo uzinziWw mwanaume adhabu yako ya uzinzi iko inakusubilia kwa muumba.
Upo sahihi hata huku kwa wakristo ni hivyo hivyo .. Nilisoma kitabu cha Esta kwenye biblia kuna stori yake ilinivutia ikabidi niende deep kujua historia na namna walivyokuwa wanaishi wakati ule ... kwa wakati huo (ancient time) kule kulikuwa kuna wanawake walikuwa wanaitwa MASURIA ambao siku hizi mnawaitwa nyumba ndogo a.k.a Mchepuko hawa kisheria toka enzi za wafalme walikuwa ni Low class wife kwa mfalme na endapo watazaa basi watoto na huyo mwanamke haki zao za urithi zinakuwa limited tofauti na wale ambao wamezaliwa na mke wa kwanza wa mfalme.Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
nimesoma title tu.Ukoo ni bloodline haijalishi ilizaaje au na nan na kivipi.Kwa mujibu wa imani ya kiislamu mtoto ambaye amezaliwa nje ya ndoa hatambuliki Kwa mujibu wa Sheria kama mtoto wa Baba husika.
Kwasababu kizazi au uzao WA familia unatakiwa upatikane ndani ya ndoa ya kisheria au ndoa iliyofungwa Kwa misingi ya Dini,na nje ya hapo huyo ni mtoto wa zinaa ambaye kisheria anatambulika kama mtoto wa mama aliye mzaa Tu.
Ingawa kikawaida atafahamika kama mtoto wa Baba Fulani lkn kidini huyo Baba hatambuliki na hivyo kuna haki Fulani ambazo Baba hawezi kumfanyia mtoto wake.
Moja wapo ni huyo mtoto hafai kuitwa Jina la ubini WA Baba yake,Hilo Jambo ni haramu Sana na Mungu ameshalikemea tayari, ingawa Kwa bahati mbaya Sana Kwa kutojua wengi wamewapa majina ya ubini wao hao watoto wa nje ya ndoa.
Na lingine ni kumuozesha kwenye ndoa, Baba Hana haki ya kumuozesha binti yake WA nje ya ndoa Kwa mumewe kwani ndoa hiyo ni batili na haifai kabisa.
Lingine huyo mtoto hawezi kumrithi Baba yake kwasababu kisheria huyo mtoto sio WA huyo Baba,Bali Baba anaweza kumpa sehemu ya Mali huyo mtoto,lkn mara Tu huyo Baba anapokufa basi huyo mtoto Hana haki ya Kurithi chochote.
Lakini sio vibaya huyo Baba kumhudumia huyo kijana Kwa malezi na mahitaji mbali mbali maadam Tu yeye ndiye sababu ya kuja Hicho kiumbe hapa duniani.
Na mtoto ambaye Hana Baba kisheria anaweza kuitwa Kwa jina la mama yake, Kwa mfano ETUGRUL BEY ASHA au Kwa jina la ubini Kwa upande wa mama yake.
Kubwa ni kutambua uzao mzuri ambao hata kizazi chako kinaweza pata haki stahiki ni kizazi ambacho kinatokana na ndoa takatifu ambayo IPO Kwa mujibu wa Sheria.
Na hata wale ambao wanafunga ndoa za kiserikali basi watambue kidini Hicho kizazi Chao hakitambuliki na Sheria za Dini Kwa maana Baba Hana watoto hapo Ila watoto ni WA mama.
Ni hayo Tu!
Kazakh destroyer
Msonjo
Nurain
adriz
professional Driver
baby zu
Alafu muulize huyo huyo Ismail ndiyo chimbuko la kina nani leo?.Labda tuwaulize Ismail ni mtoto wa nani?
Ww umeniuliza swali kana kwamba mtoto ni hadhabu kwa mwanamke na mimi nime kujibu kuwa mtoto sio adhabu kwa mama, mwanamke anaye hesabu kulea mtoto kama adhabu ni mpumbavu.Sizani kama umenijibu swali langu nililouliza kulingana na nilichokuwa nimequote
Achana nao Mungu MTU hawaMsinyanyase watoto kwa kigezo cha dini.
Watoto wote wana haki sawa ya kupata malezi/mapenzi ya wazazi wao.
Yaani inasikitisha sanaAchana nao Mungu MTU hawa
Unajua nini,kuna amri kumi za Mungu lakini binadamu wa kisasa hakuna hata moja katimiza afu huyo huyo anakuja kuleta fafanuz nyingiii....mi huwa naangalia tu na kujisemea ...HiiiiiYaani inasikitisha sana
Kumpa mimba binti unaye jua huna mpango wa kumuowa ni moja wapo ya upumbavu na uzwazwa hata kama utajifanya kumlea huyo mtoto maana pamoja na kutoa matunzo lakini bado atakosa haki nyingi sana kutoka kwako ambazo wana zipata wenzake ambao umewazaa ndani ya ndoa.Chanzo cha watoto wa mitaani ni janja janja mingi za kutaka kumtumia binti na kumkimbia, Woga na udhaifu wa kushindwa kubeba majukumu kama mwanaume.
SIMAMA TETEA DAMU YAKO HATA MBELE YA MUNGU KAMA ANA HASIRA SANA AKUUE UKITETEA ZAWADI YA MAISHA ALIYOILETA DUNIANI KUPITIA WEWE.
Ubinafsi tu na kutokujielewa, huku wakitumia kivuli cha dini.Unajua nini,kuna amri kumi za Mungu lakini binadamu wa kisasa hakuna hata moja katimiza afu huyo huyo anakuja kuleta fafanuz nyingiii....mi huwa naangalia tu na kujisemea ...Hiiiii
🚶so badUbinafsi tu na kutokujielewa, huku wakitumia kivuli cha dini.
So sad