Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

hacha tufuate dini yetu ya uwisilamu na wewe komaa nauo ukirito wako
 
Mungu hajawahi kuweka utaratibu wowote na popote zaidi ya binadamu wenye roho mbaya kusingizia Mungu. Kila kitu Cha ovyo hufanyika Kwa kigezo Cha Mungu, Mauaji ya kujitoa mhanga(MUNGU).
kwani wewe mungu wako anasemaje kuhusu hilo? biblia inasema hivio tueleze huyo mungu wako wa chooni anasemaje kuhusu hilo?
 
Ukitaka kujuwa dini ni Utapeli waulize pesa imeumbwa na Mungu au binadamu?

Wakikujibu ni binadamu Sasa wahoji ni kwa nini Mungu huyu huyu anataka pesa za binadamu atolewe sadaka?

Na kwenye Utapeli huo dini zote hazipingani wanataka sadaka na fungi la 10.

Yani Mungu eti naye anamuomba binadamu commission ya pesa. Vichekesho haviishi ujinga mtupu.
 
Kwahiyo kujaaliwa na Mwenyezi Mungu ndio upo sahihi?

Unazungumziaje majambazi na wauza unga mbona wanafanikiwa sana je wamejaaliwa na Mungu au wanapendwa na Mungu?
Ushasema ujambazi,ni vitu viwili tofauti kabisa,ni jinai.

Mtoto wa nje ya ndoa kafanya ujambazi upi hadi umtenge,aliomba azaliwe nje ya ndoa,vitu vingine havitaji akili nyingi kuona waliovitunga hawakuwa na mantiki

Unampaje pia adhabu mama wa mtoto utafikiri kajitia ujauzito yeye mwenyewe bila hiyo dini kumuwajibisha na huyo mwanaume
 
kwani wewe mungu wako anasemaje kuhusu hilo? biblia inasema hivio tueleze huyo mungu wako wa chooni anasemaje kuhusu hilo?
Huyo mungu anayekwambia umkatae mtoto wako uliyemzaa ni Mungu wa kijinga.

Kama mungu wako amekuagiza hivyo then huyo mungu wako ni mjinga tu
 
Huyo mtoto ni kiumbe wa MUNGU sio wa shetani.

Mpaka utajua Hojq za dini mufilisi.
 
kwani wewe mungu wako anasemaje kuhusu hilo? biblia inasema hivio tueleze huyo mungu wako wa chooni anasemaje kuhusu hilo?
Biblia haijanipa hayo masharti ya kipumbavu ya kumtenga mtoto wa damu yangu asiye na hatia.

Biblia inaniambia niende nikazae niijaze dunia, na pia inanifundisha nisizini na endapo nikizini inaniambia niombe toba na Mungu atanisamehe na kunifutia kosa langu....na mwisho kabisa Biblia inanifundisha mimi mzazi kwenye kulea NISIWACHOKOZE watoto wangu... Hapo Biblia imemaliza.

Bible haituagizi kuwatenga watoto wetu tuliozaa nje kama hicho kitabu chenu cha karne ya 6 kinavyowafundisha nyie.
 
Yes, juzi tuli mchomea mbuzi akapewa jina na ukoo wa baba Ake kwani SIdamu yako apewe la nani eti wewe mtu
 
Linapokuja suala la kutumia utashi binafsi hawa jamaa waislam na wakristo hawa jamaa ni wapuuzi
 
Mtoto wangu ni wangu Mbingu na ardhi vipo kabla ya uislamu na ukristo, Africa tuna Mungu na tumekuwa tukisali Mungu tangu enzi, mtoto wangu ni mtoto wangu
 
Muulizeni Nabii Ibrahim kuwa mtoto wakijakazi (ismail)aliitwa ubini wa nani
 
A
Aiseee
 
Mtoto wangu ni wangu Mbingu na ardhi vipo kabla ya uislamu na ukristo, Africa tuna Mungu na tumekuwa tukisali Mungu tangu enzi, mtoto wangu ni mtoto wangu
Kwahiyo wadiz unataka kusema kuna Mungu wa Africa na Ulaya?

Anyways linapokuja swala la Imani ni kubwa Sana na very complicated lakini naheshimu maoni yako brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…